Ndumbayeye
JF-Expert Member
- Jan 31, 2009
- 7,413
- 4,020
Mbona tuna waziri mkuu mgonjwa?
Nchi tunamkabidhi rais sio waziri mkuu ,anaruka kwa chopa kwenye kampeni lakini na dripu kila kituo. Rais ndio kamanda wa vita mkuu, hatakiwi mtu aliyechoka mwili na akili. Infact hilo haliondoi siri kifo kitamuanza nani.
