TANZIA Waziri Celina Ompeshi Kombani afariki dunia

TANZIA Waziri Celina Ompeshi Kombani afariki dunia

Mbona tuna waziri mkuu mgonjwa?

Nchi tunamkabidhi rais sio waziri mkuu ,anaruka kwa chopa kwenye kampeni lakini na dripu kila kituo. Rais ndio kamanda wa vita mkuu, hatakiwi mtu aliyechoka mwili na akili. Infact hilo haliondoi siri kifo kitamuanza nani.
 
Celina Kombani alikuwa mgombea wa CCM, na kwa mujibu wa makada wa CCM hapa jamvini, na wale walioko field, wanasema Watanzania hawapaswi kumchagua LOWASSA kwa sababu LOWASSA ni "mgonjwa"{kwa mujibu wao}, Lakini hawakuwahi kuwaambia wana ULANGA, wasimchague Marehemu Kombani kwa sababu ni mgonjwa na amelazwa INDIA! Mungu sio mjinga kama nyie akina Boko haram huu ni mfano tu amewapa! Msipoweza kujifunza hapa! Hamtajifunza tena!

hawa mafisiemu hawawezi kujifunza lolote hata wangekufa 10 na zaidi, kinachotakiwa ni kuwasamehe tuu hakuna namna nyingine, tuwasamehe ili tuziweke nafsi zetu nyeupe na Mungu anatubariki oktoba tunaingia ikulu kama ifuatayo.
Viva CHADEMA,
Viva Lowassa.
 
Last edited by a moderator:
Saw alihukum ila hutakiw kumhukumu coz hujui xafar yake ameimalizaje? Huwend amemaliz vyema

Mi nadhani mambo ya kumaliza vipi safari ni kati ya mtu na Mungu wake, sisi hayatuhusu!
 
R.I.P mama tutakukumbka.

Duu!nitamkumbuka kwa kauli yake aliyosema "bora lowasa amehamia ukawa maana angewafia ccm" naona katangulia yeye lowasa wetu huyooo mwendo wa kukwea chopa!
 
Nchi tunamkabidhi rais sio waziri mkuu ,anaruka kwa chopa kwenye kampeni lakini na dripu kila kituo. Rais ndio kamanda wa vita mkuu, hatakiwi mtu aliyechoka mwili na akili. Infact hilo haliondoi siri kifo kitamuanza nani.

Weka na akiba ya maneno...
 
RIP Mungu aiweke Roho yake mahali pema peponi.

Wewe mzee hivi utatulia ukifika wapi 1443192087321.jpg
 
Vallar Morghulis. RIP mama!
 

Attachments

  • 1443193676601.jpg
    1443193676601.jpg
    18.7 KB · Views: 369
Duu!nitamkumbuka kwa kauli yake aliyosema "bora lowasa amehamia ukawa maana angewafia ccm" naona katangulia yeye lowasa wetu huyooo mwendo wa kukwea chopa!

Alisema kweli haya maneno.
 
Chuki ya ITIKADI na UKANDA.Matusi na kudhalilishana,huyu mama alimdhihaki Lowassa,leo ametangulia kabla ya Lowassa.Tupime maneno yetu.Tujiandae.Na tukumbuke a golden rule..."Usichopenda kutendewa basi usimtendee mwenzako."CCM jiangalieni maneno yenu ya kebehi na dhihaka.Mgonjwa anaweza kuishi na mzima akawa mfu.Tujifunze kwa huyu.

Yani pamoja na fundisho hili bado kahama leo yalikuwa yale yale LOWASA MGONJWA LOWASA MGONJWA Dah! ccm hakuna wanawaza madaraka tu kuyapata kwa njia yoyote
 
Yani pamoja na fundisho hili bado kahama leo yalikuwa yale yale LOWASA MGONJWA LOWASA MGONJWA Dah! ccm hakuna wanawaza madaraka tu kuyapata kwa njia yoyote
Unyanyapaaji dhidi ya wagonjwa utaturudisha kule kulee kwenye takwimu zinazowakwaza wafadhili
 
Mungu anatuondolea wale wasioitakia mema nchi yetu.Huyu mama alipinga kuanzishwa kwa mchakato wa katiba mpya , hakutaka kabisa na pale mchakato ulipoanzishwa yeye alishiliki kuuvuruga.Mungu amtendee haki kwa Yale aliyowafanyia Watanzania.
 
kumbe wanaumwa na wanakwenda kimya kimya kujitubu . kweli mficha maradhi kifo humuumbua ( wahenga) alafu huyu mama alikua mkakasi kwe bunge la katiba.

mbona haya majina yanashabihiana?

Komba & Kombani

cc: mshana jr

R.I.P kombani
 
Last edited by a moderator:
Taarifa kutoka familia ya mh Kombani ni kwamba alitoka nyumbani mzima afya dhumuni la kwenda india ni kufanya tu check up ya afya yake, lakini ndo hivyo tena kama yalivyotokea.
 
Back
Top Bottom