Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
pumbavu zao na wafe tuu! hospitali zetu za ndan hazina dawa wao wanatumia mamilioni ya kodi zetu kwa checkup tu!! nasema na wafe tu!! Me pia ntakufa ila nasema na wafe tuu!!Taarifa kutoka familia ya mh Kombani ni kwamba alitoka nyumbani mzima afya dhumuni la kwenda india ni kufanya tu check up ya afya yake, lakini ndo hivyo tena kama yalivyotokea.
Si ndiyo alisema Lowasa afadhali ametoka akAfie chadema ? inshaalah Mungu hachezewi. Nyie milo n pumzi mjifunze
Wewe mzee hivi utatulia ukifika wapiView attachment 291112
RIP Mungu aiweke Roho yake mahali pema peponi.
Wewe mzee hivi utatulia ukifika wapiView attachment 291112