TANZIA Waziri Celina Ompeshi Kombani afariki dunia

TANZIA Waziri Celina Ompeshi Kombani afariki dunia

Mmmmmm utoto mwingne tena huu ndio wameamua kuja kuzma kijanja
 
Hata mwalimu alienda London kucheki afya tu
 
Waache cheap politics za kutangaza wenzao majukwaani kuwa ni wagonjwa !!Ok wao ni mazima ....RIP
 
Mtu akisha fariki kunakuwaga na maneno kama hayo mara utasikia wamemloga. Maneno kibao
Mtu akisha kufa amekufa kwani kuna watu wangapi? Wanakufa Na watu hawashangai . Na unajua ktk sekunde moja duniani wanakufa watu wangapi?
 
Si ndiyo alisema Lowasa afadhali ametoka akAfie chadema ? inshaalah Mungu hachezewi. Nyie milo n pumzi mjifunze
 
Duuu kumbe hakuwahi kusomea sheria huyu mama? daaa kumbe alishika uwaziri wa katiba na sheria pasipo na taaluma hii..!!anyway RIP MAMA KOMBANI
 
Taarifa kutoka familia ya mh Kombani ni kwamba alitoka nyumbani mzima afya dhumuni la kwenda india ni kufanya tu check up ya afya yake, lakini ndo hivyo tena kama yalivyotokea.
pumbavu zao na wafe tuu! hospitali zetu za ndan hazina dawa wao wanatumia mamilioni ya kodi zetu kwa checkup tu!! nasema na wafe tu!! Me pia ntakufa ila nasema na wafe tuu!!
 
Si ndiyo alisema Lowasa afadhali ametoka akAfie chadema ? inshaalah Mungu hachezewi. Nyie milo n pumzi mjifunze

Alijifanya yeye ni mzima kumbe ni maiti iliyokua inatembea, kafa kamuacha Lowassa anadunda. Watu wa dini wanasema watakuchimbia mmashimo wataingia wao, walimtakmkia lowasssa mgonjwa atakufa sasa wamekufa wao na kuachha wenggine wazima..

Ccm mjifunze kauli za kuombea wenginne kufa hazina tiija, komba alisema wariobba anangoja kufa yeye akafa akamuacha na kuacha madeni,kombani kafa kamuacha lowassa, na mtakufa tu.
 
R.I.P Kombani

Lakini Mungu ni mwema ati wazima wanatangulia wana waacha wagonjwa!!!!!

Na wale wanaoimba wimbo na kumuombea Lowasa mabaya kuwa ni mgonjwa mimi naona kuwa nao watangulie tu mbele ya haki
 
Ukitaka kuona CCM sio watu, wanakutumia wakikumaliza wanakutupa ni huu Msiba wa huyu Mama aliyefariki juzi.

Msiba hata haujulikani ulipo, wao wako bize na kumwandama Lowassa. Yaliyoikuta familia ya Marehemu John Komba ndio yanaenda kuikuta familia ya huyu mama.

Ccm badilkeni acheni unyama, pumzika kwa amani mama Kombani.
 
Hatari hii,kama nikweli je wakipita uchaguzi huu itakuwaje kwa watanzania si watatelekezwa kabisa
 
kama kawa. kala chake alipokuwa hai
 
Alisema lowasa bora kaondoka asitufie ccm akafie ukawa mungu ni mwenye majibu tuzidi kuaombea ccm mana wao wanaweza kua wazima alafu mungu akawaonesha kua mgonjwa anaweza kupona nyinyi wazima mkafa ashukuriwe mungu
 
Back
Top Bottom