Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siyo huyu tu wanaCCM wengi huwa wana behave as if wao hawatakufa, si unaona hata comenti zao humu? za kejeli.Kila mtu anapofariki dunia tunapaswa kusikitika.Ila niseme ukweli wangu,hata siku moja sikuwahi kupenda mawazo ya huyu mama.Mambo yake aliyafanya kama hatakuja kuondoka hapa duniani.
Jk kesho anateua wa kuziba nafasi
wew ni nan mpak uhukumu? Ebu achen maneno ya kashfa huwezi jua huwenda kabla ya kutwaliw alipew nafasi ya kujisafisha, ebu tubadilike tuache kunyooshe wengine vidol ikiw cc ni wachafu zaid yao...R.I.P MAMA G
Tatizo alihukumu kabla hivyo usishangaye haya maoni ya watu
Na hili liwe somo kwako uache kudhihaki ugonjwa wa mtu.naona umefurahi sana. Lakn tambua kwanzia sasa hatujui nan anafuata kat ya mm au ww au mamvi.
Mtamsema sana lakn ndio hvyo hataweza kuwajibu hoja zenu.
Najua wengi wanatoa dhihaka kamakwamba wao ndio wataishi milele wakat hesabu imebaki kwetu.
Watanzania akili zetu zimeingiliwa na kitu gani lakini? Hapa tumeletewa tanzia ya kifo ya Mtanzania mwenzetu,badala ya kuhungana na kumuombea apumzike kwa amani peponi, sisi tunatanguliza masuala ya itikadi za vyama na kejeli juu, tunajisahau kabisa kuwa kila nafsi itaonja muhuti!! Huku kama sio kuchanganyikiwa ni nini?
Na hili liwe somo kwako uache kudhihaki ugonjwa wa mtu.
Hizo kauli zenu mnazitoa bila kujua kesho mtakuja kutuomba tuwe pamoja kuomboleza msiba, ndiyo sababu wengine wanawashushia makavu.ww boya nn? Nan amedhihaki ugonjwa?
naona umefurahi sana. Lakn tambua kwanzia sasa hatujui nan anafuata kat ya mm au ww au mamvi.
Mtamsema sana lakn ndio hvyo hataweza kuwajibu hoja zenu.
Najua wengi wanatoa dhihaka kamakwamba wao ndio wataishi milele wakat hesabu imebaki kwetu.
Mkuu sikuongelea/kumnyooshea mtu ugonjwa nadhani tafsiri yako haiendani na maudhui yangu.Sawa, sasa si vizuri kuongealea au kumnyoshea mtu kuhusu ugonjwa, Uhai wetu uko mikononi mwa bwana wetu yesu mwokozi wetu, habari ya kusema huyo mgonjwa wakati wewe mwenyewe hujui lini na wakati gani mungu ataihita roho yako. Tulia nyamaza kimwa anayejua habari za uhai wetu ziko kwa Mungu wetu.
Mbona tuna waziri mkuu mgonjwa?Hoja sio ugonjwa wa kila mtu, hoja ni kuchagua rais mnaemjua mgonjwa tayari
Hako ka-mama ulikuwa ukikaangalia kwa jicho la tatu kalikuwa kama kameathirika vile?!!!Alikuwa anaumwa?
Kama ni kweli, poleni wafiwa..