kson m
JF-Expert Member
- Jan 24, 2014
- 6,672
- 3,055
Alisema lowasa bora kaondoka asitufie ccm akafie ukawa mungu ni mwenye majibu tuzidi kuaombea ccm mana wao wanaweza kua wazima alafu mungu akawaonesha kua mgonjwa anaweza kupona nyinyi wazima mkafa ashukuriwe mungu
Unataka kusema huyu mama alitamka hiyo kufuru?siamini!



