DOKEZO Waziri Dkt. Gwajima, fanya yafuatayo ili kuwakomesha wahuni (beach boys) wote katika fukwe zetu za Dar es Salaam

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Mheshimiwa huyu Faiza mpuuze amejaa udini. Sisi wananchi tunaziona kazi zako wala hazijifichi. Nakupongeza mno
 
Yaani hoja ikiwa wazi huonekana tu. Ila Kila mtu pia akubali kuelimishwa kuwa, hoja hii jibu lake hili. Yaani atulie pia kupokea mrejesho. Siyo ukishaleta hoja, na majibu una draft mwenyewe halafu unataka yaje yame fit draft yako. Wako wengi wakiambiwa hapana hili liko hivi, anagoma kwa Sababu tu alitaka ionekane hakuna kitu Bure kabisa. Sawa hatuendi hivyo [emoji28]

Sent from my CPH2207 using JamiiForums mobile app
 
Kazi hizi za majukwaani, anaziweza sana. Hilo nampa maua yake.

Hizo mimi huziita kazi za zima moto.
Inawezekana unaumia sana kuona Waziri mwenye heshima zake anajipa muda wa kupita humu na kujadili kwa uwazi hoja za sekta anazosimamia.

At least tuna mtu wa kumpa maoni yetu na anasikiliza. Ndivyo uungwana wake unastahili maua
 
Inawezekana unaumia sana kuona Waziri mwenye heshima zake anajipa muda wa kupita humu na kujadili kwa uwazi hoja za sekta anazosimamia.

At least tuna mtu wa kumpa maoni yetu na anasikiliza. Ndivyo uungwana wake unastahili maua

Nakuunga mkono mkuu! 🙏🙏
 
Usidanganye ambao hawakuwa kwenye huo mjadala. Mm huwa hapa ndiyo nakataa. Nilikuambia kuwa, rejea plan fulani ukaikuta ilikuwa inaisha Juni 2022, haina maana kwamba yote yaliyomo mle hayatakelezwi yaani tumefunga. HAPANA. Utekelezaji huwa unaendelea Hadi izinduliwe ingine rasmi. Na uliporudi, nikakuelimisha kuwa, tathmini imefanyika na picha nikakupa za lini kulikuwa na kikao cha hiyo tathmini, na kwamba tunatarajia kwenye hizi siku 16 za kupinga ukatili zinazoanza Novemba 25 mwaka 2023 tuzindue, na tufunge rasmi mpango uliopita. Ww hutaki unataka lako tu. Huo siyo mjadala ni vurugu.

Haya, kuhusu udhibiti wa NGOs: hivi kumbe wewe hufahamu kuwa tumezindua mfumo wa kidigitali Okt 5, 2023 wenye uwezo wa kuweka mambo wazi hadi jamii ijue kinachoendelea? Kutanga kote huko hadi humu JF hukuona? Unasema hatuna plan.

Na kwenye hotuba ya Bajeti tukaelezea hatua, Hadi maelfu ya mashirika yaliyogunduliwa kabla yakafungwa mazima, ww hukusikia. Na baada ya hapo Kamati shirikishi ya kudhibiti maadili kitaifa ikaundwa. Bado hukusikia. Sasa wewe mfuatiliaji gani ndugu yangu? 😅 unanifuatilia mm au taarifa ndugu yangu?

Sasa wewe tu ndiyo unaona hatuna plan kati ya wengi, sasa mm nikueleze nini tena maana hata kusikiliza hutaki? [emoji28][emoji28][emoji28]

Si nikuache tu na ajenda yako nasi tuendelee na yetu....

Haya jioni njema, hata mjadala huu Sasa watu wengi watajua nn kinaendelea. Ni promo tosha Kabisa ya profile ya wizara ya Jamii[emoji28][emoji28][emoji28] bure bila fedha .. ahsante JF yetu

Sent from my CPH2207 using JamiiForums mobile app
 
Inawezekana unaumia sana kuona Waziri mwenye heshima zake anajipa muda wa kupita humu na kujadili kwa uwazi hoja za sekta anazosimamia.

At least tuna mtu wa kumpa maoni yetu na anasikiliza. Ndivyo uungwana wake unastahili maua
Yeye hapendi, na mimi napenda. Hapo sasa ndiyo mtihani... [emoji1]

Sent from my CPH2207 using JamiiForums mobile app
 
Wasichana na wanawake waache kuogelea kama hawajui, kwanza fukwe zenyewe chafu
Kwani nani kakwambia hawajui wanajua sana na wanafuata wenyewe kwenda kupigwa miti kwenye maji alafu wanaambiana na wengine wanaenda wakienda mchezo unaendelea hivyo,
 
Mheshimiwa huyu Faiza mpuuze amejaa udini. Sisi wananchi tunaziona kazi zako wala hazijifichi. Nakupongeza mno
Ahsante Sana, na mm nimeshampuuza mazima, na nitaleta taarifa za wizara kwa wingi wingi Ili jamii izidi kuelewa, halafu yeye sasa ndiyo hivyo tena atabaki na mzigo wake aliojichagulia.... [emoji28]

Mwenzake Gentamicin Leo kaleta mapendekezo yenye mashiko kwa utulivu, ila yeye sasa bi dada, mhhh😀 Hatari...

Sent from my CPH2207 using JamiiForums mobile app
 
Ahsante Sana, na mm nimeshampuuza mazima, na nitaleta taarifa za wizara kwa wingi wingi Ili jamii izidi kuelewa, halafu yeye sasa ndiyo hivyo tena atabaki na mzigo wake aliojichagulia.... [emoji28]

Sent from my CPH2207 using JamiiForums mobile app

Mheshimiwa wengi wetu humu tunakuelewa, naye pia anakuelewa sana tu, naona ni namna yake ya kuwasilisha hisia zake. Tuvumilie tu kama kiongozi wetu, maana uongozi jalala!

Mheshimiwa unafanya jambo la maana sana kufanyika daraja baina ya wananchi na serikali hapa jukwaani. Usife moyo! Songa mbele, tupo nawe!
 
Kazi hizi za majukwaani, anaziweza sana. Hilo nampa maua yake.

Hizo mimi huziita kazi za zima moto.
Yes hii ni zima moto, hata Israel kule Gaza wanafanya zima moto.

Kama kiongozi unapaswa kuzima moto...ndipo uje na mikakati ya muda mfupi, wa kati na muda mrefu wa kuzuia moto usiwake tena.

Una hoja nyingine bi kidude?
 
Yes hii ni zima moto, hata Israel kule Gaza wanafanya zima moto.

Kama kiongozi unapaswa kuzima moto...ndipo uje na mikakati ya muda mfupi, wa kati na muda mrefu wa kuzuia moto usiwake tena.

Una hoja nyingine bi kidude?
Inatakiwa uwe na mikakati kwanza kabisa.

Naona unatakajitahidi kuuhamisha mjadala. Endelea kufanya jihad.
 
Ningekujibu lakini unalindwa na moderators.


Kwangu mimi wewe huna jipya. Kazime moto coco beach.
Wewe mpuuzi huna ubavu wa kumjibu waziri wa nchi jinsi ulivyozoea kujibu kipumbavu pumbavu. Wewe una tofauti gani na magaidi kama hapa JF watu wanaandika comment kistaarabu ila wewe peke yako bila aibu unamrushia waziri maneno ya karaha? Wewe bibi ni mchawi na una roho mbaya sana. Nakuhakikishia kwenye hii serikali imara ya Tanzania utaishia tu kuteseka na roho yako mbaya.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…