MamaSamia2025
JF-Expert Member
- Mar 29, 2012
- 14,588
- 32,361
Mheshimiwa huyu Faiza mpuuze amejaa udini. Sisi wananchi tunaziona kazi zako wala hazijifichi. Nakupongeza mnoYaani huyu FaizaFoxy yy ana lake tu lingine na mimi. Ni fumbo la Imani. Wenzake wote wataona ila yy hapana. Ni kama ile Hadith ya wale 99 mmoja amepotea. Abarikiwe tu. Nishamzoea kama wengine walivyomzoea. Kaziiendelee...
Sent from my CPH2207 using JamiiForums mobile app