Waziri Dkt. Mwigulu ataka sheria zitafsiriwe kwa lugha ya Kiswahili

Waziri Dkt. Mwigulu ataka sheria zitafsiriwe kwa lugha ya Kiswahili

Makaratasi yoote ya kupigia kura yalichapishwa kwa kiswahili lakini mliiba kura!!!

Wstawala wanatumia kiswahili kubambikizia kesi feki wananchi wasio na hatia....
Viongozi wetu hata Kiswahili cha kuongea tu hawajui au kinawapa shida kuelewa pamoja na kuwa wana PhD kama huyo Waziri mpaka wengine wanashindwa hata kusoma Kiapo kilichoandikwa na mtu asiye mwanasheria.

Waziri wa Sheria alitakiwa ajue kuwa Sheria ina lughà yake ngumu sana kuelewa kwenye lughà yoyote hata kwa wanasheria wenyewe ndo maana Katiba na Sheria hata kwenye matumizi ya kawaida tafsiri halisi hutolewa na Mahakama Kuu baada ya kupitiwa na jopo la Majaji.

Hata hao Waingereza ambao Sheria zao zimeandikwa kwa Kingereza na nyingi zinatumika hapa, ili kufafanua au kutafsiri vifungu vya Sheria lazima kwenda Mahakamani kupata maana halisi. Usemi: "Ukitaka kuficha fedha Mtanzania asiibe, ficha ndani ya Kibabu" (nyongeza yangu) hata kikiwa kimeandikwa kwa lughà ya Pascal Mayalla labda kiwe kitabu chake maana ni mwandishi nguli. Pamoja na uamuzi wa Waziri aliyevunja Record ya kuteuliwa na kutenguliwa, Watanzania wengi wataendelea kunyimwa haki!
 
Najua hapa Jamiiforums kuna wanasheria wasomi hupita hapa, ili Jamiiforums ioneshe jamii na wenye mamlaka wizara ya sheria na katiba kuweza kuishinda cha changamoto ya hukumu na sheria kuandikwa kwa lugha ya Kiingereza basi wajaribu kutafsiri hukumu hii iende ktk Lugha ya Kiswahili bila kupoteza maana na dhima yake kisheria na kuzuia wanasheria kukata rufani kwa vile hukumu hukumu imepoteza maana yake kisheria kutokana na mapungufu ya lugha Kiswahili ktk sheria . Changamoto hii hapa toka chanzo East African Court of Justice awards $25000 USD in damages for violation of the right to access to justice by the Kenyan Supreme Court. | Kenya Law

East African Court of Justice awards $25000 USD in damages for violation of the right to access to justice by the Kenyan Supreme Court.​

DECEMBER 16, 2020​


Martha Wangari Karua v The Attorney General of the Republic of Kenya and Hon. Anne Mumbi Waiguru & Hon. Peter Ndambiri (Interveners)
Reference No 20 of 2019
The East African Court of Justice
First Instance Division
M Mugenyi, C Nyawello, C Nyachae, JJ
November 27, 2020
Reported by Faith Wanjiku & Ian Otenyo
Download the Decision

International Law
– regional integration – East African Community – organs of the East African Community – the East African Court of Justice – suit challenging the acts and omissions of the Kenyan judicial system at the East African Court of Justice – claim challenging Kenya’s commitments to the fundamental and operational principles of the Treaty for the Establishment of the East African Community, especially the right to access to justice and a fair trial – whether the Kenyan Supreme Court violated the applicant’s right to access to justice as provided by the Kenyan Constitution by dismissing her petition – Treaty for the Establishment of the East African Community, articles 6(d) and 7(2), Constitution of Kenya, article 50, 159 and 259.

Constitutional law – interpretation of provisions of the Constitution of Kenya, 2010 – articles 50, 159 and 259 of the Constitution of Kenya, 2010 – interpreting the Kenyan Constitution in a manner that promoted the purpose and principles therein – where no time was explicitly allotted for the hearing of matters that were remitted – Whether the Kenyan Supreme Court violated the applicant’s right to access to justice as provided by the Kenyan Constitution by dismissing her petition – Constitution of Kenya, article 50, 159 and 259.

Constitutional Law – fundamental rights and freedoms – right to fair trial – right of access to justice – claim alleging that the actions of the Supreme Court of Kenya in dismissing the applicant’s electoral petition violated her rights to access to justice and a fair hearing & thereby violating the fundamental principles encapsulated in articles 6(d) and 7(2) of the Treaty for the Establishment of the East African Community (the Treaty)Whether the Kenyan Supreme Court violated the applicant’s right to access to justice as provided by the Kenyan Constitution by dismissing her petition – Constitution of Kenya, article 50, 159 and 259; Treaty for the Establishment of the East African Community, articles 6(d) and 7(2), Constitution of Kenya, article 50, 159 and 259.

Brief facts
The applicant participated in the respondent’s general elections as a gubernatorial candidate for Kirinyaga County and lost to the first Intervener. Dissatisfied with the outcome, the applicant petitioned against the election results at the high court. The petition was dismissed and the applicant successfully appealed to the court of appeal. The appellate court ordered the case to be remitted back to the High Court for determination on merits. The High Court then dismissed the applicant’s petition which the applicant appealed to the Court of Appeal. The Court of Appeal held that the High Court lacked the jurisdiction to entertain the petition after the lapse of the six months period for hearing petitions as prescribed by statute. The applicant approached the respondent’s Supreme Court which upheld the Court of Appeal’s decision. It is from that background that the applicant contended that the respondent’s judicial organs through its acts and or omissions failed to abide by the fundamental principles encapsulated in articles 6(d) and 7(2) of the Treaty for the Establishment of the East African Community (the Treaty). The applicant faulted the decision of the Supreme Court of Kenya for its failure to uphold the rule of law and violating her right to access to justice and a fair hearing.

Issues
  1. Whether the reference was time-barred due to the two month limit set under article 30 of the East African Community Treaty.
  2. Whether the reference raised a cause of action against the respondent.
  3. Whether the Kenyan Supreme Court violated the applicant’s right to access to justice as provided by the Kenyan Constitution by dismissing her petition.
  4. Whether the respondent state through the acts and/ or omissions of its judicial organs violated its commitments to the fundamental and operational principles of the EAC Treaty, especially the right to access to justice and a fair trial.
Relevant provisions of the law
Treaty for the Establishment of the East African Community, 2000
Article 6 Fundamental Principles of the Community

The fundamental principles that shall govern the achievement of the objectives of the Community by the Partner States shall include:
a) good governance including adherence to the principles of democracy, the rule of law, accountability, transparency, social justice, equal opportunities, gender equality, as well as the recognition, promotion and protection of human and peoples rights in accordance with the provisions of the African Charter on Human and Peoples’ Rights;

Article 7 (2) Operational Principles of the Community
The Partner States undertake to abide by the principles of good governance, including adherence to the principles of democracy, the rule of law, social justice, and the maintenance of universally accepted standards of human rights.
Constitution of Kenya, 2010
Article 50 – Fair hearing

1) Every person has the right to have any dispute that can be resolved by the application of law decided in a fair and public hearing before a court or, if appropriate, another independent and impartial tribunal or body.
Article 159 – Judicial authority
2) In exercising judicial authority, the courts and tribunals shall be guided by the following principles—
b) justice shall not be delayed;
d) justice shall be administered without undue regard to procedural technicalities; and
e) the purpose and principles of this Constitution shall be protected and promoted.

Article 259 – Construing this Constitution (1) and (8)
1) This Constitution shall be interpreted in a manner that—
a) promotes its purposes, values and principles.
b) advances the rule of law, and the human rights and fundamental freedoms in the Bill of Rights.
c) permits the development of the law.
d) contributes to good governance.
8) If a particular time is not prescribed by this Constitution for performing a required act, the act shall be done without unreasonable delay.


Held:
  1. The instant court had to consider whether to compute time from the date the Kenyan High Court passed its judgment or the time when the Supreme Court passed its judgement. Article 30(2) of the Treaty prescribed a two-month limitation period within which a reference may be instituted in the instant court. The instant court would compute time from the starting date of an act complained of and not the day the act ended which was when the Supreme Court rendered its judgement. As such, the reference was not time barred.
  2. The reference raised the question of access to justice which the applicant contended was denied by the Supreme Court. The right of access to justice was enshrined under article 30 of the East African Community Treaty and bound all member states of the East African Community. As such, the court affirmed that the reference raised a cause of action against the respondent.
  3. The respondent’s judicial branch was obliged to interpret the Kenyan Constitution, 2010, in a manner that promoted the purpose and principles of the respondent’s Constitution. Where the respondent’s actions were inconsistent with the local law and a breach of its obligation under the Treaty to observe the principle of the rule of law, it was the instant court’s inescapable duty to consider the internal laws of such partner state in determining whether the conduct complained of amounted to a violation or contravention of the Treaty.
  4. Section 75(1) of the respondent’s Elections Act granted parties the right to contest alleged electoral malpractices in the High Court of Kenya. It was not in dispute that section 85A of the same Act conferred a right of appeal to the Court of Appeal. On the other hand, article 163(4)(a) of the Constitution of Kenya, 2010, though not conferring a typical second appeal from the Court of Appeal in respect of electoral matters, provided for an appeal to the Supreme Court on matters of constitutional interpretation.
  5. Whereas section 75(2) of the Elections Act fixed the hearing and determination of election petitions in the High Court to six months from the date of filing, it was silent on whether that time frame included the time spent on appeals from High Court decisions (interlocutory or otherwise), or the time within which cases onremission by an appellate court could be determined. Ordinarily, an election petition brought under section 75(1) should be heard and determined within the six-month period stipulated under section 75(2), and should it go on appeal, it would be determined within the six months delineated in section 85A(1)(b). It should be settled on how local courts ought to approach a matter where the appellate court determined an appeal by remitting it back to the trial court.
  6. Access to justice meant that citizens were able to use justice institutions to obtain solutions to their common justice problems. For access to justice to exist, justice institutions had to function effectively to provide fair solutions to citizens’ justice problems.
  7. It was extremely troubling that the Supreme Court held that the Court of Appeal should have decided to terminate the matter before remitting it since it was well aware that any substantive determination of the petition by the High Court would have been an exercise in futility. The apex court clearly suggested that the applicant’s right to be heard and access to justice, including exhausting her right of appeal, were unimportant. It alluded to a recommendation for a court to disregard its duty to administer justice purely because in its estimation, to do so would have been an exercise in futility.
  8. The matter before the Supreme Court was no longer an electoral matter but a search for a constitutional solution to a legal problem. The Supreme Court would be the judicial organ mandated to provide a fair solution to the identified procedural debacle, where no time was explicitly allotted for the hearing of matters on remission. The Kenyan Constitution, 2010 provided an appropriate legal framework for the solution to the unjust situation the applicant found herself.
  9. In the promotion of access to justice, human dignity, equity and social justice, any court sitting in interpretation of the Kenyan Constitution, 2010 where a particular time frame was not prescribed by the Constitution, was urged to construe and remedy the lacuna in such a manner as would ensure that justice should be done without unreasonable delay. There was a duty upon the Supreme Court to redress the identified lacuna in the law so as to engender equity and social justice in the adjudication process. That would not have been tantamount to usurping the legislative role of parliament, but rather might be approached on a case by case basis to ensure that Kenyan law was never silent but always speaking.
  10. The impugned Supreme Court decision fell short on the said judicial organ’s constitutional duty and curtailed the applicant’s right to access to justice. It contravened the rule of law principle enshrined in articles 6(d) and 7(2) of the Treaty.
Application allowed.
Orders
  1. An award of USD $ 25,000 to the applicant.
  2. Simple interest on damages awarded at 6% per annum from the date of the instant judgment until full payment.
  3. Costs awarded to the applicant.
 
Sisi wananchi tunataka Sheria kandamizi zibadilishwe Kwanza ndipo waende huko Kwenye Kiswahili....
Mnaweza kubadili lugha na bado Sheria zikawa kandamizi,katiba mbovu ya kishamba haina mpango ndiyo maana kilasiku tunahitaji mabadiliko ya Sheria na sio lugha
 

Misemo 30 ya dhana za kisheria ktk kilatini inayotakiwa kufahamika na kila mmoja wetu​

30 Latin Legal Terms Everyone Needs to Know​


JD JARGON - Attorney Steve® does it again, this time with this video letting you know the TOP 30 LATIN LEGAL TERMS you probably need to know. Sure there are a ton more, but these are the common everyday terms that may pop up on your bar exam and in the practice of law, especially if you are a pro se litigant.
Source : steve vondran
 
Tatizo baadhi ya watanzania wanajivunia sana kiingereza utadhani lugha ya mama lkn kumbe ni ulimbukeni tu umemjaa kichwani. mpaka leo bado wengi wao wanadhani weledi wa mtu unapomwa kwa kujua kuongea au kuandika kizungu!!! huu ni utumwa uliopo kichwani, tuheshimu lugha yetu ya kiswahili hii ndio lugha yetu na inapaswa itumiwe kila mahala ktk taifa letu...
Yaaani watanzania tunapenda kujitekenya ,kwanini mpaka leo mmeshindwa elimu yetu kuanzia kid a to cha kwanza na kuendelea mmeshindwa kuitoa kwa lugha ya kingereza? Mnajifanya ni wazalendo wa lugha ya kiswahili bila kujua kwanini kingereza mnaendelea kukitumia katika taaluma zenu zote.Tusidanganyane kingereza kwa nchi kama yetu kinahitajika zaidi kuliko kiswahili kwa kuwa hakuna hata kimoja cha kwenu mnachotengeneza wala kubuni.
 
Waziri wa Katiba na Sheria, Dkt. Mwigulu Nchemba amemtaka Katibu Mkuu wa Wizara hiyo, kutafuta wataalamu mara moja wenye uwezo wa kutafsiri sheria zote za nchi kwa lugha ya Kiswahili...

Angehimiza Uhuru wa mhimili huu angekuwa ametenda haki zaidi
 
kinacho takiwa hapa ni kurahisisha watu kuelewa haki zao kwa kutumia lugha yao ya kiswahili,...

Kwani mkuu unafikiri watu hawazijui hukumu zao?

Wakati wa mwenendo zinatumika lugha mbili kiingereza na kiswahili hadi hukumu inatolewa waheshimiwa mahakimu na majaji huwa wanawafafanulia vema wahusika maamuzi.

Ukiongelea kusoma neno kwa neno na kuelewa hiyo ni taaluma au ujuzi. Ubaya wa sheria ni unaweza ukasoma neno kwa neno na usielewe pia hivyo haipo sababu ya kuandika kiswahili hukumu tofauti na za mahakama ya mwanzo na mabaraza ya kata ambapo wakili haruhusiwi.

Hapa kuna jambo Mh. Waziri anachanganya na ni lazima aelezwe.
 
Hamjui lugha acheni visingizio! Hata kiswahili tu hamjui, utasikia "miladi" " laisi" "bizaa", "mirasi". Suluhisho ni kutoa elimu bora na Watanzania wapende kujifunza na kutafuta maarifa.
Mkuu kiswahili tunachokiongea hatujakipatia darasani,hata hicho kiingereza kinachozungumzwa sasa hivi sehemu kubwa ni tofauti na kiingereza kilichozungumzwa zamani.
 
Angehimiza Uhuru wa mhimili huu angekuwa ametenda haki zaidi
Suala la uhuru ni jambo lengine na hili linalozungumzwa hapa ni jambo lengine,jifunze kuweka kila kitu mahala pake kama ulivyofanya wakati wa uchaguzi uliacha kupiga kelele za corona na kujikita kwenye uchaguzi na kusifia nyomi.
 
Yaaani watanzania tunapenda kujitekenya ,kwanini mpaka leo mmeshindwa elimu yetu kuanzia kid a to cha kwanza na kuendelea mmeshindwa kuitoa kwa lugha ya kingereza? Mnajifanya ni wazalendo wa lugha ya kiswahili bila kujua kwanini kingereza mnaendelea kukitumia katika taaluma zenu zote.Tusidanganyane kingereza kwa nchi kama yetu kinahitajika zaidi kuliko kiswahili kwa kuwa hakuna hata kimoja cha kwenu mnachotengeneza wala kubuni.
Tokea tuanze kutumia hicho kiingereza kufundishia mbona bado hicho kiingereza chenyewe hatujui japo mitihani watu wanafaulu vizuri ila kiingereza kama lugha hatujui hadi leo?
 
Ndugu Mwigulu Nchemba mimi naomba nikupe pongezi za ziada kabisa maana umefungua mlango mkubwa sana ambao ulikuwa umefungwa kwa miaka mingi sana kwenye utoaji wa haki. Lakini mimi kama mwanasheria naomba nikupe ushauri mwingine ambao nadhani utasaidia katika utekelezaji wa hii adhma yako.

Mosi, lugha inayotumika kuandika sheria ni lugha ya kitaalamu ( A Technical Language/ Legalese), hivyo hata utatafsiri kwa lugha yako mama suala la uelewa bado litakuwa ni changamoto kubwa. Hili tatizo siyo lipo tu Tanzania, bali hata kwa nchi kama Uingereza kwasababu lugha ya sheria hutooa baadhi ya maneno kutoka lugha nyingine kama kilatini, kifaransa na kigiriki.

Hii hutokana na sababu kwamba tukibadilisha baadhi ya maneno ya lugha ya kilatini, kifaransa na kigiriki kuja katika lugha zetu basi tunaweza tukawa tumebadilisha maana nzima ya neno kisheria. Hivyo wataalamu wengi husema kukwepa kadhia hii hushauri tusibadilishe maneno hayo kuja katika lugha zetu. Japo wataalamu wengine hushauri kwamba tujitahidi kutumia lugha rahisi (Plain Language) kadiri iwezekanavyo: Hili linawezekana lakini katika upande mwingine kuna baadhi ya maana hubadilika kabisa.

Katika hili nashauri tutumie njia ambazo wenzetu wa mashirika makubwa ya kimataifa kama The International Commission of The Red Cross (ICRC) na The International Law Commission (ILC) hufanya. Wao mbali na kusaidia kufanya tafiti na kuandika sheria mbalimbali husaidia sana katika kuandika COMMENTARIES ON INTERNATIONAL LAW. Hapa wanauchukua mkataba fulani wa kimataifa au kanuni ya kimataifa na kuielezea katika lugha rahisi kabisa bila kubadilisha maana: Wanaandika historia ya hicho kifungu cha sheria, jinsi gani kinategemewa kutumika na mifano halisi panapo wezekana.

Nakumbuka Tanzania baada ya kupata uhuru wizara ya mambo ya nje ilikuwa na utaratibu mzuri wa kuandika COMMENTARIES kwenye mikataba ya kimataifa. Walishawahi kuandaa kitu kiitwacho TANZANIA TREATY SERIES, ambacho kilizungumzia kwa undani baadhi ya mikataba katika uelewa wa mtu wa kawaida kabisa.

Pili, sheria inayosimamia utendaji wa ofisi ya mwansheria mkuu (The Office Attorney General's Discharge of Duties Act) na marekebisho yake ya mwaka 2018, yameanzisha kitu kiitwacho GOVERNMENT LEGAL TEAM ambacho kina wanachama wafuatao: The Attorney General, The Director of Public Prosecutions, The Solicitor General, The Administrator General, The Executive Secretary of the Law Reform Commission of Tanzania, The Chief Parliamentary Draftsman, The Director of Legal Services in Ministry of Justice, and The Director of Legal Services in the ministry responsible for local government.

Kazi kubwa ya hii timu ni kuhakikisha wanasaidia kutengeneza mbinu ambazo zitarahisisha utoaji wa mzuri wa haki kwa wananchi. Hivyo wanafanya vikao viwili na kuandaa repoti ambazo zinamfikia waziri, hivyo kwasababu hii timu inawajibika kwako wewe Waziri wa Katika na Sheria basi nashauri anza nao hawa wataalamu halafu usikie nini mawazo yao. Unachopendekeza ni kitu kizuri sana, lakini ni kikubwa sana kiutekelezaji na kina changamoto za kiuetendaji na kifedha, hivyo nadhani hii timu itakushauri vizuri sana kufanya tafiti za kutosha katika hili.

Tatu, kama hili litafanikiwa basi nadhani kuwe na kitengo maalumu aidha ndani ya Ofisi ya Mwansheria Mkuu Uandishi wa Sheria au Tume ya mabadiliko ya sheria, ambacho kitakuwa kinafanya kazi ya kuandikia COMMENTARY kila sheria ambayo inagusa maisha ya mwananchi wa kawaida moja kwa moja (Ikumbukwe siyo lazima ufanyie hivi kila sheria); Unaweza kufanyia haya kwa sheria muhimu kama Katiba, sheria za ardhi, sheria za kodi na sheria za ndoa.

Naomba nikikumbushe yaliyotokea tume ya mabadiliko ya Katika Jaji ya Warioba: Wao waliandaa kitu kiitwacho BANGO-KITITA YA RANDAMA YA KATIBA, ambayo ilikuwa ni kama COMMENTARY ambayo ilirahisisha uelewa wa vifungu vya ile katiba. Mle ndani kila kifungu kilielezewa kwa undani na jinsi kilitegemea kutumika.

Nadhani kazi hii ya kuandika COMMENTARY asiruhusiwe kufanya kila mtu, maana wanaweza kutuletea mabalaa. Mfano NGO's au Vyuo Vikuu vinaweza kutaka kufanyia COMMENTARY baadhi ya sheria na wakatuletea matatizo ya kiulewa na tafasiri, hivyo nadhani kuwe na chombo maalumu chenye wataalamu wa sheria ambao watakuwa na EXCLUSIVE MONOPOLY katika kufanya hii kazi.

NB: Mheshimiwa ukiwa unafanya mambo ya msingi kama haya nadhani hata sisi ambao hatuukubali huu utawala tunaweza kujifikiria kukuunga mkono. Lakini ule unazi wako wa kuvaa kofia za kina Mao Zedong na kuhubiri siasa za majitaka nadhani ifike mahali uwaachie akili fupi wakina Humphrey Polepole, Nape na MATAGA.

Wewe ni msomi wa PhD so act like one, tunategemea utakuwa unafanya mambo makubwa (Stragegic Issues) kitaifa kama haya na siyo kubishana na Zitto Kabwe kule mitandaoni. Sifahamu kama unafahamu uzito wa wizara uliyonayo, lakini wewe unaweza ukashawishi wimbo la mabadiliko makubwa hadi kwenye mhimili wa mahakama. Hivyo jiheshimu, achana Cheap Popularity, Worship of State Power and Fanaticism, they'll blind you.

Hongera sana kwa kuwa na nia njema mheshimiwa,
Naomba ubadilike tabia na huu mpango usiwe kwenye makaratasi tu.
 
Yaaani watanzania tunapenda kujitekenya ,kwanini mpaka leo mmeshindwa elimu yetu kuanzia kid a to cha kwanza na kuendelea mmeshindwa kuitoa kwa lugha ya kingereza? Mnajifanya ni wazalendo wa lugha ya kiswahili bila kujua kwanini kingereza mnaendelea kukitumia katika taaluma zenu zote.Tusidanganyane kingereza kwa nchi kama yetu kinahitajika zaidi kuliko kiswahili kwa kuwa hakuna hata kimoja cha kwenu mnachotengeneza wala kubuni.
unatumia lugha ya kiingereza kwenye sheria kwa faida ya nani? wazungu ? au waswahili?
kama ni waswahili basi tutumie lugha yetu ya kiswahili, tusijipendekeze sana na lugha za watu wakati lugha yetu inajitosheleza
 
Kwani mkuu unafikiri watu hawazijui hukumu zao?

Wakati wa mwenendo zinatumika lugha mbili kiingereza na kiswahili hadi hukumu inatolewa waheshimiwa mahakimu na majaji huwa wanawafafanulia vema wahusika maamuzi....
swali unalo paswa kujiuliza ni je? hayo yote unayafanya kwa masilahi ya nani? hadi ung'ang'anie kuandika kiingereza wakati muhusika unaye mwandikia ni mswahili mwezako!! kwa nini usimwandikie documenti kwa lugha yake anayo ielewa? kuandika kwa kiswahili kwa mahakama zote kuazia mwanzo, wilaya mpaka makao makuu kutapelekea kurahisisha haki ya mteja kueleweka na kupatikana kwa wakati
 
Asante mhe. WAZIRI Kwa kuliona hilo kama kikwazo cha upatikanaji wa haki za wananchi, ni kweli kuwa matumizi ya lugha ya kiingereza yamechangia Kwa asilimia kubwa kutokupatikana Kwa haki ZA wananchi Kwa wakati.

Kwakweli matumizi ya Lugha ya kiingereza sio Kwa maslahi ya mtanzania. Nimekuwa nikijiuliza hivi matumizi ya Lugha kingereza ni Kwa faida ya nani haswa? Wakati anaye andikiwa ni mtanzania anaye zungumza kiswahili?

Si dhambi wala ujinga kutumia kiswahili chetu ktk kutoa haki ZA watanzania wenzetu, unatumia kuandika Kwa kingereza ili umfurahishe nani?

Matumizi ya kiingereza yalikuwa yana mnufaisha mkoloni sasa leo hii tuko huru mfumo huu unamnufaisha nani? Mkoloni au Mtanzania?
Asante WAZIRI Kwa mabadiliko haya, tunaomba uyasimamie
 
Mimi ni mmoja ya waswahili ambao nashangaa sana kuona nyaraka yoyote hususan sheria ikiwa kwenye lugha ya kigeni. Wengine wataniona mtu wa ajabu, lakini nakubali uhalisia kuwa kuandika kwa kiswahili hata lugha ya kusomeshea ni moja ya hatua muhimu katika maendeleo ya jamii.

Kiengereza kinafahamika, lakini sio sawa na kiswahili.
 
Nasemaje hoja ya Mwigulu ktk wakati huu ni kutafuta yasiojulikana. Wazo lako hili haliendani na anacho taka mwenye nchi wala haliendani na maagizo ya kupunguza matumizi na kubana.

Sasa nakushauri rev hili wazo au subiri kukutana na mkono wa hasira wa namba moja nakumuweka yule ambaye ndie alitaka akae. Au kama ndio unapima kina wewe pima tu. Watakufulahisha ukisha zama.
Nitetesi tu.
 
Shida siyo sheria ziwe kwenye lugha ya kiswahili au kiingereza... shida kubwa hizo sheria zinatenda haki kwa mwananchi maana sheria zenyewe hazifuatwi kila mtu akiamka ana lake.
 
swali unalo paswa kujiuliza ni je? hayo yote unayafanya kwa masilahi ya nani? hadi ung'ang'anie kuandika kiingereza wakati muhusika unaye mwandikia ni mswahili mwezako!! kwa nini usimwandikie documenti kwa lugha yake anayo ielewa? kuandika kwa kiswahili kwa mahakama zote kuazia mwanzo, wilaya mpaka makao makuu kutapelekea kurahisisha haki ya mteja kueleweka na kupatikana kwa wakati

Rafiki sheria ya Tz haiishi hapa Tanzania tu, kuna nchi za jumuia ya madola nao wanaziangalia pia na kuzitumia.

Zaidi ya yote, sheria ni taaluma na lugha ya taaluma Tz ni kiingereza

Usisahau kiswahili ni lugha ya taifa na si lugha ya taaluma.
 
Back
Top Bottom