Lazima umuelewe,ni mambo yako hayo...,πNamwelewa sana huyu mama[emoji1787][emoji1787]
Ungeificha kwapani tuu, maana hamna namna,lolHuyu maza huyu dah πππ angekuwa maza angu sijui sura ningeificha wapi akyanani
Na siku mitambo ikizima ajitokeze kutuambiaWAZIRI wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dk. Dorothy Gwajima amesema baada ya kuchanja chanjo ya UVIKO-19, mume wake ametesti 'mitambo' kwake na kukuta yupo 'fiti'
Ametoa kauli hiyo leo jijini Mwanza alipokagua jengo la Mama na Mtoto katika Hospitali ya Sekou Toure.
Amesema chanjo haiathiri kitu chochote katika mwili ndiyo maana yeye yupo vizuri baada ya kuchanja chanjo hiyo.
Maza anaropokwa sana yaniUngeificha kwapani tuu, maana hamna namna,lol