Bepari la Kinyambo
JF-Expert Member
- Apr 29, 2020
- 852
- 1,081
Noma
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ref; Dr. Shika ni humo humo MkuuNAOMBA kuuliza Kama huyu mama kasoma URUSI
anakila dalili za kuonesha kasoma huko Nina anko wangu kasoma huko yaan wanafanana kitabia na huyu mama kabisa
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Siwezi jivunia chizi aisee! Mtu hajalewa anaongea pumba namna hio akipiga mabuyu 3 ya safari si ndio itakuwa balaa😂Ungejivunia sana ila ndiyo siyo your mother that why umeandika hivyo 😃!.
Mimi namuoneaga huruma zaidi.Nadhani wizara yake ni kati ya wizara zinazopita kwenye wakati mgumu sana.kumbuka yeye alikuwa front kwenye kutuhamasisha kutumia njia za asili(michemsho ya tangawizi) kujilinda na covid. yaani amekuwa flexible kupita kiasi kwenda na upepoHuyu maza huyu dah 😂😂😂 angekuwa maza angu sijui sura ningeificha wapi akyanani
Hiki ndio chuma halisi sasa sio wale wa kuvunga 😆😆😆😆WAZIRI wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dk. Dorothy Gwajima amesema baada ya kuchanja chanjo ya UVIKO-19, mume wake ametesti 'mitambo' kwake na kukuta yupo 'fiti'
Ametoa kauli hiyo leo jijini Mwanza alipokagua jengo la Mama na Mtoto katika Hospitali ya Sekou Toure.
Amesema chanjo haiathiri kitu chochote katika mwili ndiyo maana yeye yupo vizuri baada ya kuchanja chanjo hiyo.
Hahahahah namsubiri Askofu chidi mzee wa “Amfifiro” akiwashe hapo ufufuo na uzima 😂Mimi namuoneaga huruma zaidi.Nadhani wizara yake ni kati ya wizara zinazopita kwenye wakati mgumu sana.kumbuka yeye alikuwa front kwenye kutuhamasisha kutumia njia za asili(michemsho ya tangawizi) kujilinda na covid. yaani amekuwa flexible kupita kiasi kwenda na upepo
Ulipigwa na nani?Ila huyu waziri tulipigwa asee[emoji23][emoji23][emoji119][emoji119]
Huyu maza huyu dah 😂😂😂 angekuwa maza angu sijui sura ningeificha wapi akyanani
Lakini mkuu si anajaribu kutoa hofu kwa umma na kumprove wrong mzee wa ufufuo Kwamba chanjo ni salamaSiwezi jivunia chizi aisee! Mtu hajalewa anaongea pumba namna hio akipiga mabuyu 3 ya safari si ndio itakuwa balaa😂
Sanaaa anahamasisha kunyanduana huyu kwa kauli zakeBibie yupo romantic kinoma yaani