#COVID19 Waziri Dorothy Gwajima: "Mume wangu ametest mitambo, kakuta Niko fiti"

#COVID19 Waziri Dorothy Gwajima: "Mume wangu ametest mitambo, kakuta Niko fiti"

Perhaps has a problem
IMG-20210818-WA0026.jpg
IMG-20210818-WA0024.jpg
 
Hadi leo nashindwaga kuelewa aina hii ya waziri alipewaje, yawezekana ana uwezo tu wa darasani wa kukariri ama kufanya hesabu na ana vyeti kibao lakini kiukweli huyu mama ana matatizo ya kiakili
 
WAZIRI wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dk. Dorothy Gwajima amesema baada ya kuchanja chanjo ya UVIKO-19, mume wake ametesti 'mitambo' kwake na kukuta yupo 'fiti'...
Hizi kauli achunge zisije mponza
 
Hadi leo nashindwaga kuelewa aina hii ya waziri alipewaje, yawezekana ana tu za darasani za kukariri ama kufanya hesabu lakini kiukweli huyu mama ana matatizo ya kiakili
Ndio madhara ya kuchagua watu kwa kuangalia makaratasi😂!!! Maana Magu yeye alikuwa akiona PhD na anatokea kanda ya ziwa tu anaona huyu anafaa
 
Ungebaini Kama mzee alitest mitambo Jana😂😂😂😂
Ni Kenyatta seniour peke yake ndio alikua anaongea Mambo yake na waif hadharani.
Kenyatta alikuwa wa hovyo basi, overconfidence ni kitu kibaya sana hasa akiwa nacho mwanamke😂
 
Kwa hiyo ni mjamzito?? Au ufiti gani anaongelea?

Ndipo mjue kwamba chanjo inaondoa akili vichwani. Huwezi kuwa mwanasayansi ukaconclude madhara ya chanjo kwa s.xual competence. Huu ni mzaha. Anapshwa kujiuzuru vinginevyo taifa linaangamia. Watu wanaongelea madhara ya msingi kama:-

1. Kubadilishwa DNA irreparably,
2. Kufanywa sterile mtu aziweze kuzaa maishani.
3. Miscarriages yaani kuharibika kwa ujauzito.
4. Kudhoofu kwa kinga za mwili na kuwa prone kwa magonjwa ambayo kabla ya chanjo mwili wa mtu ulikuwa na uwezo wa kupigana nayo na kuyashinda bila dawa.
5. Watu wanaongelwa habari za vifo baada ya chanjo,
6.Kugandadamu, na kupooza.
7. Uwezo wa chanjo ambayo ndiyo agend akubwa kwa sasa kwamba America imeona chanjo haina nguvu tena kwa hiyo lazima ije nyingine ambayo haielweiki kama itakuwa na uwezo wa nini.
8. Maswali ni kwa nini wanaochanjwa wanakufa sawa na wasiochanjwa.
9> kwa nini wlaiochajnwa wanahofu ya maambukizi kuliko wasiochanjwa hadi walazimishe kila mtu achanjwe ikiwa wao wamehakikishiwa hakuna kufa kwa corona maana wamenchanjwa.

10. Madhara yaliyoonekana yatokanayo na chanjo hizi kwa wanyama.

11. Sintofahamu ya madhara mengine baada ya miaka 10 mble
n.k.

Halafu eti waziri wa afy aanaleta upumbavu wa namna hii. Anapashwa kujiuzuru kwa maslahi ya taifa. Tayari chancjo imemfanya mwenu na hafai kuendelea kuongoza watu.
 
Daah nimecheka kweli aisee...life goes on mama njoo na nyingine kesho jana ulitoka na mkono wa baunsa...
 
My country [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
SASA CHA AJABU HAPO NI KIPI KILA MWENYE MKE SI HUWA ANAFANYA HILO TENDO AU KUNA WENGINE WAMEOA LAKINI WANAKAA NAO TU KAMA SANAMU?NI SAWA NA MTU KUONA AIBU KUSEMA ANAKUNYAGA
 
At Least she has a Sense of Humour..., I will give her that....
 
Back
Top Bottom