#COVID19 Waziri Dorothy Gwajima: "Mume wangu ametest mitambo, kakuta Niko fiti"

#COVID19 Waziri Dorothy Gwajima: "Mume wangu ametest mitambo, kakuta Niko fiti"

Ndugu unawajua wanawake wa Kinyiramba?acha nikumegee;
1. Wanapenda ngono ukicheza unaachwa
2. Ni wa gomvi balaa na wanapiga mkono unaweza kimbia
3. Hayanaga aibu yoyote
Dah bure kabisa yani jamaa kwahio anaweza kula mkong’oto jazz band akileta fyoko zake
 
Ahula haula maneno ya waziri hayo.kwa hii kauli angetakiwa awe docta wa vichaa kule mirembe sisi inatuhusu nini kama watanzania? Kama nae kachanja naona madhara ya chanjo yanaharibu akili
 
IMG_20210705_152830.jpg
 
Labda ufe kwa ajali. Ukifa kwa home yeyote hile watasema ni COVID19 ata kama umechanja siku hizi. Kwa hiyo Mama kazi hipo kwako
 
Halafu ashindwe kuamulisha majeshi kukamata anayechukua mumewe?
 
WAZIRI wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dk. Dorothy Gwajima amesema baada ya kuchanja chanjo ya UVIKO-19, mume wake ametesti 'mitambo' kwake na kukuta yupo 'fiti'...
okay we've heard enough she got to go, ,how she go put that thought in our mind? .. anyway she s a MILF though or Mature ebony hahaha god help me
 
Dah bure kabisa yani jamaa kwahio anaweza kula mkong’oto jazz band akileta fyoko zake
Bro usithubutu kuoa hilo kabila, hawana aibu unapigwa tena mbele za watu, hata ukimpiga vipi hakubali kushindwa, wana msemo wao (bulgha au bulaga) maana yake niue tu lkn sikuachii
 
Bro usithubutu kuoa hilo kabila, hawana aibu unapigwa tena mbele za watu, hata ukimpiga vipi hakubali kushindwa, wana msemo wao (bulgha au bulaga) maana yake niue tu lkn sikuachii
Dah 😂😂😂 nashukuru mungu sijakutanaga na hizo namba
 
Mh huyu mama mh Kazi tunayo. Mwanamke anafikia hatua ya kutangaza umahiri/urijali wa mumewe hadharani............... Maadili yetu yako wapi? Why hakumuacha/mshawishi mumewe amsemee katika hili?.......... kwani ni lazima kutumia nguvu kubwa namna hii kuhamasisha chanjo?............... !
 
Ni kama dishi limeyumba hivi,hamuoni mwenzake ummy alivyo tulia,mme wake ana kazi sana.
Nyie wenye madishi mazima hamujawahi kuwa hata wajumbe wa mtaa na kuwa na chochote kile
 
Back
Top Bottom