Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nyie wenye madishi mazima hamujawahi kuwa hata wajumbe wa mtaa na kuwa na chochote kile
Anajua akili zenu... Wacha aishi sawa sawia na matendo yenu..Ni kama dishi limeyumba hivi,hamuoni mwenzake ummy alivyo tulia,mme wake ana kazi sana.
Mzee unaambiwa mshikaji wangu alioa hilo kabila ndani ya mwezi alibaki kama njiti za kiberiti, jamaa aki tip mchanga anaambia jaza tena na tena na tena karibu aikimbie nyumba[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] wanapenda dyudu kupitilza halafu wanacheza hadi mechi za nani kwa ndaniDah [emoji23][emoji23][emoji23] nashukuru mungu sijakutanaga na hizo namba
Hii ni takataka aisee[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ila huyu waziri tulipigwa asee[emoji23][emoji23][emoji119][emoji119]
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Huyu mama kumbe nae ni mzee wa mipasho!
Haya bhana tutasikia mengi sana mpaka wimbi hili la covid-19 litakapotulia, nasubiri na kauli ya Mollel kuhusu mke wake!
mkuu umefanya siku yangu iishe vizuri, nimecheka sana wallah[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ila huyu waziri tulipigwa asee[emoji23][emoji23][emoji119][emoji119]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]mkuu umefanya siku yangu iishe vizuri, nimecheka sana wallah[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hivi huyu Waziri aliokotwa wapi?WAZIRI wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dk. Dorothy Gwajima amesema baada ya kuchanja chanjo ya UVIKO-19, mume wake ametesti 'mitambo' kwake na kukuta yupo 'fiti'
Ametoa kauli hiyo leo jijini Mwanza alipokagua jengo la Mama na Mtoto katika Hospitali ya Sekou Toure.
Amesema chanjo haiathiri kitu chochote katika mwili ndiyo maana yeye yupo vizuri baada ya kuchanja chanjo hiyo.
Pia, soma =▷ Waziri Gwajima: IGP Sirro yupo sahihi, wanaonichonganisha nitawavua nguo hadharani. Asema Corona imesababisha vifo vya kutosha
Hahahahah jau tuNamwelewa sana huyu mama[emoji1787][emoji1787]
DNA itafanya kazi yake... Replication, Repair na Relocation..... Rearrangement.Nadhani anajua soon anakua replaced,,I think rais akirudi kutoka SADC atakua replaced
Kitu mnato, kama kazaliwa jana.Kwa hiyo ni mjamzito? Au ufiti gani anaongelea?
Waziri wetu ni mcheshi kupitiliza,kwa jinsi alivo namuona ana kipaji pia Cha uchekshaji (stand-up comedy)
Unakoelekea mh... kuna jambo limekusibu.Waziri kasema ukweli sioni shida ya kumnanga kwa kusema ukweli tuache unafiki
Aulizwe vipi, wakati mwenye mali kathibitisha mali iko mnato!Aulizwe mume ili kubalansi stori