#COVID19 Waziri Dorothy Gwajima: "Mume wangu ametest mitambo, kakuta Niko fiti"

#COVID19 Waziri Dorothy Gwajima: "Mume wangu ametest mitambo, kakuta Niko fiti"

Wakati waumini wa Gwajiboy wakisubiri mirindimo Jumapili, Gwajigirl anarindima ndani ya Rock City.

Aibu naona mimi raia wa kawaida[emoji23]
 
WAZIRI wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dk. Dorothy Gwajima amesema baada ya kuchanja chanjo ya UVIKO-19, mume wake ametesti 'mitambo' kwake na kukuta yupo 'fiti'

Ametoa kauli hiyo leo jijini Mwanza alipokagua jengo la Mama na Mtoto katika Hospitali ya Sekou Toure.

Amesema chanjo haiathiri kitu chochote katika mwili ndiyo maana yeye yupo vizuri baada ya kuchanja chanjo hiyo.

Pia, soma =▷ Waziri Gwajima: IGP Sirro yupo sahihi, wanaonichonganisha nitawavua nguo hadharani. Asema Corona imesababisha vifo vya kutosha

Bila aibu nazungumzia mambo ya chumbani ili kumshawishi watu. Aibu sana
 
Sure! Usishangae soon mabaharia wakianza kuichangamkia. Hapo odo ameipromote chanjo bila yeye kujua
Ikipungua nguvu mwilini unarudi kukazia. WHO wakija kushtuka chanjo zilizotumika Tz zinazidi idadi ya watu.
 
WAZIRI wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dk. Dorothy Gwajima amesema baada ya kuchanja chanjo ya UVIKO-19, mume wake ametesti 'mitambo' kwake na kukuta yupo 'fiti'.

Ametoa kauli hivyo leo jijini Mwanza alipokagua jengo la Mama na Mototo katika Hospitali ya Sekou Toure.

Amesema chanjo haiathiri kitu chochote katika mwili ndiyo maana yeye yupo vizuri baada ya kuchanja chanjo hiyo.
 
Kaongea vema.Yeye km Waziri wa Afya hapaswi kuficha wala kuonea aibu kwenye lolote linalohusu afya za watu. Km madaktari/ Manesi wangekuwa na aibu basi wasingeweza kuwazalisha mama na dada zetu. Mi nampongeza kwa kweli!
 
WAZIRI wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dk. Dorothy Gwajima amesema baada ya kuchanja chanjo ya UVIKO-19, mume wake ametesti 'mitambo' kwake na kukuta yupo 'fiti'

Ametoa kauli hiyo leo jijini Mwanza alipokagua jengo la Mama na Mtoto katika Hospitali ya Sekou Toure.

Amesema chanjo haiathiri kitu chochote katika mwili ndiyo maana yeye yupo vizuri baada ya kuchanja chanjo hiyo.

Pia, soma =▷ Waziri Gwajima: IGP Sirro yupo sahihi, wanaonichonganisha nitawavua nguo hadharani. Asema Corona imesababisha vifo vya kutosha

Mie Sichanji aisee...
Huyu mama Chanjo imeanza fanya kazi
 
Tanzania tuna tatizo( TTT)! Tulitatue (T)!

Hii ni code mpya yaani TTT! T!
====
Kuondoa baadhi ya majukwaa kutakuwa kumeathiri wengi.
 
Kwahiyo kampiga mimba au? Maana kama kutest kwenyewe mitambo ni kula tu mzigo basi aisee tuna uhaba mkubwa wa marijali. Si Gwajima kachanja toka wiki kadhaa zilizopita? Yani jamaa ndo katest juzi kisha mrejesho leo ama? Yani jamaa wiki zote hizo alikuwa anakusanya nguvu ya kutest mitambo au? Victoire mpenzi wangu emb nisaidie kwa hili tafadhali!
 
Back
Top Bottom