#COVID19 Waziri Dorothy Gwajima: "Mume wangu ametest mitambo, kakuta Niko fiti"

#COVID19 Waziri Dorothy Gwajima: "Mume wangu ametest mitambo, kakuta Niko fiti"

Ni nukuu ambayo nimeiona katika Mitandao wa Nipashe na bahati mbaya Mimi Kiswahili sikijui vizuri hivyo wenye kukijua naomba mnieleweshe tafadhali.

Kumbe Mume wa Waziri wa Afya Dk. Dorothy Gwajima anamiliki Mtambo huku Serikali na IGP Sirro hawajui na baada ya Kuchanjwa tu J&J ya UVIKO-19
ameutesti Nyumbani Kwake mbele yake Mkewe na Kugundua haujaathirika na chochote?

Je, kuna Watu wengine nao Kwingineko baada ya Kuchanjwa tu UVIKO-19 huko waliko wameshatesti Mitambo yao na Kuona Wako Fiti na kwamba Makombora yao yanarusha vyema risasi na Adui zikimfikia huwa anasikia Utamu na Raha japo hufa?

Binafsi pia nataka Kesho nikachanje na nikimaliza tu nitapumzika na mida ya Usiku nitaanza Kutesti nami Mtambo wangu ninaoumiliki Kihalali tokea nizaliwe kuanzia Kimboka kisha Afrika Sana na nitamalizia kati ya Juliana au Beach Kidimbwi na Majaribio yangu hayo yakienda vyema nitawaletea Mrejesho hapa hapa.
 
Wanatuchezea kama mwanasesere. Kwa mbaali naona yule wa sheria ameanza kujitambua. Simuoni akifanya sarakasi hadharani.
 
Ni nukuu ambayo nimeiona katika Mitandao wa Nipashe na bahati mbaya Mimi Kiswahili sikijui vizuri hivyo wenye kukijua naomba mnieleweshe tafadhali.

Kumbe Mume wa Waziri wa Afya Dk. Dorothy Gwajima anamiliki Mtambo huku Serikali na IGP Sirro hawajui na baada ya Kuchanjwa tu J&J ya UVIKO-19
ameutesti Nyumbani Kwake mbele yake Mkewe na Kugundua haujaathirika na chochote?

Je, kuna Watu wengine nao Kwingineko baada ya Kuchanjwa tu UVIKO-19 huko waliko wameshatesti Mitambo yao na Kuona Wako Fiti na kwamba Makombora yao yanarusha vyema risasi na Adui zikimfikia huwa anasikia Utamu na Raha japo hufa?

Binafsi pia nataka Kesho nikachanje na nikimaliza tu nitapumzika na mida ya Usiku nitaanza Kutesti nami Mtambo wangu ninaoumiliki Kihalali tokea nizaliwe kuanzia Kimboka kisha Afrika Sana na nitamalizia kati ya Juliana au Beach Kidimbwi na Majaribio yangu hayo yakienda vyema nitawaletea Mrejesho hapa hapa.
Wizara ya afya haina waziri wala naibu waziri toka 2021 ianze,huyo unaemsema anafile mirembe ni mwehe tu shemeji wa anfanfiro
 
Ni nukuu ambayo nimeiona katika Mitandao wa Nipashe na bahati mbaya Mimi Kiswahili sikijui vizuri hivyo wenye kukijua naomba mnieleweshe tafadhali.

Kumbe Mume wa Waziri wa Afya Dk. Dorothy Gwajima anamiliki Mtambo huku Serikali na IGP Sirro hawajui na baada ya Kuchanjwa tu J&J ya UVIKO-19
ameutesti Nyumbani Kwake mbele yake Mkewe na Kugundua haujaathirika na chochote?

Je, kuna Watu wengine nao Kwingineko baada ya Kuchanjwa tu UVIKO-19 huko waliko wameshatesti Mitambo yao na Kuona Wako Fiti na kwamba Makombora yao yanarusha vyema risasi na Adui zikimfikia huwa anasikia Utamu na Raha japo hufa?

Binafsi pia nataka Kesho nikachanje na nikimaliza tu nitapumzika na mida ya Usiku nitaanza Kutesti nami Mtambo wangu ninaoumiliki Kihalali tokea nizaliwe kuanzia Kimboka kisha Afrika Sana na nitamalizia kati ya Juliana au Beach Kidimbwi na Majaribio yangu hayo yakienda vyema nitawaletea Mrejesho hapa hapa.
Sikiliza wewe muhutu, tz sio sawa na huko rwanda kwenu
 
Kwamba unataka kusemaje labda?
JamiiForums1467015331.jpg
 
Huyu mama ni mhuni sana, huyu msukuma aliyemuoa sijui alimkuta wapi mama mwenye nyodo hivi.
 
  • Kicheko
Reactions: BAK
Nguvu za gegedo zimeongezeka mara mbili. 😂😂
Ni nukuu ambayo nimeiona katika Mitandao wa Nipashe na bahati mbaya Mimi Kiswahili sikijui vizuri hivyo wenye kukijua naomba mnieleweshe tafadhali.

Kumbe Mume wa Waziri wa Afya Dk. Dorothy Gwajima anamiliki Mtambo huku Serikali na IGP Sirro hawajui na baada ya Kuchanjwa tu J&J ya UVIKO-19
ameutesti Nyumbani Kwake mbele yake Mkewe na Kugundua haujaathirika na chochote?

Je, kuna Watu wengine nao Kwingineko baada ya Kuchanjwa tu UVIKO-19 huko waliko wameshatesti Mitambo yao na Kuona Wako Fiti na kwamba Makombora yao yanarusha vyema risasi na Adui zikimfikia huwa anasikia Utamu na Raha japo hufa?

Binafsi pia nataka Kesho nikachanje na nikimaliza tu nitapumzika na mida ya Usiku nitaanza Kutesti nami Mtambo wangu ninaoumiliki Kihalali tokea nizaliwe kuanzia Kimboka kisha Afrika Sana na nitamalizia kati ya Juliana au Beach Kidimbwi na Majaribio yangu hayo yakienda vyema nitawaletea Mrejesho hapa hapa.
 
WAZIRI wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dk. Dorothy Gwajima amesema baada ya kuchanja chanjo ya UVIKO-19, mume wake ametesti 'mitambo' kwake na kukuta yupo 'fiti'

Ametoa kauli hiyo leo jijini Mwanza alipokagua jengo la Mama na Mtoto katika Hospitali ya Sekou Toure.

Amesema chanjo haiathiri kitu chochote katika mwili ndiyo maana yeye yupo vizuri baada ya kuchanja chanjo hiyo.

Pia, soma =▷ Waziri Gwajima: IGP Sirro yupo sahihi, wanaonichonganisha nitawavua nguo hadharani. Asema Corona imesababisha vifo vya kutosha


Mitambo! Image result for ndizi
 
Back
Top Bottom