Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ahahahaaUkitaka umfaidi unamvisha barakoa ili usione Ile sura.
Wizara ya afya haina waziri wala naibu waziri toka 2021 ianze,huyo unaemsema anafile mirembe ni mwehe tu shemeji wa anfanfiroNi nukuu ambayo nimeiona katika Mitandao wa Nipashe na bahati mbaya Mimi Kiswahili sikijui vizuri hivyo wenye kukijua naomba mnieleweshe tafadhali.
Kumbe Mume wa Waziri wa Afya Dk. Dorothy Gwajima anamiliki Mtambo huku Serikali na IGP Sirro hawajui na baada ya Kuchanjwa tu J&J ya UVIKO-19
ameutesti Nyumbani Kwake mbele yake Mkewe na Kugundua haujaathirika na chochote?
Je, kuna Watu wengine nao Kwingineko baada ya Kuchanjwa tu UVIKO-19 huko waliko wameshatesti Mitambo yao na Kuona Wako Fiti na kwamba Makombora yao yanarusha vyema risasi na Adui zikimfikia huwa anasikia Utamu na Raha japo hufa?
Binafsi pia nataka Kesho nikachanje na nikimaliza tu nitapumzika na mida ya Usiku nitaanza Kutesti nami Mtambo wangu ninaoumiliki Kihalali tokea nizaliwe kuanzia Kimboka kisha Afrika Sana na nitamalizia kati ya Juliana au Beach Kidimbwi na Majaribio yangu hayo yakienda vyema nitawaletea Mrejesho hapa hapa.
Sikiliza wewe muhutu, tz sio sawa na huko rwanda kwenuNi nukuu ambayo nimeiona katika Mitandao wa Nipashe na bahati mbaya Mimi Kiswahili sikijui vizuri hivyo wenye kukijua naomba mnieleweshe tafadhali.
Kumbe Mume wa Waziri wa Afya Dk. Dorothy Gwajima anamiliki Mtambo huku Serikali na IGP Sirro hawajui na baada ya Kuchanjwa tu J&J ya UVIKO-19
ameutesti Nyumbani Kwake mbele yake Mkewe na Kugundua haujaathirika na chochote?
Je, kuna Watu wengine nao Kwingineko baada ya Kuchanjwa tu UVIKO-19 huko waliko wameshatesti Mitambo yao na Kuona Wako Fiti na kwamba Makombora yao yanarusha vyema risasi na Adui zikimfikia huwa anasikia Utamu na Raha japo hufa?
Binafsi pia nataka Kesho nikachanje na nikimaliza tu nitapumzika na mida ya Usiku nitaanza Kutesti nami Mtambo wangu ninaoumiliki Kihalali tokea nizaliwe kuanzia Kimboka kisha Afrika Sana na nitamalizia kati ya Juliana au Beach Kidimbwi na Majaribio yangu hayo yakienda vyema nitawaletea Mrejesho hapa hapa.
Hahahah, wamemtestia mitambo, 5G 😂😂Waziri kama waziri katestiwa mitambo
Nimekulazimisha uufungue huu Uzi? Silly...!!!Kichwa cha habari ni swali,halafu content umejijibu mwenyewe!
Haya ni maajabu mengine tena.
Ndugu huyu wa Kushoto ndiyo Mtesti Mitambo wake Mwandamizi Mheshimiwa Waziri wa Afya Dk. Dorothy Gwajima au?Kwamba unataka kusemaje labda?View attachment 1897399
Haya mabadiliko madogo yanaweza kupita nayeMimi na tabiri muda mwaka huu hauishi atakuwa ameshajiuzuru au kondolewa kwenye uwaziri wa afya
Tuchanje kisha Tutestiane Mitambo yetu ya Kiasili tunayoimiliki tokea tuzaliwe Majumbani mwetu tu.Lengo la uzi ni Nini?
Ni nukuu ambayo nimeiona katika Mitandao wa Nipashe na bahati mbaya Mimi Kiswahili sikijui vizuri hivyo wenye kukijua naomba mnieleweshe tafadhali.
Kumbe Mume wa Waziri wa Afya Dk. Dorothy Gwajima anamiliki Mtambo huku Serikali na IGP Sirro hawajui na baada ya Kuchanjwa tu J&J ya UVIKO-19
ameutesti Nyumbani Kwake mbele yake Mkewe na Kugundua haujaathirika na chochote?
Je, kuna Watu wengine nao Kwingineko baada ya Kuchanjwa tu UVIKO-19 huko waliko wameshatesti Mitambo yao na Kuona Wako Fiti na kwamba Makombora yao yanarusha vyema risasi na Adui zikimfikia huwa anasikia Utamu na Raha japo hufa?
Binafsi pia nataka Kesho nikachanje na nikimaliza tu nitapumzika na mida ya Usiku nitaanza Kutesti nami Mtambo wangu ninaoumiliki Kihalali tokea nizaliwe kuanzia Kimboka kisha Afrika Sana na nitamalizia kati ya Juliana au Beach Kidimbwi na Majaribio yangu hayo yakienda vyema nitawaletea Mrejesho hapa hapa.
Ndio manaakeNdugu huyu wa Kushoto ndiyo Mtesti Mitambo wake Mwandamizi Mheshimiwa Waziri wa Afya Dk. Dorothy Gwajima au?
Huyu mama ni mhuni sana, huyu msukuma aliyemuoa sijui alimkuta wapi mama mwenye nyodo hivi.
WAZIRI wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dk. Dorothy Gwajima amesema baada ya kuchanja chanjo ya UVIKO-19, mume wake ametesti 'mitambo' kwake na kukuta yupo 'fiti'
Ametoa kauli hiyo leo jijini Mwanza alipokagua jengo la Mama na Mtoto katika Hospitali ya Sekou Toure.
Amesema chanjo haiathiri kitu chochote katika mwili ndiyo maana yeye yupo vizuri baada ya kuchanja chanjo hiyo.
Pia, soma =▷ Waziri Gwajima: IGP Sirro yupo sahihi, wanaonichonganisha nitawavua nguo hadharani. Asema Corona imesababisha vifo vya kutosha