Avriel
JF-Expert Member
- Jun 25, 2017
- 4,950
- 5,378
Alimkuta Singida kwaoHuyu mama ni mhuni sana, huyu msukuma aliyemuoa sijui alimkuta wapi mama mwenye nyodo hivi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alimkuta Singida kwaoHuyu mama ni mhuni sana, huyu msukuma aliyemuoa sijui alimkuta wapi mama mwenye nyodo hivi.
Sijaelewa huyo mume katest mtambo au mitambo? Ipi
Ndio madhara ya kuchagua watu kwa kuangalia makaratasi[emoji23]!!! Maana Magu yeye alikuwa akiona PhD na anatokea kanda ya ziwa tu anaona huyu anafaa
Ndio hao hao wenye PhD tuMbona huyu ni Mnyiramba wa Singida!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Huyu mama hivi ana umri gani maana anaokana kupenda sana issue ya kupelekewa moto
...Dah, huyu Mama naye! Si mtu mzima huyu??WAZIRI wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dk. Dorothy Gwajima amesema baada ya kuchanja chanjo ya UVIKO-19, mume wake ametesti 'mitambo' kwake na kukuta yupo 'fiti'
Ametoa kauli hiyo leo jijini Mwanza alipokagua jengo la Mama na Mtoto katika Hospitali ya Sekou Toure.
Amesema chanjo haiathiri kitu chochote katika mwili ndiyo maana yeye yupo vizuri baada ya kuchanja chanjo hiyo.
Pia, soma =▷ Waziri Gwajima: IGP Sirro yupo sahihi, wanaonichonganisha nitawavua nguo hadharani. Asema Corona imesababisha vifo vya kutosha
Mitambo ipi?WAZIRI wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dk. Dorothy Gwajima amesema baada ya kuchanja chanjo ya UVIKO-19, mume wake ametesti 'mitambo' kwake na kukuta yupo 'fiti'
Ametoa kauli hiyo leo jijini Mwanza alipokagua jengo la Mama na Mtoto katika Hospitali ya Sekou Toure.
Amesema chanjo haiathiri kitu chochote katika mwili ndiyo maana yeye yupo vizuri baada ya kuchanja chanjo hiyo.
Pia, soma =▷ Waziri Gwajima: IGP Sirro yupo sahihi, wanaonichonganisha nitawavua nguo hadharani. Asema Corona imesababisha vifo vya kutosha
Labda jamaa katingisha nyavu mara tatu [emoji23][emoji1787][emoji1646]Kwa hiyo ni mjamzito? Au ufiti gani anaongelea?
CCM inapenda Kama hao.Haya mabadiliko madogo yanaweza kupita naye
Acha kujiondoa ufahamu. Wewe kwa akili yako unahisi Ni mitambo gani?Mitambo ipi?
Nikuulize wewe mwenye kuwa nayo nawe sijui ulitestiwa mitambo ipi mwanangu?Acha kujiondoa ufahamu. Wewe kwa akili yako unahisi Ni mitambo gani?
Hiyo hiyo unayotestiwa na boy friend wakoNikuulize wewe mwenye kuwa nayo nawe sijui ulitestiwa mitambo ipi mwanangu?
Ila mume wa huyu mama ni mvumilivu sana, yani mtu kutestiwa tu mitambo ndio anatangaza kwenye vyombo vya habariWAZIRI wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dk. Dorothy Gwajima amesema baada ya kuchanja chanjo ya UVIKO-19, mume wake