KingCobra95
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 3,249
- 5,863
Mkuu Unakumbuka Magu na Kitwanga walivyokuwa marafiki?ilikuaje mwishoniSidhani mkuu yeye na bi mdashi ni mtu na shoga ake wa kufa mtu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu Unakumbuka Magu na Kitwanga walivyokuwa marafiki?ilikuaje mwishoniSidhani mkuu yeye na bi mdashi ni mtu na shoga ake wa kufa mtu
Nadhani kuna kitu kibaya kimempata huyu mamaWAZIRI wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dk. Dorothy Gwajima amesema baada ya kuchanja chanjo ya UVIKO-19, mume wake ametesti 'mitambo' kwake na kukuta yupo 'fiti'
Ametoa kauli hiyo leo jijini Mwanza alipokagua jengo la Mama na Mtoto katika Hospitali ya Sekou Toure.
Amesema chanjo haiathiri kitu chochote katika mwili ndiyo maana yeye yupo vizuri baada ya kuchanja chanjo hiyo.
Pia, soma =▷ Waziri Gwajima: IGP Sirro yupo sahihi, wanaonichonganisha nitawavua nguo hadharani. Asema Corona imesababisha vifo vya kutosha
Umeona eenhh??, kuna wakati anaongea km zombie vile.Ila huyu waziri tulipigwa asee[emoji23][emoji23][emoji119][emoji119]
Shida sana,ni mropokaji mno.Huyu maza huyu dah [emoji23][emoji23][emoji23] angekuwa maza angu sijui sura ningeificha wapi akyanani
Tunasubili ya kulipwa kama americaHakuna kitu kama hicho,japo mimi bado ila nitachanja kabla wiki haijaisha,nawasihi chanjeni kipindi hiki ambacho kuchanja ni bure kuna kipindi utajuta kama hukuchanja, halafu una jambo haliwezi kwenda mpk uwe na kadi ya kuchanja uviko19...Dunia ndo ishabadilika mkuu huna ujanja wa kwenda tofauti na wakulungwa.
Kuna muda unakuaga na akili sana!![emoji106]Serikali ya CCM imejaa vichaa na hii ni hatari kwa maendeleo na usalama wa nchi!
Au ndo madhara ya chanjo?mtu kuanza kuchizikaNadhani kuna kitu kibaya kimempata huyu mama
Pongezi zimwendee mme wake, KWa test mitambo VIZURI, ila uyu mama ,DSM 10 ,inamuusu ,apelekwe Mara MOJA KWa watu wa kitengo husikaWAZIRI wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dk. Dorothy Gwajima amesema baada ya kuchanja chanjo ya UVIKO-19, mume wake ametesti 'mitambo' kwake na kukuta yupo 'fiti'
Ametoa kauli hiyo leo jijini Mwanza alipokagua jengo la Mama na Mtoto katika Hospitali ya Sekou Toure.
Amesema chanjo haiathiri kitu chochote katika mwili ndiyo maana yeye yupo vizuri baada ya kuchanja chanjo hiyo.
Pia, soma =▷ Waziri Gwajima: IGP Sirro yupo sahihi, wanaonichonganisha nitawavua nguo hadharani. Asema Corona imesababisha vifo vya kutosha
Na mume wake ..imekaa njema tu mbona..Waziri kama waziri katestiwa mitambo
Hamna waziri hapo[emoji1787]WAZIRI wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dk. Dorothy Gwajima amesema baada ya kuchanja chanjo ya UVIKO-19, mume wake ametesti 'mitambo' kwake na kukuta yupo 'fiti'
Ametoa kauli hiyo leo jijini Mwanza alipokagua jengo la Mama na Mtoto katika Hospitali ya Sekou Toure.
Amesema chanjo haiathiri kitu chochote katika mwili ndiyo maana yeye yupo vizuri baada ya kuchanja chanjo hiyo.
Pia, soma =▷ Waziri Gwajima: IGP Sirro yupo sahihi, wanaonichonganisha nitawavua nguo hadharani. Asema Corona imesababisha vifo vya kutosha
JF RahaNaburudika na comments tu!
Haya MzenjiSio siri hadi kaninyegesha huyu Dr.D
Wewe una akili sana kwa kuweka chura hapo kwenye avatar yako!Kuna muda unakuaga na akili sana!![emoji106]