#COVID19 Waziri Dorothy Gwajima: "Mume wangu ametest mitambo, kakuta Niko fiti"

#COVID19 Waziri Dorothy Gwajima: "Mume wangu ametest mitambo, kakuta Niko fiti"

Kuna hatari ya Serikali kusheheni wana taarab. Tutasikia mipasho hadi tuzoee mambo ya pwani.
 
WAZIRI wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dk. Dorothy Gwajima amesema baada ya kuchanja chanjo ya UVIKO-19, mume wake ametesti 'mitambo' kwake na kukuta yupo 'fiti'

Ametoa kauli hiyo leo jijini Mwanza alipokagua jengo la Mama na Mtoto katika Hospitali ya Sekou Toure.

Amesema chanjo haiathiri kitu chochote katika mwili ndiyo maana yeye yupo vizuri baada ya kuchanja chanjo hiyo.

Pia, soma =▷ Waziri Gwajima: IGP Sirro yupo sahihi, wanaonichonganisha nitawavua nguo hadharani. Asema Corona imesababisha vifo vya kutosha

Nadhani kuna kitu kibaya kimempata huyu mama
 
Hakuna kitu kama hicho,japo mimi bado ila nitachanja kabla wiki haijaisha,nawasihi chanjeni kipindi hiki ambacho kuchanja ni bure kuna kipindi utajuta kama hukuchanja, halafu una jambo haliwezi kwenda mpk uwe na kadi ya kuchanja uviko19...Dunia ndo ishabadilika mkuu huna ujanja wa kwenda tofauti na wakulungwa.
Tunasubili ya kulipwa kama america
 
WAZIRI wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dk. Dorothy Gwajima amesema baada ya kuchanja chanjo ya UVIKO-19, mume wake ametesti 'mitambo' kwake na kukuta yupo 'fiti'

Ametoa kauli hiyo leo jijini Mwanza alipokagua jengo la Mama na Mtoto katika Hospitali ya Sekou Toure.

Amesema chanjo haiathiri kitu chochote katika mwili ndiyo maana yeye yupo vizuri baada ya kuchanja chanjo hiyo.

Pia, soma =▷ Waziri Gwajima: IGP Sirro yupo sahihi, wanaonichonganisha nitawavua nguo hadharani. Asema Corona imesababisha vifo vya kutosha

Pongezi zimwendee mme wake, KWa test mitambo VIZURI, ila uyu mama ,DSM 10 ,inamuusu ,apelekwe Mara MOJA KWa watu wa kitengo husika
 
Kuna ubaya Gani hapo..na zaidi Alikuwa anaongea na wanawake wenzake..sasa kama walimuuliza kuhusu mitambo hiyo si alipaswa kuwa jibu!!!?
 
WAZIRI wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dk. Dorothy Gwajima amesema baada ya kuchanja chanjo ya UVIKO-19, mume wake ametesti 'mitambo' kwake na kukuta yupo 'fiti'

Ametoa kauli hiyo leo jijini Mwanza alipokagua jengo la Mama na Mtoto katika Hospitali ya Sekou Toure.

Amesema chanjo haiathiri kitu chochote katika mwili ndiyo maana yeye yupo vizuri baada ya kuchanja chanjo hiyo.

Pia, soma =▷ Waziri Gwajima: IGP Sirro yupo sahihi, wanaonichonganisha nitawavua nguo hadharani. Asema Corona imesababisha vifo vya kutosha

Hamna waziri hapo[emoji1787]
 
Nitaaminije kama mitambo yake bado iko fiti anipe nitest na mimi
 
Back
Top Bottom