Waziri George Simbachawene: Waliowashambulia wapenzi wakiwa faragha kwa madai ya kuwafumania wakamatwe

Waziri George Simbachawene: Waliowashambulia wapenzi wakiwa faragha kwa madai ya kuwafumania wakamatwe

Naamini Huyu jamaa ana Mke...namshauri awe makini asije kuwa kama Kangi aliekaa hapo akaanza kujisahau....Hili jambo la mtu kuchukua mkeo ukimkuta umchekee?? Hivi wewe simbachawene ukikuta mtu na mkeo unafanyaje?? Sasa utawashtaki na sheria gani.??

Nchi ina mambo ya ajabu hii..
Mfano nimemtongoza mkeo barabarani lakini mimi aliniambia hana mtu then tukakubaliana kupeana mema,mimi kosa langu ni lipi hapo?
 
Haifai kuombeana mabaya, lakini kwa waziri huyu yakimkuta atatamani abadili hii sheria! Ngoja yamkute!!
Hahaha, hivi unamfahamu Simba...nje ya uwanja wa siasa?

Ukimkuta kwny ile baa yake kubwa pale Dodoma na washkaji zake hutoamini ni yeye

Pombe na fegi kwa sana
 
Kipigo kilikuwa si cha kitoto.. Lakini itakuwaje ikithibitika mwanamke alichepuka?

Hahahaaa sasa ,mbona wakati wanatembezewa kichapo jamaa alikuwa anasema nakupa hela unaenda kumfungulia duka mario? Naye Mario akawa anawaambia Ngoja niseme ukweli.....Na wamebahatika kuwa na watoto wawili ,kwa sie wenye kuona mbali inaonyesha ni kwamba Mwanamke alitafuta Mario akaanza kuchepuka na kuanza kumletea dharau Mme wake na akamuacha mmewe wakati mmewe kashamfungulia biashara.
 
Kwanza kuita kundi la watu kwenda kufumania mwanamke inaonyesha mwanaume hajiamini km angejiamini angeenda peke yake,ndo maana mwanamke kamkimbia sababu Ni mwanaume suruali
 
Ngoja uibiwe mkeo/demu wako ndio utaujua vizuri utamu wa hiyo sheria.
Sasa jamaa yangu mkeo ni kopo au ni mtu !? Hadi unaona anafikia hatua ya kutiwa nje ya ndoa huyo si mke na eala hunanhayja ya kugombana na mtiaji hilo ni tatizo na umalaya wa mkeo maanabhuwezi jua pengine alijitambulisha kwa mtiaji kwamba hananmume wala mtoto , sasa unagombana na mtiaji wa nini?
 
Nimemsikiliza vizuri,amesema hivi wale ambao mnakaa na wanawake bila ndoa au mtu ana hawara lakini hakai nae halafu asikie hawara yupo Gest na mtu,huyo hana haki ya kumfumania mtu

Ila kama unataka kwenda kufumania hakikisha una cheti halali cha ndoa,Sio mtu ni demu au hawara yako kaamua kuachana na wewe au hata kama bado mpo nae halafu kaenda faragha na mtu mwingine wewe unatafuta watu mkafanye fumanizi,huna haki hio.

Unataka kwenda kufumania hakikisha una Cheti halali cha ndoa mkononi

Hata hivyo,ukifumania usijchukulie sheria mkononi
Hata kama ni mke au mume wako kuandaa fumanizi ni tabia za kipuuzi na za kisokwe.
Huwezi kumpangia binadamu uchi wake ampe nani au asimpe nani. Kila binadamu mwenye akili timamu anapaswa kuwa huru kabisa na mwili wake.
 
Uko sahihi mkuu, kuandaa fumanizi ni ufidhuli mkubwa sana.
Mwanamke ama mwanaume uke ama uume ni mali yake binafsi, umemkuta anayo na hatamkiachana bado kila mtu ataondoka na mali yake.

Hivyo kila mtu ana uhuru wa kumpa mtu yoyote anaemtaka, sasa wewe ukiona mke wako ama mume wako anagawa hiyo kitu na hujapenezwa na hilo, muache ili usipate matatizo.

Mnapoamua kua kwenye mahusiano ama ndoa, makubaliano makubwa hua ni kila mtu amtunzie mwenzake uke wake na uume wake, sasa iwapo mtu haishi kweye hayo makubaliano na wewe hujapenda hilo jambo, achana nae usije kupata matatizo.

Tukubaliane kua uke ama uume ni mali ya mwenye nayo exclusively, ana haki ya kuitumia atakavyo, kikubwa ni wewe kujiondoa pale mtu anapoamua kutumia mwili wake atakavyo.
 
Hata wewe huna mamlaka ya kuingilia faragha za mke wako au mchepuko wako. Mchepuko wako pia huna haki za kutoingiliwa faragha zake na wewe.
Waziri anatoa wapi Mamlaka ya Kutupangia Masuala yetu ya Faragha za Wapenzi wetu? Sisi huwa tunayaingilia ya Kwake?

Anakoelekea sasa huyu Waziri ni kutaka kutuambia kuwa Wanaume wanaowafanya Wapenzi wao Mabao mengi wayapunguze kwani wanazitesa 'Mbinye' zao.

Kama leo hii Tanzania imefikia kuwa na Waziri anayepoteza muda na Mambo ya Faragha za Kimapenzi za Watu huku akiyaacha au akishindwa 'Kudili' na Mambo makubwa na ya Kimsingi kabisa basi ni Hatari na huenda hiyo 'docket' husika ikawa imepata Waziri 'bogus' kuwahi kutokea hapo.

Yaani kabisa GENTAMYCINE nikufumanie 'unabanduliwa' halafu nisiiharibu kabisa 'reception' yako kwa Vichwa vyangu vya Meddie Kagere 'nimerogwa' au?

Tena hili Tamko la Waziri ndiyo limenipandisha Hasira kuna Mtu mpaka sasa hivi hajarudi na akirudi tu najua Kesho atahangaika kutafuta Hospitali ili akanunue Meno yake ya Bandia kwani aliyonayo ya Asilii naenda 'Kusepa' nayo mazima Usiku huu huu Kudadadeki.
 
Nakupinga, ni ushamba kupanga kufumania
Hivi una mke? Au unaishi na mwanamke bila cheti cha ndoa?
Iko hivi haya mambo yatakwisha endapo tu kama mwanamke amekuchoka akaamua kujiondoa ndoani na kuondoka kwako kisheria na kwenda huko anakoona yeye kunamfaa, huyo akiliwa mbususu na hata kama akiliwa mwili wote na usibakie hakuna shida, lakini kama eti amekuchoka na bado yupo kwako, unamhudumia kwa kila kitu then atoe mbususu nje aisee! Mafumanizi hayatakwisha, watu watauana kwa sana, wagoni wengine watashikishwa ukuta, na vipigo watapokea tu.
Hii kauli ya huyo Waziri inaitumbukiza Tanzania kuwa taifa la kishenzi kuwahi kutokea duniani. Maana ikiwa hakuna kuingilia faragha basi kumbuka wazinzi watautumia mwanya huo kula mbususu mpaka basi.
 
Back
Top Bottom