Waziri George Simbachawene: Waliowashambulia wapenzi wakiwa faragha kwa madai ya kuwafumania wakamatwe

Kwa neno lingine amehalalisha nyie kuleni tu vinono hamna suala la kufumaniwa🐒
Sasa jaribu kumtafunia mkewe uone kama hayo anayosema anaweza kuishi nayo 😅! Easier said than done...

Utashangaa huyo huyo waziri kakutumia jeshi la mabaunsa na KY!
 
 
Kujiondosha kwenye huo muunganiko ndio njia sahihi, na ufanye hivyo bila vurugu.
 
Ni hatari
 
Hata kama ni mke au mume wako kuandaa fumanizi ni tabia za kipuuzi na za kisokwe.
Huwezi kumpangia binadamu uchi wake ampe nani au asimpe nani. Kila binadamu mwenye akili timamu anapaswa kuwa huru kabisa na mwili wake.
Hakuna uhuru wa kutumia uchi nje ya ndoa.kumbuka ndoa ni mkataba wa watu wawili kwa hiari kuishi kwa uaminifu mpaka mwisho wa maisha yao,sasa huo Uhuru wa kutumia uchi wako wakati ukiwa na mkataba na mtu mwingine unautoa wapi?

Unataka kutumia uchi wako kwa Uhuru,ni rahisi tu jitoe kwenye ndoa,ila una ndoa ulilipiwa mahari,unaishi kwa mumeo,unatumia jina lake,una watoto nae nk halafu useme uko huru kutumia uchi wako huko nje halafu bado unarudi tena kwa mwenza wako,huo Uhuru haupo,jiandae kufumaniwa tu,na anayekufumania omba awe mstaarabu utoke salama.

Mwisho,kufumania ni hatua mojawapo ya kupata ushahidi usioacha shaka wa usaliti wa mwenza wako kwa hatua zaidi za kisheria au kimaamuzi,lakini sio lazima inategeme mtu wa mtu,kama unaweza kupata ushahidi kivingine sawa.

Tena wakristo tunaambiwa Mwanamke hana haki juu ya mwili wake Bali mumewe na mume hana haki juu ya mwili wake Bali mkewe,hauko huru.
 
Kuna mambo mepesi sana kuongeleka ila magumu kutekelezeka! Ukila mke wa mtu ukafumaniwa marinda ni halali ya mwenye mke na hutafanya lolote akikudhibiti!

Maana kimsingi wengi kabla ya fumanizi huonywa ila wanajifanyaga sungura wajanja utamu wa K ukikolea wanajiachia kabisa!
 

Nakumbuka hata Waziri Simbachawene ilishawai kuletwa kashfa yake ya fumanizi akajeruhiwa mkono.
 
Kama una cheti cha ndoa nenda kafumanie. Tuache haya mambo ya kizushi
That's not what he said, amedai fumanizi lisiwe la kupanga hata kama una cheti cha ndoa, ukiwafumania 'accidentally'[emoji38][emoji38] kama kuna kitu cha aina hiyo na una cheti cha ndoa ndipo unawashitaki polisi[emoji1787][emoji1787].
Hairuhusiwi kuwadhalilisha wala kuwarekodi, hapo unakuwa umefanya jinai.
 
Cheza na vyote lakini kaa mbali na mali za watu(Dhuluma) na Wake/Wapenzi wa watu ,ukicheza na hivyo vitu hakika usipotolewa marinda basi watakurestisha in peace.
 
Duuh, we jamaa no msomi zaidi ya wote humu ndani, ingawa sijui upo mrengo gani wa chanjo ya kovidi
 
Nimemshangaa sana huyo anayejipa uhuru wa kutumia kikojoleo wakati kakubali kuolewa! 😅
 
Kulipa mahari, kuishi kwa mume au kutumuia jina lake sio vigezo vya kummiliki mwanamke, kama ni hivyo basi mwanamke hana haki ya kumfumania mume wake.
 
Sasa jaribu kumtafunia mkewe uone kama hayo anayosema anaweza kuishi nayo 😅! Easier said than done...

Utashangaa huyo huyo waziri kakutumia jeshi la mabaunsa na KY!
Dunia duara, kuna kitu kinaitwa karma kwa kuwa anataka kurahisisha mambo, ipo siku kuna wahuni wataruka na mke wake, halafu tuone unafiki wake 🤣
 
Hamna fumanizi ambali sio la kupangwa sababu kinachofanyika kule faragha kinafanywa na watu wenye akili timamu na kwa mpango maalumu wa kificho!

Namna pekee ya kuweza kuwafumania ni ku trace mawasiliano ya hao wawili aidha binafsi au kwa kupewa taarifa na watu wanaokuzunguka! Mwisho wake ni fumanizi tu na fumanizi halina macho unaweza rekodiwa au kula kichapo tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…