Waziri George Simbachawene: Waliowashambulia wapenzi wakiwa faragha kwa madai ya kuwafumania wakamatwe

The thing is
Kuna baadhi ya wanawake ambao sio waaminifu tena unakuta hata hawajaolewa.
Wanawake hawa wanashirikiana na wanaume ambao sio waaminifu ambapo mmoja anajifanya mume wake .
Hao wanawake ambao sio waaminifu wanajiachia kwenye mabar makubwa wanajitongozesha kwa wanaume
Ukiingia anga zake anakukubalia mnaenda lodge yeye anawasiliana na wale wanaume wanakuja lodge mlipo wanajifanya wamefumania.
Hizo tabia zilishamiri sana dsm hadi wajuba wakawa wanawanyanganya mademu simu wasifanye makati wanaelekea lodge wanarudisha akimaliza tukio.
Hizi tabia zilishamiri sana .
Mwisho nashauri wanaume wenzangu msipende kuchepuka na wake za watu
 
Ulipotelea wapi ndugu?
nipo ila nipo busy sana sipati muda kuongea humu ila kwa sasa umeme unasumbua sana nashindwa kufanya kazi zangu ndiyo maana naonekana
 
Nahisi huyu Waziri ana mchepuko mke wa mtu, anaogopa kufumaniwa!
 
Heeee!!mkuu mbona inaonekana kama unaendeshwa na hisia tu kuliko sheria?!kosa la waziri ni nini, kwani sheria ipo wazi ukimfumania mke/mme hiyo ni kesi ya madai, kafungue madai yako mahakamani, nakushangaa unaposema eti utawashitaki kwa sheria ipi?!!wewe ukimpiga au kumdharirisha kibao lazima kikugeukie tu na ina kuwa jinai!!muulize jamaa aliyemfumania jamaa akaja na mabouncer wakamlawiti, walichezea mvua 30, wapo segerea!!na huyo jamaa sasa ndio anaishi na mke wa jamaa sasa!!nani mjinga hapo?!!ni kitu kinauma lakini busara yako ndio itakuokoa.
 
Kujiondosha kwenye huo muunganiko ndio njia sahihi, na ufanye hivyo bila vurugu.
Nipo kwangu mtu namlisha namvisha kila huduma namhudumia, kujiondoa hataki then anafanya hivyo nje, pata picha hapo!
 
Nakumbuka hata Waziri Simbachawene ilishawai kuletwa kashfa yake ya fumanizi akajeruhiwa mkono.
Kwahiyo mara hii anataka arudie yaliyosababisha ajeruhiwe mkono lakini asifumaniwe au akifumaniwa awe na haki kisheria kumshitaki mwenye mke, kwahiyo ameamua kutangaza hivyo ili kujilinda yeye na wazinzi wenziwe?!
 
Basi angeweka wazi au angepitisha azimio kuwa ni afadhali mtu akitaka kumfumania mtu wake avihusishe vyombo vya dola, ingeleta maana sana tena sana.
 
yeah no hard feelings enjoy maisha mkuu life is too short ukichanganya na haya ma covid utakufa hujafaidi hela yako
Na vile chawene amesema kunifumania huruhusiwi mpaka ue umetembea na cheti cha ndoa.

Ngoja ninoe mtalimbo,kuwa na kiongozi mwanamke wananchi tunajienjoy sana.
 
Unataka kufumania ili iweje? Itakusaidia nini ukifamania?
Basi angeweka wazi au angepitisha azimio kuwa ni afadhali mtu akitaka kumfumania mtu wake avihusishe vyombo vya dola, ingeleta maana sana tena sana.
 
Halafu mjini hapa tunaishi kwa matukio
 
yani watu kupewa nafuu ya kuchepuka tumesahau hadi tozo za miamala
 
Tumefulai na kushukulu kwa kututetea
 
Vyombo vya dola vina kazi nyingi za maana za kufanya kuliko kufuatilia mambo ya kipuuzi.
Basi angeweka wazi au angepitisha azimio kuwa ni afadhali mtu akitaka kumfumania mtu wake avihusishe vyombo vya dola, ingeleta maana sana tena sana.
 
Vyombo vya dola vina kazi nyingi za maana za kufanya kuliko kufuatilia mambo ya kipuuzi.
Hili ndio jibu nililokuwa nalingoja, je vipi aliyetoa kauli kuhusu hayo mambo ya kipuuzi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…