evangelical
JF-Expert Member
- Nov 21, 2011
- 5,035
- 8,218
The thing is
Kuna baadhi ya wanawake ambao sio waaminifu tena unakuta hata hawajaolewa.
Wanawake hawa wanashirikiana na wanaume ambao sio waaminifu ambapo mmoja anajifanya mume wake .
Hao wanawake ambao sio waaminifu wanajiachia kwenye mabar makubwa wanajitongozesha kwa wanaume
Ukiingia anga zake anakukubalia mnaenda lodge yeye anawasiliana na wale wanaume wanakuja lodge mlipo wanajifanya wamefumania.
Hizo tabia zilishamiri sana dsm hadi wajuba wakawa wanawanyanganya mademu simu wasifanye makati wanaelekea lodge wanarudisha akimaliza tukio.
Hizi tabia zilishamiri sana .
Mwisho nashauri wanaume wenzangu msipende kuchepuka na wake za watu
Kuna baadhi ya wanawake ambao sio waaminifu tena unakuta hata hawajaolewa.
Wanawake hawa wanashirikiana na wanaume ambao sio waaminifu ambapo mmoja anajifanya mume wake .
Hao wanawake ambao sio waaminifu wanajiachia kwenye mabar makubwa wanajitongozesha kwa wanaume
Ukiingia anga zake anakukubalia mnaenda lodge yeye anawasiliana na wale wanaume wanakuja lodge mlipo wanajifanya wamefumania.
Hizo tabia zilishamiri sana dsm hadi wajuba wakawa wanawanyanganya mademu simu wasifanye makati wanaelekea lodge wanarudisha akimaliza tukio.
Hizi tabia zilishamiri sana .
Mwisho nashauri wanaume wenzangu msipende kuchepuka na wake za watu