Waziri Gwajima: Alichofanyiwa binti wa Yombo ni kitendo kibaya kisicho na utu, nimewasiliana na Waziri wa Mambo ya Ndani ili haki itendeke

Waziri Gwajima: Alichofanyiwa binti wa Yombo ni kitendo kibaya kisicho na utu, nimewasiliana na Waziri wa Mambo ya Ndani ili haki itendeke



Ameandika Dkt. Gwajima D katika Mtandao wa X.

Ndugu Wananchi, nimepokea 'Tags' nyingi za maoni na maswali kuhusu taarifa iliyotolewa na RPC mkoa wa Dodoma juu ya mwenendo wa shauri la 'Binti wa Yombo' (reja taarifa za awali).

Ndugu Wananchi, nimepokea hisia zenu, maoni na maswali yenu ambayo mmeelekeza kwangu. Nimewasiliana na Mhe Waziri wa Mambo ya Ndani ambaye tayari naye amepokea na anafanyia kazi hivyo, tumpe nafasi atatoa taarifa yake.

Ndugu Wananchi, ni dhahiri kuwa, alichofanyiwa 'Binti wa Yombo' ni kitu kibaya kisicho cha utu hivyo, anastahili haki yake kwa mapana yote.

Ndugu Wananchi, Nawasihi tujipe muda na kuamini kuwa, haki itatendeka kwa mujibu wa sheria na itaonekana bayana na siyo vinginevyo.

Pia soma: Polisi: Wanaotuhumiwa kubaka na kulawiti ni kama wavuta bangi, hawakutumwa na Afande, yule dada alikuwa kama anajiuza

View attachment 3073878
Dr Gwajima kula ugali na nsansa, shushia na semi sweet, dry wine, nakuja kukulipia.
 
Safi sana Mama Gwajima,Kuzima makali ya kesi Geshi linamuita binti malaya kutupumbaza kisaikolojia.Kwa utamaduni wa watu wachache wenye akili fupi kuitwa malaya tayari ni kuwalinda wabakaji mmoja wapo ni mwanajeshi wa Jeshi la wananchi na picha yake ipo wazi hata humu JF.Kwanini Afande atajwe.Tufafanuliwe vizuri kuhusu afande aliyetajwa.ALAFU WAVUTA BANGI TUSIVUNJIWE HESHIMA KWANI NI WASTAARABU KUSHINDA WACHACHE KWENYE GESHI LA WAUAJI WA KUDUNGA SINDANO ZA SUMU KULE MTWARA.
 
Ingekuwa ni Chadema wamefanya mkutano ndio ungejua nguvu ya polisi
Wametusoma na wameshachukua hatua!!

Huko Bush kwenu usalama upo!!?

Kuna tetesi za wachuna ngozi plus watoa figo wamo vichakani na wanatishia usalama wa wananchi!

Vipi kwani huko kwenu hujasikia!!?nimeshasikia maeneo mawili vijijini kuhusu tetesi hizo!
 


Ameandika Dkt. Gwajima D katika Mtandao wa X.

Ndugu Wananchi, nimepokea 'Tags' nyingi za maoni na maswali kuhusu taarifa iliyotolewa na RPC mkoa wa Dodoma juu ya mwenendo wa shauri la 'Binti wa Yombo' (reja taarifa za awali).

Ndugu Wananchi, nimepokea hisia zenu, maoni na maswali yenu ambayo mmeelekeza kwangu. Nimewasiliana na Mhe Waziri wa Mambo ya Ndani ambaye tayari naye amepokea na anafanyia kazi hivyo, tumpe nafasi atatoa taarifa yake.

Ndugu Wananchi, ni dhahiri kuwa, alichofanyiwa 'Binti wa Yombo' ni kitu kibaya kisicho cha utu hivyo, anastahili haki yake kwa mapana yote.

Ndugu Wananchi, Nawasihi tujipe muda na kuamini kuwa, haki itatendeka kwa mujibu wa sheria na itaonekana bayana na siyo vinginevyo.

Pia soma: Polisi: Wanaotuhumiwa kubaka na kulawiti ni kama wavuta bangi, hawakutumwa na Afande, yule dada alikuwa kama anajiuza

View attachment 3073878
 

Attachments

  • IMG-20240819-WA0007.jpg
    IMG-20240819-WA0007.jpg
    111.4 KB · Views: 1
  • IMG-20240819-WA0010.jpg
    IMG-20240819-WA0010.jpg
    89.5 KB · Views: 2
  • IMG-20240819-WA0008.jpg
    IMG-20240819-WA0008.jpg
    93.8 KB · Views: 1
  • IMG-20240819-WA0006.jpg
    IMG-20240819-WA0006.jpg
    80 KB · Views: 2
  • IMG-20240819-WA0005.jpg
    IMG-20240819-WA0005.jpg
    119.6 KB · Views: 1
  • IMG-20240819-WA0009.jpg
    IMG-20240819-WA0009.jpg
    98.4 KB · Views: 1
  • 1000031903.jpg
    1000031903.jpg
    328.1 KB · Views: 2
Back
Top Bottom