Kipangaspecial
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 20,778
- 28,722
Wanaume mpooooo ?Kwenye hii battle ya gwajimazi,
Askofu Gwajima hatuboi kwa shemeji yake ambaye ni waziri wa afya Dr. Gwajima.
Huyu mama sio wa mchezo mchezo..atakuwa amelelewa pwani huyu.
Cheki mpumbavu mwingine huyu na upumbavu wake hadharaniTujikumbushe alivyosema Magufuli.
"Tumepeleka sample ya vitu vingi kwa Mkemia Mkuu atuambie kama kuna Corona. Corona virus wamegundulika in the most unlikely places. Nimefikiria sana kuhusu jambo hili. There is one of two possibilities. Either wataalamu wetu ufahamu wao ni mdogo,au,vile vyombo vinavyotumika kutesti corona,vina Corona. Kwa sababu vile vyombo vyote vinakuja kutoka nje."
Kuonyesha kwamba amefikiria,na amefikia uamuzi kuhusu nani ana makosa,akasema,"Natoa mwaliko kwa nchi zote duniani,fanyeni testi kwenye maembe,machungwa,kila kitu,kama nilivyofanya mimi. Mtakuta kwamba vina Corona."
Kumbuka matatizo ya chanjo AIDS imeletwa hapa miaka ya sabini katika chanjo ya smallpox. Who brought it.WHO brought it.
Walianzia Haiti kupeleka AIDS.
Halafu wakaileta Tanzania. Nani waliopeleka AIDS Haiti. Our wonderful innocent friends,World Vision.
Kuhusu wale watu anaowafufua Askofu Gwajima,wale ni watu ambao wanazinduka wenyewe mortuary,watu waliopelekwa mortuary kimakosa.
sasa wewe pimbi unanukuu comment kumi unataka nijibu ipi. hebu anza moja mojaJibu nilichokuuliza!! And guess what? Bora kuwa na utoto kuliko kuwa na UPUMBAVU wa aina yako!!!
Kumbe we ni pimbi kabisa unang'ang'ania utapeli wake mbona soma na Hii uje kubisha naona umeshikiwa akili na wazungu BURE KABISAMaelekezo sio AMRI!! Na yeye kama waziri mwenye dhamana ana wajibu wa ku-deal na matapeli wa madhabahuni
Huna akili ndo maana unashikiwa akili na Matapeli aina ya Gwajima!! Hapa chini, ni tapeli Gwajima akijifanya amemfufu binti "aliyekuwa amekufa"!
Mbaya zaidi ya shem??Kumbe Waziri wetu wa uhai na yeye anaangalia porn?😀😀😀
[emoji1313][emoji1313][emoji1313][emoji26]Kuwa na kiongozi anayeweza kula matapishi yake hadharani ni balaa kwa Taifa!! Walichokipinga hadharani hawana mamlaka ya kimaadili kukipigia debe hadharani!! Nashangaa kwa nini bado inategemewa kuwa kuna watu watamsikia na kumwelewa huyu mdelemkaji wa kike!! The same applies to her deputy! She is a disgrace to our nation!!
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji1855][emoji1855][emoji1855][emoji2011][emoji2011][emoji1987][emoji1987][emoji1987][emoji1987]Kumbuka huyu Gwaji lady ni field marshall field Marshall ana apa kwa amiri jesh mkuu wa majeshi ya ulinzi na usalama ,sema tu yeye alikosea badala ya kumrisha vikosi vya makomandoo vikamshughulikie shemela wake yeye ametuma vikosi vya usalama barabarani
😀😀😀😀😀,noma sana!Mbaya zaidi ya shem??
😄😄😄Yaani na bunge lishaanza!
Ila tusubiri
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Jf sometimes raha saanaBasi mwambie atafute pa kulala, maana mtiti wa mawifi atakuwa anauelewa vizuri.....
Ukiwa mwana siasa hutakiwi kuwa mtu wa vinyongo na visasi,hawa ndio wana siasa walioiva kabisa,unaweza kushangaa jioni ukawakuta wako pamoja wanapata dinner...Waziri wa Afya, Dkt Gwajima leo ameelezea suala askofu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Askofu Josephat Gwajima kupinga chanjo ya Covid-19 na kudai pamoja na ushemeji walionao haungani na itikadi zake.
Pia ameshangaa wanaomuamini akitolea mfano wa Askofu kudai atamfufua Amina Chifupa kitu ambacho hajatimiza mpaka sasa. Pia amemshangaa kuchukua ubunge ilhali alishasema ni cheo kidogo kwake.
Mwisho Dkt Gwajima amemshangaa askofu Gwajima kukutwa na mrembo na kudai ni mkono wa baunsa.
Waziri Gwajima amesema Askofu amejigeuza msemaji wa sekta ya afya na kulitaka Jeshi la Polisi na Takukuru wamuite atoe maelezo ya chanjo feki alizosema pia atoe ushahidi wa yeye waziri Gwajima na Rais kupewa pesa.
================
Waziri Gwajima: Tumepata walimu waliosomea kwenye mitandao wakajipa vyuo vikuu kama ndugu yangu anayeitwa askofu Gwajima. Yule ni shemeji yangu lakini mitazamo, sera, imani na itikadi tofauti.
Mimi sifungamani na mtu kwasababu eti shemeji yangu. Mimi waziri wa afya, nimeapa kwa viapo vya Amiri Jeshi mkuu na Majeshi yote, wewe ni mume wangu, shemeji yangu, mjomba wangu, ni dada yangu unaleta za kuleta, ninakuambia hiyo hapana na nanyanyua sheria zikushughulikie.
Habari ya kutuambia sisi zile chanjo zimewekwa vitu havieleweki, eti mule ndani zina sumaku. Sasa leteni hizo sumaku muweke hapa, mimi nimeshachanja hapa, muje muweke. Shilingi muweke, balbu muweke maana mimi nimetangaza milioni mbili kwa mtu ambae atachanjwa balbu iwake, nimekaa nazo mpaka nimeshakula laki tano, imebaki milioni moja na nusu.
Mtu ameanzisha kanisa lake, ndo kanisa mibara ya waziri wa afya, yeye ndio msemaji mkuu wa sekta ya afya, anatetea watanzania kuliko mama Samia Suluhu alieapa kwa majeshi yote na sheria zote, yeye ndio mtetezi wa watanzania.
Lakini watanzania sijui huwa mnasahau vipi haya mambo, huyu sio ndio alisema atamfufua Amina Chifupa! Yuko wapi sasa? Huyu si ndio aliewaambia hataki ubunge cheo kidogo akauchukua!
Lakini si huyu aliekutwa na yule mrembo, akasema mkono wa baunsa! Lakini huyu si yeye yule aliekuwa CCM akaenda CHADEMA sasa hivi anasema yuko tayari kurudi, arudi tena CHADEMA!
Hoja zake za kisayansi zimeshajibiwa na wanasayansi wote labda kama hamfatilii, yuko yeye pamoja na wenzake.
Sasa mimi kwa dhamana niliyonayo kama waziri wa afya nimechoka kuvurugiwa wizara, naelekeza Majeshi yote ya Polisi na Takukuru waende wakatumie sheria zao wamuite awaeleze maana kwamba amesema pesa pesa pesa.
Mimi waziri wa Afya na Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania tumepigwa pesa pesa pesa, chanjo ziingie. Sasa yeye si anajua, alikuwa shahidi, alikuwa anatuchungulia, atutajie na alietupa na tulipokelea wapi na yeye alikuwa yuko wapi chini ya sheria ya Takukuru na leo nitasaini tamko langu, La sivyo tutaendelea kuchezeana sana hii nchi.
Amesema chanjo ni feki, chanjo feko zinathibitishwa kisayansi, akatuletee ile batch number ambayo ni feki ni batch ipi na ziko wapi? Kachomwa nani? Tufanye hivi vitu kisheria!
Hatuwezi tukawa na Serikali ambayo mtu anajinyanyua tu anampita na Rais, mara anaitwa Rashid, mara anaitwa Gwajima, mimi sielewi yeye yuko wapi alafu anavuruga vuruga, tunaacha mambo, tunasumbuana kama vile nchi hii haina sheria.
Kwahiyo tunahitaji Gwajima Askofu popote ulipo, nasimama kama waziri wa Afya wa nchi hii, ukatutafutie na kututhibitishia hiyo chanjo ambayo ni fake tuipeleke kwa mkemia mkuu, kama wa Dar es Salaam humuamini twende Nairobi, twende Naijeria, twende kokote tukathibitishe kwamba hizi ni fake.
Na wale waliochanjwa feki ututajie, ututajie twende tukawachukue, tuwapeleke maabara tuchukue damu zao, tuangalie kama anti bodies waliotakiwa kuzalishwa na johnson and johnson wamezalishwa ama hawajazalishwa.
PIA, Soma
=▷ Dkt. Mollel: Askofu Gwajima ataitwa athibitishe kauli zake, akishindwa tutamshughulikia
=▷ Serikali yaagiza Askofu Gwajima kukamatwa ili athibitishe kauli anazozitoa dhidi ya Serikali na viongozi kuhusu chanjo ya UVIKO-19
=▷ IGP Sirro: Hatuna barua ya kumkamata Askofu Gwajima, utaratibu ufuatwe
View attachment 1895773
Kuna jitu jingine litauliza tena .Dr Doroth Gwajima sio msukuma. Ni mnyiramba aliyeolewa na Msukuma (Advocate Methusela Gwajima, mtia nia wa Kawe 2020)
Kwani kupewa dawa BURE pamoja na.fedha za.COVAX sio HONGO???Hoja kubwa alizoibua Waziri ni:
1. Gwajima kuwatuhumu kuwa wamehongwa ambalo ni kosa kubwa sana.
2. Gwajima kusema kuwa chanjo zina vitu ndani yake ambavyo vitawadhuru watanzania huko mbeleni. Hii ina maana kuwa waliohusika na uagizwaji wa chanjo wana nia ya kuwadhuru watanzania.
Waziri kutumia mifano ya uongo wa Gwajima ni kuonyesha kuwa ni pathological liar ambae hastahili kuaminiwa.
Ukweli ni kuwa dola ilitakiwa iwe imemhoji Gwajima zamani kuhusu tuhma hizi. Hivi mpinzani angesema kuwa viongozi wakuu wa serikali wamehongwa ili wakubali chanjo, Ai Jii Pii angengoja barua?
Amandla...
Humu umedhihirisha upeo wako mdogo bado unafanya mashambulizi binafs unaacha Hoja we utakuwa binto wa kambo wa GwajigirlKusoma hujui, ina maana hata picha ukutani huzioni! Sasa ikiwa mtu anajifanya anaweza kukufua wafu huku akishindwa kukufua hata ndugu zake wa damu... hivi hujui ni namna gani mtu wa aina hiyo anavyokosa uhalali wa kuaminiwa?!
Hapa tena AIBU TUKwahiyo Rais anapomwapisha waziri, anafanya hivyo kama Mwenyekiti wa chama?!
Ina maana Dr. Gwajima aliapishwa kama mteuliwa wa CCM au aliapishwa kama waziri wa serikali ya JMT?
Umeona uzi mwingine kwamba waliochoma chanjo ya J&J ndio wanaokufa? Ntakupa linkUhusiano mkubwa kwenye hii issue ni UONGO.
Rashid ni muongo na matapeli. Shemeji anawashangaa watu wanaomuamini mtu muongo kama huyu Askofu..... Na mifano kaitoa.
Uhusiano mkubwa kwenye hii issue ni UONGO.
Rashid ni muongo na matapeli. Shemeji anawashangaa watu wanaomuamini mtu muongo kama huyu Askofu..... Na mifano kaitoa.
Kuna jamaa alishupalia kiwa sio shemeji yake ndio nkawa namjuza.kwamba mi mesikia kwenye clipHata Gwaji boy naye alishawahi sema kabla kwamba ni shemeji wa Dr na ndugu wa mumewe Dr....