Waziri Gwajima: Askofu Gwajima ni shemeji yangu, alidai atamfufua Chifupa pia alikutwa na Mrembo akasema mkono wa Baunsa

CCM nomaaa, leo wameanza kuumbuana mchana kweupe.Loh!!, CCM haina rafiki wa kudumu.
 
Kwani na sisi tukimuuliza dokta Gwajima si ni yeye alisema tujifukize na kupiga nyungu mpaka akatengeneza video yeye na mumewe kutuhamaisha Watanzania?

Imekuwaje sasa amebadili gear angani? Au kwasababu bwana yule amesha resti in pisi?
Atakwambia lile lilikuwa wimbi la kwanza la Covid,na hili ni wimbi la tatu.
 
Hajui siasa yule mama.
 
Kwani na sisi tukimuuliza dokta Gwajima si ni yeye alisema tujifukize na kupiga nyungu mpaka akatengeneza video yeye na mumewe kutuhamaisha Watanzania?

Imekuwaje sasa amebadili gear angani? Au kwasababu bwana yule amesha resti in pisi?
Umeiweka vema

Bila ya kujali Gwajima(mchungaji) yupo sawa au la , hata kama waziri ana hoja, bado hili swali ni muhimu kwa waziri.
 
Hivi ni shemeji wa kweli?
 
Huzijui familia za kiafrika.Usitegemee Gwajima Waziri kutengwa as long analeta ugali nyumbani kwao
 
Hahahahagahhhhhhhhhhhhhhhhhh uwiiiiiiiiiiiiiiiii
 
Waziri kwenye hii video clip alikuwa ana address watu wangapi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…