Waziri Gwajima: Askofu Gwajima ni shemeji yangu, alidai atamfufua Chifupa pia alikutwa na Mrembo akasema mkono wa Baunsa

Huyu Dorothea amuulze Makonda kilichomkuta pindi alipotaka kupambana na Askofu
 
Huyu Waziri wa Afya kama Bi Kidude
 
Jumapili hii kitawaka....hii itakuwa tetra manifestation
 
Kwenye hii battle ya gwajimazi,

Askofu Gwajima hatuboi kwa shemeji yake ambaye ni waziri wa afya Dr. Gwajima.

Huyu mama sio wa mchezo mchezo..atakuwa amelelewa pwani huyu.
 
Reactions: Qwy
Hii iko Tanzania tu!. Waziri wa Afya tena mtaalamu katika fani hiyo anaacha kupambana na gonjwa la UVICO badala yake akidhani anajibu hoja anajiingiza kwenye malumbano na mchungaji anayeshawishi waumini wake juu ya chanjo ya UVICO, tena kwa kujaribu kutumia isivyo vyombo vya Dola kulinda maslahi yake binafsi.....Aibu gani hii?.😳
 
Hii nchi ya Tanzania ina Ujinga mwingi sana
 
Bongo bwana Kila kitu easy tu,
Hii nchi Kila kukicha Kuna episode mpya za comedy,yaani licha ya matatizo yetu Kama nchi ila kwenye vituko hatujambo yaani utakuta jambo la serious linageuka Futuhi na kuundiwa Memes eg swala la tozo liligeuka kua kituko pale Mwiguluiza Nchembazimana aliposema tuhamie Burundi,Mbowe the Taliban boy a.k.a Gaidi,ukiachana na ya Mzee mpili uwiiiiiii Leo ni Gwajimas reality show live!
Keep watching!
 
The battle of unconventional methods loading.......
 
Hii ngoma nzito, kipindi cha bashite Gwajiboy alirusha makombora mazito bila kupata kashkash yoyote toka kwa mpinzan, lakini safari hii mpinzani katupa kombora pia haya yetu macho na masikio Gwajiboy atajibu nini jpili.

Ila huyu Doroth angempuuza tu uyo jamaa, hapo ni kama kachokoza moto wa kifuu, yule kiumbe atatema nyongo sana hanaga stara yule ohooo
 
Yaani Sirro unamaana kauli ya waziri haitoshi mpaka aandike official letter?
Kabisa waziri katoa tamko halitekelezwi au ndiyo tuseme Gwajiboy anaogopwa? Akina Mbowe huwa wanakamatwa halafu ndiyo mnaanza uchunguzi manake huwa mahakamani mnasemaga uchunguzi haujakamilika lakini watu wanakuwa ndani tayari, kwanini msimkamate kama alivyoagiza waziri then ndiyo mchunguze kama ana jinai au la.
GWAJIBOY IS UNTOUCHABLE.[emoji123][emoji123]
 

mkuu unaelewa maana ya kinga?
 
Waziri wa Afya, Dkt Gwajima leo ameelezea suala askogu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Askofu Josephat Gwajima kupinga chanjo ya Covid-19 na kudai pamoja na ushemeji walionao haungani na itikadi zake...
Rubbish tupu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…