Waziri Gwajima atangaza kumchukulia hatua za kisheria Masha Love na wanaochochea kuharibu maadili

Waziri Gwajima atangaza kumchukulia hatua za kisheria Masha Love na wanaochochea kuharibu maadili

Hapo nakuelewa wale wanaocheza picha za ngono ndio aanze nao ila Mashalove hajawahi cheza picha za ngono, kuna mahali huwa kuna baikoko wanacheza uchi na wanatia midole sehemu, sasa hao ndio wa kuanza nao
Na wamekuwa wengi wanajiingiza chupa huyu waziri ni mtu wa kutafuta sifa twitter
 
Hapo nakuelewa wale wanaocheza picha za ngono ndio aanze nao ila Mashalove hajawahi cheza picha za ngono, kuna mahali huwa kuna baikoko wanacheza uchi na wanatia midole sehemu, sasa hao ndio wa kuanza nao
Na wamekuwa wengi wanajiingiza chupa huyu waziri ni mtu wa kutafuta sifa twitter
 
Na wamekuwa wengi wanajiingiza chupa huyu waziri ni mtu wa kutafuta sifa twitter
Ndugu, ukweli sihitaji hata hizo sifa, unaweza kuanza tu kampeni ya kuzisitisha uone kama nitaacha sasa kutimiza wajibu wangu na uwajibikaji wangu wa kihistoria tangu niajiriwe na kabla ya hapo. Natimiza tu jukumu langu la kuibua mijadala ya kijamii kuhusu ajenda ambazo zimelala na wengi hawazijui, Ili ziwasaidie katika safari ya maisha jamii.

Jumapili njema na heri kwako
 
hata wale wasanii kutoka wasafi na yule jamaa mmoja ameimba nyimbo ya mtoto kautaka huyoooo wote wale wachukuliwe hatua.
Sana tena huku kwenye nyimbo wanaharibu sana watoto wanaimba vitu bila kujuwa haya ni matusi makubwa, nyimbo zinaishi na watoto wana nafasi kubwa kusikia mziki kuliko maneno aliyosema sijui msanii kama huyo Masha. Huku kwenye nyimbo ndio matusi sisi wakubwa tukikaa tu na Mama zetu au shangazi zetu zikipigwa unasikia aibu inabidi u skip tu.
 
Sitaki kumzungumia Mashalove pekee, na mm sio mpenda Kick kwa kweli, ninachotaka kusema wapo wasanii wanafanya na kuvaa vitu vya ajabu kama kina zuchu, so mama utawashitaki wangapi, unajua mambo yanabadilika kwa kweli, zamani wanamziki hawakuwa wakivaa kama kina mashalove so tuangalie nyakati tulizonazo, wataacha kuvaa hivyo wakina mashalove lakini television zitakuwa zinarusha nyimbo ambazo zina watu waliovaa zaidi ya mashalove ninachotaka kusema mashalove ameathiri jamii kwa mavazi yake au kina zuchu kwa kiasi gani? Je hao wanaoonyesha wanamziki wa nje je hawajaathiri kizazi cha 2000.

Nimekaa na ndugu zangu wanawatoto na wanalelewa vzr yena kwa misingi ya Dini, so kila mzazi afanye jukumu lake. Mlee mtoto katika njia impasayo nae hataicha haya atakapokuwa mzee.

Unafanyakazi nzr sana na nakupenda ila pia kuna mahali pia pa kuangalia, au Mama yangu kama mnaweza kiwakusanya na kuwasikiliza kujua kwa nini wanafanya hivyo mtakuwa mmewasaidia wengine wanamachungu moyon na wengine wameshajikatia tamaa.
Itakuwa haina maana kuwa na Sheria ambazo wananchi hawazijui halafu hapo hapo wanasema zitungwe Sheria. Faida yangu moja ni kuwa, nakuwa mstari wa mbele kuwaelimisha Yale ambayo yapo na hamyajui, mnajadili, mnatoa maoni. Siku moja mtakatiliwa wenyewe na watoto wenu mtakosa hata pa kuanzia. Sasa kwa nafasi yangu nitashtaki wangapi? huenda nisiwamalize, basi wengine wataendelea ikiwemo nyie, maana jamii ni nyie wote.

Pia mnajua kuwa, zipo shida nyingi huku nchini zinafanyiwa kazi na hazijawahi kwisha, zingine zimepungua, zingine bado, sasa mimi ndani ya kipindi hiki kifupi ndiyo nitamaliza zote? Hapana. Nimeanzisha mwendo, safari inaendelea, kama zinavyoendelea zingine, tupende kutakiana heri Ili nanyi kwa wakati wenu au wako mtakiwe heri.

Naomba kuwatakia heri ya jumapili 🤗
 
Back
Top Bottom