Huwez kamata shoga, shoga infact ni victim, aidha alipenda au alilazimishwa, kitendo cha kuwa shoga wewe tayar ni straight and first victim wa ushoga. So umkamate umfanye nini.
Ndio maana ni sahihi kupambana na ushoga kwa kuweka sheria inabana watu wanaotengeneza mazingira ya kuongeza na kusababisha mashoga kama huyo dada anavyofanya.
Au walawiti pindi wanapodakwa hawa ni sahihi kuchuliwa sheria na shria zinachukuliwa kama wale jamaa wa 4 juzi
Kwa namna yoyote iwayo, suala la maadili sio kujifanya. Watieni moyo watu wanaoshughulika na suala hili, ni kwa nia njema tu, mengine kama yapo bas ni mapungufu ya kibinadamu tu but dont attack watu walio kwenye wajibu wa kushughulika na hiz kitu.
ndio maana nikasema wewe ni mdau wa ushoga. Wengine tunaposikia tu hizi habar tuna tetemeka, haiwezekan wewe ukawa unacheka cheka halaf ukasema hauna tatizo na ushoga.
kwakua huna shida na ushoga, hata akiwa shoga hutakua na shida na hilo suala ndio maana halikuumizi kichwa, si ni haki yake itakua kupigwa pipe za mnduku
Tunapozima moto nyumba ya pil jirani yako ikiwa inateketea sio kwasababu unampemda sana, HAPANA. ni kwasababu moto unaweza hamia na kwako ukaleta majanga. Hatuwez lea watoto wetu vyema na kuwekeza muda kuwafunza halaf wakitoka nje wanakutana na jamiii iliyooza unafikiri chance za wao kupona ni kubwa??
WAziri
Dkt. Gwajima D shikilia hapo hapo