Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 94,296
- 122,540
Huyu waziri wetu wa afya huyu 🤣🤣
Hahaha nimeishia tu kumpenda aisee.
She is special.
Hahaha nimeishia tu kumpenda aisee.
She is special.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
I like her. She is full of spunk.Amechangamka sana au alishashtua kidogo nini!
Yupo vizuri anajitahidi ana maneno mengi yenye ushawishi hata kwenye harambe anafa huyu.I like her. She is full of spunk.
Haku specialize.Halafu ni daktari wa nini huyu mama?
Na udaktari naskia kachukulia UrusiHalafu ni daktari wa nini huyu mama?
Anafurahisha sana!Aiaee kila siku huwa nnalisema kimoyomoyo, huyu Mama is special. Nadhani ni mtu flani mcheshi, mwenye mizaha flani hivi sio ya kuboa halafu anajua anachokifanya. Kwa kweli yupo safi
Ni mcheshi tu bana.
Anaongeaga mpaka anapitiliza maneno anavuta pumzi anarudi nyuma kuanza upya.Mama hua kama ana mzuka flani hivi .Hata Huwa simuelewagi akianza kuongea ni nonstop