Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 94,296
- 122,540
- Thread starter
-
- #21
Anaonekana ni mtu wa vituko.Kumbuka wakati wa nyungu alivyokuwa na vituko sasa kama siye kabisa aliyekuwa kakumbatia nyungu hadi kupiga nyungu hadharani.,
Huyu na Chalamila huwa nawapenda sanaNi mcheshi tu bana.
Mnooo💪Anafurahisha sana!
Haku specialize.
Ni MD, halafu akafanya Masters of Public Health (MPH), ambayo sio medical specialization kwa sababu inaweza kufanywa na hata watu ambao hawana medical background.
So she is a public health specialist.
Nyani Ngabu
Sasa kibwetere kaingiaje hapo shemeji😜!? Jibu hoja usirukeruke mama vepe😜!? Hatujui madhara ya 5years baadae na hasa ktk uzao! Msiwe mmejidunga drip ili kuzuga watz wajiingize kwenye uzombi! Tumeambiwa mpango mzima ni ndani ya 2 yrs majibu yatatiki, athari za chanjo zitaanza kuwa dhahiri!Huyu waziri wetu wa afya huyu 🤣🤣
Hahaha nimeishia tu kumpenda aisee..
Nchi yetu tunashida ya uongozi, huyu ni Lunatic case kabisa......Huyu waziri wetu wa afya huyu 🤣🤣
Hahaha nimeishia tu kumpenda aisee.
She is special.
Sio MHP mkuu, bali ni MPH.Kwa hiyo wewe unataka kusma MHP siyo specialty? Haku specialize maana yake nini?
Hapendezi sasa kuwa waziri 😁 tena wa afya, mambo yanahitaji ufafanuzi wa kitaalamu analeta uchiziNadhani ndo personality yake tu ilivyo.
She is natural