#COVID19 Waziri Gwajima is something else! Akimbia kuthibitisha yuko fit baada ya chanjo

Katika paragraph yako. Umesema haku specialize. Kwa nini unafikiri MPH siyo specialization? Halafu chini ukasema ame-specialzie MPH. Which one is which? Ame speciliaze ama haku-specialize? MPH kusomwa na mtu aiyekuwa daktari ama nurse kunaifanya isiwe specialization kivipi?
 
Bwana Nyani Ngabu alipouliza ame spcialize kwenye nini aliuliza hivyo kwa context ya kwamba Gwajima ni daktari, so ame specialize eneo lipi la udaktari? Kwamba ni daktari bingwa wa kitu gani?
MPH sio mojawapo ya medical specialization. Kwa hiyo yeye sio medical specialist. Ila ni mtaalam wa afya ya jamii. Sio daktari bingwa kwenye fani yoyote ya udaktari.
 
Duuh

Kumbe waziri unapaswa kuwa namna hii.
 
Mbona mnapenda upotoshaji na kujitungia maswali wenyewe? Jibu la swali la muuliza swali ni kwamba Dr Gwajima ame-speciliaze kwenye afya ya jamii (public health). Ana MPH. Period. Context umeitoa wapi? Public health, epidemiology, biostatistics, medical sociology, medical psychology... zote ni specialties.
 
Bit they are not medical specialities.
Unadhani Gwajima asingekua MD Nyani Ngabu angeuliza ame specialize kwenye nini?
 
Water for injection hata akirukaruka Haina shida.
Maana Jana tu alisema alishachanjwa.
 
Swani ni ame-speciliaze kwenye nini? Jibu ni afya ya jamii. Usijitungie swali halafu ukatoa jibu lako unalopenda. Swali lililoulizwa halina "but". Halafu kufikiri kuwa medical psychology etc siyo medical specialties ni upungufu wa kufikiri. Huwezi kupita medical school miaka 5-6 halafu ukatoka unafikiri medical psychology etc ni non-medical. Unaonyesha mapungufu makubwa katika elimu yako. Siku ukifika nchi zenye maendelo ktk medicine, utaona ward rounds zina mabingwa wote wakiwemo psychologist.
Bit they are not medical specialities.
Unadhani Gwajima asingekua MD Nyani Ngabu angeuliza ame specialize kwenye nini?
 
Sijapita medical school mkuu.
Lakini nafahamu kwamba Public health is a non medical specialization.
Hata mtu aliesoma BSc Sociology anafanya hiyl inakuaje a medical specialization like MMED internal medicine, MMED General surgery, na MMED zingine ambazo humo wanakwepo madaktari TU...!!
MPH haiwezi na haijawahi kuwa medical specialization mkuu. Medical specialization (udaktari bingwa) ni kaa madaktari tu..!! Daktari bingwa wa watoto, daktari bingwa wa wanawake, etc. Sasa Gwajima utamuita daktari bingwa wa afya ya jamii? Kuwa serious mkuu.
Gwajima sio daktari bingwa (Medical Specialist), bali ni mtaalam wa afya ya jamii.
 
Gwajma ni daktari bingwa wa afya ya jamii. Ndio specialization yake hiyo. Ukipenda ongeza medical ama itoe lakini haibadilishi chochote. Kwa vile umesema wewe siyo mtu wa afya basi nakuacha uendelee kuamini unavyoamini kuwa Gwajima hana specialization.
Sasa Gwajima utamuita daktari bingwa wa afya ya jamii? Kuwa serious mkuu.
 
Dr Mollel amespecialize kwenye nini?
 
Anafiti popote. utasema siye huyu hapa


Hapo alikuwa anafanya nini? Anapiga nyungu? 🤣🤣.

Imagine huyu na yule RC wa zamani Chalamila kama wangeoana!

Hiyo nyumba yao ingekuwa full burudani aisee.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…