#COVID19 Waziri Gwajima: Kanda ya Ziwa, Kilimanjaro kumeathirika zaidi na Corona

#COVID19 Waziri Gwajima: Kanda ya Ziwa, Kilimanjaro kumeathirika zaidi na Corona

Hapa kashindwa tu,kutaja shinyanga..,kuepusha aibu na tamko la katibu bavicha iringa..,

Kwa neno,Kanda ya ziwa anamaanisha shinyanga
Shinyanga haiko kanda ya ziwa. Bavicha mmekuwa kama mmechanganyikiwa kabisa
 
Wanawake wenye miguu ya matende Kama wewe huwa hamnaga akili
Acha kumshambulia. Amesema Ukweli.

Haya ni maigizo tu, eti watu wanakufa sana!

Wamekufa sana wangapi? Kwa ugonjwa gani? Lini? Wapi? Panaitwaje?

Acheni maigizo ya kuwafurahisha watoa misaada!

Kiufupi wananchi wameshapuuza huu usanii wa corona ndio maana hawavai mabarakoa wala nini.
 
Hahahaha,

Pamoja na kushinda jf bado haujui mikoa ya Kanda ya ziwa,

Aisee elimu inahitajika sana
Sikia Chaggadema, mimi kwetu ni MARA.

Shinyanga siyo mkoa ulioko kanda ya ziwa.

Kanda ya ziwa ni Kagera, Mara, Mwanza na Geita.

Kwahiyo wewe unameza kila unachokiona humu JF?
 
Kwa mujibu wa Dkt. Gwajima, huku kumeathirika zaidi:

“Maeneo ya kanda ya ziwa pamoja na Kilimanjaro yameathirika kwa kiasi kikubwa na ugonjwa huo, na ilihitajika mitungi ya ziada kutokana na eneo la kanda ya ziwa kuathirika zaidi na ugonjwa huo,” alisema Gwajima."

Mwenye masikio na asikie:

“Nataka hapo wananchi watuelewe, tuvae barakoa, tunawe mikono na maji tiririka pia tujiepushe na misongamano isiyo ya lazima. Katika wakati huu hakuna ulazima wa mtu kwenda katika miziki au kupanda katika gari lililojaza watu,” amesisitiza Dk Gwajima."

--------
My take:

Tahadhari zaidi maeneo hayo ikiwamo kupunguza safari zinazoweza kuepukika, kutoka au kwenda maeneo hayo ni jambo la busara zaidi.
KWAIO YULE DOGO WA CHADEMA SIMIYU AACHIWE YUPO SAHIHI SIO??
 
Sikia Chaggadema, mimi kwetu ni MARA.

Shinyanga siyo mkoa ulioko kanda ya ziwa.

Kanda ya ziwa ni Kagera, Mara, Mwanza na Geita.

Kwahiyo wewe unameza kila unachokiona humu JF?
TUNAPOSEMA MIKOA YA MASHARIKI, MOROGORO INAINGIA AU HAIINGII??
 
Kwa mujibu wa Dkt. Gwajima, huku kumeathirika zaidi:

“Maeneo ya kanda ya ziwa pamoja na Kilimanjaro yameathirika kwa kiasi kikubwa na ugonjwa huo, na ilihitajika mitungi ya ziada kutokana na eneo la kanda ya ziwa kuathirika zaidi na ugonjwa huo,” alisema Gwajima."

Mwenye masikio na asikie:

“Nataka hapo wananchi watuelewe, tuvae barakoa, tunawe mikono na maji tiririka pia tujiepushe na misongamano isiyo ya lazima. Katika wakati huu hakuna ulazima wa mtu kwenda katika miziki au kupanda katika gari lililojaza watu,” amesisitiza Dk Gwajima."

--------
My take:

Tahadhari zaidi maeneo hayo ikiwamo kupunguza safari zinazoweza kuepukika, kutoka au kwenda maeneo hayo ni jambo la busara zaidi.
Sasa yule kijana wa iringa wamemkamatia nini!!
Kumbe nikweli kanda ya ziwa Covid19 imechachamaa
 
Daladala.
Mwendokasi.
Pantoni.
Viwanja vya mipira.
Masokoni.

Yani mtu ni mpinzani wa serikali anataka COVID itambulike vizuri lakini.
Hataki level seat ktk daladala,Hataki kupunguza mikusanyiko ktk Masoko.

In short wengi hao wanaleta maslahi binafsi.Nani kakwambia hizi tahadhari zikiwekwa zitamuacha mtu salama?
Hata hao watumishi wategemee kuyumba kwa mishahara yao na per diem,Semina ya posho nayo yote itapukutika labda sekta ya afya tu.
Hapo ndo utarudi na kusema kweli njia ya JPM ilikua ni busara kubwaa kwa nchi za Kimaskini.
Yaani kitendo cha Rais aliyepita kusema uongo ndo kinachukuliwa kuwa Ukweli wa Kitaifa?
 
Daladala.
Mwendokasi.
Pantoni.
Viwanja vya mipira.
Masokoni.

Yani mtu ni mpinzani wa serikali anataka COVID itambulike vizuri lakini.
Hataki level seat ktk daladala,Hataki kupunguza mikusanyiko ktk Masoko.

In short wengi hao wanaleta maslahi binafsi.Nani kakwambia hizi tahadhari zikiwekwa zitamuacha mtu salama?
Hata hao watumishi wategemee kuyumba kwa mishahara yao na per diem,Semina ya posho nayo yote itapukutika labda sekta ya afya tu.
Hapo ndo utarudi na kusema kweli njia ya JPM ilikua ni busara kubwaa kwa nchi za Kimaskini.
Tukizingatia kuvaa barakoa kwa ufasaha,na kunawa mikono, Corona tutaipiga chini, tatizo nyinyi misukule ya dikteta magufuli mnapotosha ukweli, Sasa inakoendea maambukizi yakizidi, jiandae kwa Lockdown maalum ,
 
Kwani hapa ni ugonjwa gani unaongelewa?
Yaani kuna mijitu mijinga aisee.
Eti "ugonjwa gani, wapi, lini". Toka nje uote jua kama baridi imegandisha ubongo wako.

Achana naye, chawa huyo:

IMG_20210714_085240_006.jpg
 
Dr. Gwajima basi wekeni lockdown huko kanda ya ziwa na kilimanjaro !
 
Back
Top Bottom