mugah di matheo
JF-Expert Member
- Jul 28, 2018
- 6,307
- 12,410
Mi mwenyewe naliwazaga hilo ,sasa na huyu jamaa naona ni kama Bashiru Ally amerudi tenaInasemekana ilikuwa ID ya yule mwamba aliyekwenda.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mi mwenyewe naliwazaga hilo ,sasa na huyu jamaa naona ni kama Bashiru Ally amerudi tenaInasemekana ilikuwa ID ya yule mwamba aliyekwenda.
Daladala.
Mwendokasi.
Pantoni.
Viwanja vya mipira.
Masokoni.
Yani mtu ni mpinzani wa serikali anataka COVID itambulike vizuri lakini.
Hataki level seat ktk daladala,Hataki kupunguza mikusanyiko ktk Masoko.
In short wengi hao wanaleta maslahi binafsi.Nani kakwambia hizi tahadhari zikiwekwa zitamuacha mtu salama?
Hata hao watumishi wategemee kuyumba kwa mishahara yao na per diem,Semina ya posho nayo yote itapukutika labda sekta ya afya tu.
Hapo ndo utarudi na kusema kweli njia ya JPM ilikua ni busara kubwaa kwa nchi za Kimaskini.
Amka asubuhi tembelea hospitali na vituo vya afya, tafuta mazishi na shiriki utapata unachotaka kukiona 'mjinga' wewe.Mwongo huyu mbona hatuoni kitu? Huku hata huo umbea hamna tunasikia tu kwenye mitandao, huu ugonjwa wa kuleta mnaukuza sana. Eti walipungikiwa mitungi? Aiseee siasa mbaya.
Hata hii pia huijuiSina uelewa wa kanda zote.
Hapa tunazungumzia kanda ya ziwa.
Kanda ya ziwa,Kule kulikokuwa na kanusho na maagizo ya kukamata mtuHivi Shinyanga iko kanda ya Ziwa au siku hizi imehamishiwa kanda ya Kati?
Dr. Gwajima basi wekeni lockdown huko kanda ya ziwa na kilimanjaro !
Sikia Chaggadema, mimi kwetu ni MARA.
Shinyanga siyo mkoa ulioko kanda ya ziwa.
Kanda ya ziwa ni Kagera, Mara, Mwanza na Geita.
Kwahiyo wewe unameza kila unachokiona humu JF?
Wewe huna akili. Unabisha tu. Kwani kuugua Corona ni aibu ?!. Corona si kaswende wala gonorhea uone aibu. Ni ugonjwa wa mlipuko tena usioangalia ukada wako. Muulize Jiwe aliyeibezaHao watu wanaodondoka sana ni wangapi?
Kwa ugonjwa gani? Lini? Wapi? Saa ngapi? Umejuaje?
We ni mchawi au nabii?
Sema kwenu ni Rwanda hivyo sio kanda ya ziwa.chagga dema jina zuri ulitakiwa ujengewe sanamu lako tunaomba tutumie jina hili chaggadema
Pro-Magu huyo.Wanawake wenye miguu ya matende Kama wewe huwa hamnaga akili
Yego ni pamoja na ShinyangaSina uelewa wa kanda zote.
Hapa tunazungumzia kanda ya ziwa.
Kwamba hakuna maambukizi ya Corona? Kwamba hizi taarifa na wale wagonjwa hospitali ni wa kuigiza? Mama hana roho ya kutoa watu roho, JIWE alikuwa na roho ya damu, hakujali watu kufa.Wanajitahidi IMF wanazidi kubada screw kuongeza masharti ya kupewa msaada wa corona. Hii yote ni kampeni ya kutegeneza mazingira ya huo msaada. Na IMF waongeze masharti zaidi na ndio njia ya kuadabisha wasio na misimamo wanao sukwasukwa na upepo na kutapakaa kama majani ya miti makavu.
Kuhusu hilo waziri amekutangulia mkuu:
Kuhusu suala la “ Lockdown” Waziri Gwajima alisema Tanzania haina mpango wa kuweka wananchi wake “Lockdown” na kusisitiza kuwa watawekeza zaidi katika kutoa elimu kwa wananchi juu ya kujikinga na ugonjwa huo.
![]()
Dk Gwajima: Msichonganishe Serikali mapambano dhidi ya corona
Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia Wazee na Watoto Dk Doroth Gwajima amesema kuna tabia mbaya inayoanza kujitokeza nchini mtu kuchonganisha Serikali katika mapambano dhidi ya coronawww.mwananchi.co.tz
Wanajitahidi IMF wanazidi kubada screw kuongeza masharti ya kupewa msaada wa corona. Hii yote ni kampeni ya kutegeneza mazingira ya huo msaada. Na IMF waongeze masharti zaidi na ndio njia ya kuadabisha wasio na misimamo wanao sukwasukwa na upepo na kutapakaa kama majani ya miti makavu.
Hawa jamaa wako njema sana kwa proganda, hali ni tofauti kabisa na mitandaoni na matamko yanayotoka.Mwongo huyu mbona hatuoni kitu? Huku hata huo umbea hamna tunasikia tu kwenye mitandao, huu ugonjwa wa kuleta mnaukuza sana. Eti walipungikiwa mitungi? Aiseee siasa mbaya.
Kijiji gani hicho na kiko mkoa gani mkuu?Yeye aliwaambia kuwa Corona haipo imeletwa na mabeberu na watu wameacha kuchukua tahadhari na sikuhizi hawanawi ila watu wengi wamekufa Sana na ya Sasa ni mbaya kuliko janauri imagine kijijini kwa siku wanaweza zikwa watu hata watano, nadhani wizara ya afya na yenyewe imelala haichukua hatua nzuri ka ummy alivoweza kuhamasisha
... waziri wa afya mwenye nyenzo na taarifa zote anaeleza hali halisi; anatokea fala mmoja anasema hakuna lolote! Who are you?Hakuna lolote nyie madalali wa chanjo.