Shehullohi
JF-Expert Member
- Jul 21, 2020
- 3,753
- 3,685
Tuliwajua hawa wote wakiongoza na JPM kipindi kile. Na ndio hoja ya unafiki inapojengewa hapo.Usalama wa afya ya mtu huanza na mwenyewe....unamuita mnafiki mtu anayejipapatua kujilinda mwenyewe ?!! Khaaa 😲