bloggerboy
JF-Expert Member
- Nov 13, 2017
- 568
- 1,217
Hapa kashindwa tu,kutaja shinyanga..,kuepusha aibu na tamko la katibu bavicha iringa..,Hivi Shinyanga iko kanda ya Ziwa au siku hizi imehamishiwa kanda ya Kati?
Shinyanga haiko kanda ya ziwa. Bavicha mmekuwa kama mmechanganyikiwa kabisaHapa kashindwa tu,kutaja shinyanga..,kuepusha aibu na tamko la katibu bavicha iringa..,
Kwa neno,Kanda ya ziwa anamaanisha shinyanga
Hahahaha,Shinyanga haiko kanda ya ziwa. Bavicha mmekuwa kama mmechanganyikiwa kabisa
Acha kumshambulia. Amesema Ukweli.Wanawake wenye miguu ya matende Kama wewe huwa hamnaga akili
Hakuna lolote nyie madalali wa chanjo.... mashuleni na vyuoni? Hawa watoto wanaambukizana huko halafu jioni wanawapelekea wazazi wao! Dah; hatari sana!
Sikia Chaggadema, mimi kwetu ni MARA.Hahahaha,
Pamoja na kushinda jf bado haujui mikoa ya Kanda ya ziwa,
Aisee elimu inahitajika sana
Hao watu wanaodondoka sana ni wangapi?mkuu kilimanjaro watu wanadondoka sana.
KWAIO YULE DOGO WA CHADEMA SIMIYU AACHIWE YUPO SAHIHI SIO??Kwa mujibu wa Dkt. Gwajima, huku kumeathirika zaidi:
“Maeneo ya kanda ya ziwa pamoja na Kilimanjaro yameathirika kwa kiasi kikubwa na ugonjwa huo, na ilihitajika mitungi ya ziada kutokana na eneo la kanda ya ziwa kuathirika zaidi na ugonjwa huo,” alisema Gwajima."
Mwenye masikio na asikie:
“Nataka hapo wananchi watuelewe, tuvae barakoa, tunawe mikono na maji tiririka pia tujiepushe na misongamano isiyo ya lazima. Katika wakati huu hakuna ulazima wa mtu kwenda katika miziki au kupanda katika gari lililojaza watu,” amesisitiza Dk Gwajima."
--------
My take:
Tahadhari zaidi maeneo hayo ikiwamo kupunguza safari zinazoweza kuepukika, kutoka au kwenda maeneo hayo ni jambo la busara zaidi.
Sasa mkurupuko wote ule wa nini?Iko ziwa ndiyo maana wamemuachia huru bila masharti
Kwani hapa ni ugonjwa gani unaongelewa?Hao watu wanaodondoka sana ni wangapi?
Kwa ugonjwa gani? Lini? Wapi? Saa ngapi? Umejuaje?
We ni mchawi au nabii?
TUNAPOSEMA MIKOA YA MASHARIKI, MOROGORO INAINGIA AU HAIINGII??Sikia Chaggadema, mimi kwetu ni MARA.
Shinyanga siyo mkoa ulioko kanda ya ziwa.
Kanda ya ziwa ni Kagera, Mara, Mwanza na Geita.
Kwahiyo wewe unameza kila unachokiona humu JF?
Sasa yule kijana wa iringa wamemkamatia nini!!Kwa mujibu wa Dkt. Gwajima, huku kumeathirika zaidi:
“Maeneo ya kanda ya ziwa pamoja na Kilimanjaro yameathirika kwa kiasi kikubwa na ugonjwa huo, na ilihitajika mitungi ya ziada kutokana na eneo la kanda ya ziwa kuathirika zaidi na ugonjwa huo,” alisema Gwajima."
Mwenye masikio na asikie:
“Nataka hapo wananchi watuelewe, tuvae barakoa, tunawe mikono na maji tiririka pia tujiepushe na misongamano isiyo ya lazima. Katika wakati huu hakuna ulazima wa mtu kwenda katika miziki au kupanda katika gari lililojaza watu,” amesisitiza Dk Gwajima."
--------
My take:
Tahadhari zaidi maeneo hayo ikiwamo kupunguza safari zinazoweza kuepukika, kutoka au kwenda maeneo hayo ni jambo la busara zaidi.
Yaani kitendo cha Rais aliyepita kusema uongo ndo kinachukuliwa kuwa Ukweli wa Kitaifa?Daladala.
Mwendokasi.
Pantoni.
Viwanja vya mipira.
Masokoni.
Yani mtu ni mpinzani wa serikali anataka COVID itambulike vizuri lakini.
Hataki level seat ktk daladala,Hataki kupunguza mikusanyiko ktk Masoko.
In short wengi hao wanaleta maslahi binafsi.Nani kakwambia hizi tahadhari zikiwekwa zitamuacha mtu salama?
Hata hao watumishi wategemee kuyumba kwa mishahara yao na per diem,Semina ya posho nayo yote itapukutika labda sekta ya afya tu.
Hapo ndo utarudi na kusema kweli njia ya JPM ilikua ni busara kubwaa kwa nchi za Kimaskini.
Nchi inaogozwa kama grocerySasa mkurupuko wote ule wa nini?
Yaani RC anakanusha asubuhi, WAZIRI anathibitisha jioni?
Tukizingatia kuvaa barakoa kwa ufasaha,na kunawa mikono, Corona tutaipiga chini, tatizo nyinyi misukule ya dikteta magufuli mnapotosha ukweli, Sasa inakoendea maambukizi yakizidi, jiandae kwa Lockdown maalum ,Daladala.
Mwendokasi.
Pantoni.
Viwanja vya mipira.
Masokoni.
Yani mtu ni mpinzani wa serikali anataka COVID itambulike vizuri lakini.
Hataki level seat ktk daladala,Hataki kupunguza mikusanyiko ktk Masoko.
In short wengi hao wanaleta maslahi binafsi.Nani kakwambia hizi tahadhari zikiwekwa zitamuacha mtu salama?
Hata hao watumishi wategemee kuyumba kwa mishahara yao na per diem,Semina ya posho nayo yote itapukutika labda sekta ya afya tu.
Hapo ndo utarudi na kusema kweli njia ya JPM ilikua ni busara kubwaa kwa nchi za Kimaskini.
Sina uelewa wa kanda zote.TUNAPOSEMA MIKOA YA MASHARIKI, MOROGORO INAINGIA AU HAIINGII??
Kwani hapa ni ugonjwa gani unaongelewa?
Yaani kuna mijitu mijinga aisee.
Eti "ugonjwa gani, wapi, lini". Toka nje uote jua kama baridi imegandisha ubongo wako.
Hivi bia yetu ameishia wapi
Hivi bia yetu ameishia wapi