Waziri Gwajima umechemka kuhusu Uuzaji wa Damu unaodai unafanywa na Watumishi wa Wizara ya Afya. Hujui ufanyalo

Waziri Gwajima umechemka kuhusu Uuzaji wa Damu unaodai unafanywa na Watumishi wa Wizara ya Afya. Hujui ufanyalo

Mars 12

JF-Expert Member
Joined
Feb 25, 2021
Posts
221
Reaction score
349
Waziri wa Afya Dr Gwajima Katika hotuba yake aliyoitoa kwa watumishi ambapo aliwaonya kuhusu kununua damu au kwa watumishi kuuza damu na kudsi ni kosa hivyo anatoa eti mwezi kwa yoyote atakayebainika atachukuliwa hatua kali za kisheria.

Cha Ajabu akiwa kama Waziri wa Afya kwanza Watumishi Wote waliohudhuria pamoja na YEYE NA WASAIDIZI WAKE HAWAKUVAA BARAKOA,Pili suala la damu ni nyeti sana katika kuokoa maisha ya mwenzio awe ndugu,jamaa,mzazi wako n.k.

Ukipata bahati mbaya ya kuhitaji damu takriban hospitali zote nchini hazina akiba ya kutosha ya Damu na hii inatokana na Udhaifu kwenye Wizara Anayoiongoza.Eti anatoa Onyo huku akijua wazi hali ilivyo.

Tutanunua Damu kuokoa maisha ya ndugu zetu.WATUMISHI WA WIZARA YAKO WAPO SAHIHI KABISA KUUZA DAMU.Kujifanya unawaonya ni kutojua majukumu yako.Ni wewe huyo huyo wakati wa awamu ya Tano ulipinga chanjo,ilipoingia awamu ya sita ukaunga mkono.

Mheshimiwa Waziri wa Afya Dr.Dorothy Gwajima YOU DONT KNOW WHAT YOU ARE DOING.

CHA AJABU HADI SASA UPO KWENYE WIZARA NYETI SANA KWA MAISHA YA WATANZANIA. HATUKUELEWI. BORA UJIUZULU.

Chanzo: Channel ten news.Monday 22Nov 6AM.
 
Mleta mada akili huna eti unasema ni sahihi watumishi kuuza damu aisee

Mimi Ni mmoja wa watu wanaotoa damu bure Mara nyingi tu

Kwa hiyo damu tunazojitolea bure wewe unataka watumishi wa afya waziuze?
 
Kama sijaelewa hivi?

Ndugu yangu unaunga mkono kuuziwa damu? Au unaumia kuona mfumo uliopo inakua ngumu mgonjwa kupata damu ya bure kwa wakati?

Mm nnaungana na waziri damu iwe bure na ole wao wanaouza.

Ila wapitie mifumo yao kuhakikisha damu inapatikana kwa wingi Kila hospitali inazohitaji na wahamasishe uchangiaji
 
Damu za kununua ni hatari sana sema watu wanakata tamaaa na hawana jinsi.

Ndiyo matatizo ya kuishi nchi zetu hizi Trump aliziita sh!thole countries. Nchi za wenzetu hata mbwa na paka wanapata huduma nzuri za afya kuliko binadamu wa hapa Tanzania.
 
Hizi ndio siasa Tanganyika bana wewe ukiwa upande B inabidi upinge kila linalofanywa na upande A vilevile ukiwa upande A inabidi upinge kila linalofanywa na upande hata kama lina faida kwa Taifa.
 
Mleta mada akili huna eti unasema Ni sahihi watumishi kuuza damu aisee...
Kumbe MATAGA nayo yanajitoleaga damu? Nikiishiwa damu bora nife tu kuliko damu yangu iliyobaki kuchanganywa
 
Siku uwe na mgonjwa wa damu group O- na hela ya kununua damu huna, pengine utarudi hapa na msimamo mwingine.

Wakati ule namuuguza mama damu ya group lake ilikosekana huko maabara yao ya damu hadi Nairobi ilikosekana, ikabidi waoteshe damu, was too late, akaondoka.

Mungu waponye haraka wagonjwa wote.
 
Ufipa wametuletea vijana wenye fikra za hovyo kabisa yaani jitu lipo tayari kuuziwa damu kisa ana pesa za wizi!
 
Huyu mama Hana muda mrefu hapo wizarani,sijawahi kumkubali,sijui walimuokota wapi huyu mama!!?
emoji24.png
emoji24.png
emoji24.png
 
Siku uwe na mgonjwa wa damu group O- na hela ya kununua damu huna, pengine utarudi hapa na msimamo mwingine.

Wakati ule namuuguza mama damu ya group lake ilikosekana huko maabara yao ya damu hadi Nairobi ilikosekana, ikabidi waoteshe damu, was too late, akaondoka.

Mungu waponye haraka wagonjwa wote.
Ameen!
 
Waziri wa Afya Dr Gwajima Katika hotuba yake aliyoitoa kwa watumishi ambapo aliwaonya kuhusu kununua damu au kwa watumishi kuuza damu na kudsi ni kosa hivyo anatoa eti mwezi kwa yoyote atakayebainika atachukuliwa hatua kali za kisheria.

Cha Ajabu akiwa kama Waziri wa Afya kwanza Watumishi Wote waliohudhuria pamoja na YEYE NA WASAIDIZI WAKE HAWAKUVAA BARAKOA,Pili suala la damu ni nyeti sana katika kuokoa maisha ya mwenzio awe ndugu,jamaa,mzazi wako n.k.

Ukipata bahati mbaya ya kuhitaji damu takriban hospitali zote nchini hazina akiba ya kutosha ya Damu na hii inatokana na Udhaifu kwenye Wizara Anayoiongoza.Eti anatoa Onyo huku akijua wazi hali ilivyo.

Tutanunua Damu kuokoa maisha ya ndugu zetu.WATUMISHI WA WIZARA YAKO WAPO SAHIHI KABISA KUUZA DAMU.Kujifanya unawaonya ni kutojua majukumu yako.Ni wewe huyo huyo wakati wa awamu ya Tano ulipinga chanjo,ilipoingia awamu ya sita ukaunga mkono.

Mheshimiwa Waziri wa Afya Dr.Dorothy Gwajima YOU DONT KNOW WHAT YOU ARE DOING.

CHA AJABU HADI SASA UPO KWENYE WIZARA NYETI SANA KWA MAISHA YA WATANZANIA. HATUKUELEWI. BORA UJIUZULU.

Chanzo: Channel ten news.Monday 22Nov 6AM.
Unafahamu vizuri utaratibu wa kusimamia utoaji damu?

Why unahalalisha vitu ambavyo miongozo haijavikubali

wewe attendant au nesi wa hospitali gani? Inaonekana una benefit za uuzaji wa damu
 
Unataka bank iwe na akiba ya kutosha ilihari wewe binafs hujachangia

Acha iuzwe
Selikal iwe inanunua damu tuiuzie wanunue watuuzie mi nikiuza 20 nyie uzeni 25 au 30 basi
Bank itakuwa na uhakika
 
Huyu mama Hana muda mrefu hapo wizarani,sijawahi kumkubali,sijui walimuokota wapi huyu mama!!?[emoji24][emoji24][emoji24]
Shetani wa Chato aliona viclip vyake akiwafokea madaktari wakati akiwa mtumishi wizara ya afya basi akampa ubunge na kumsukumizia uwaziri kama yeye alivyosukumiziwa Urais.

Awamu ya tano ulikuwa ni mkosi kwa Taifa.
 
Kuuza damu ni sehemu ya mauaji.
Mleta mada ni mtumishi ktk kitengo cha damu.
Kosa la Waziri na Naibu wake wana ndimi mbili kwenye uhai wa watu.
Hivyo wote hawatufai kusimama mbele za watu
 
Back
Top Bottom