#COVID19 Waziri Gwajima: Viongozi wa Serikali wasiochanjwa waachie ngazi

#COVID19 Waziri Gwajima: Viongozi wa Serikali wasiochanjwa waachie ngazi

Hatumshangai ndivyo alivyo kigeugeu..kibaraka wa mabeberu..unafiki ndio umemjaa

#MaendeleoHayanaChama
JamiiForums288500059.jpg
 
VIONGOZI AMBAO HAWAJACHANJWA CORONA ACHIENI NGAZI
Waziri wa Afya Dkt.Dorothy Gwajima amewataka viongozi wa umma na watendaji wa Serikali ambao hawajapata chanjo ya Corona kujiuzulu nafasi zao kwani hawawezi kuwashawishi wananchi kuchanjwa wakati wao wamegoma kupokea chanjo hiyo https://t.co/LBOdtnjnzI
IMG_20211130_205529.jpg
 
VIONGOZI AMBAO HAWAJACHANJWA CORONA ACHIENI NGAZI
Waziri wa Afya Dkt.Dorothy Gwajima amewataka viongozi wa umma na watendaji wa Serikali ambao hawajapata chanjo ya Corona kujiuzulu nafasi zao kwani hawawezi kuwashawishi wananchi kuchanjwa wakati wao wamegoma kupokea chanjo hiyo https://t.co/LBOdtnjnzI
View attachment 2028595

Mkuu Umesikiliza TBC-1
Leo Kuhusu Kirusi kipya cha Africa kusini na Chanjo?
Kuwa chanjo haiwezi fanya kazi?
 
Mama anavyokwenda kwa Mabeberu na kuchukua hela zao mnategemea nini? Ni swala la mda tu, tutapelekwa kwa pingu kwenda kuchanjwa kwa lazima.
 
Sio kazi ya asiechanja kumlinda ambae amechanja, ni kazi ya chanjo kumlinda ambae amechanja.

Sasa wewe umechanja, umejikinga si uendelee na maisha yako, acha mimi ambae sijachanja niishi maisha yangu nijifie huko kwa covid.

Sasa umechanja shida iko wapi tena?
 
Waziri wa Afya, Dorothy Gwajima karudi na rungu.

Ametoa rai kuwa viongozi ambao mpaka sasa hawajachanjwa, watatakiwa waachie ngazi kwani hawawezi kusimamia kampeni ya kusimamia uchanjwaji dhidi ya corona.

Waziri wa Afya amesema kama Rais kachanja ili iwe mfano, sasa hao viongozi hawatetei msimamo wa Serikali

Tulisha liona hili huko nyuma: #COVID19 - Kuchanja sasa kuwe lazima, hasa wafanyakazi serikalini. Chanja au achia ngazi

Si ilikua hiari ? Wasiwafanye wakaanzisha staging ya chanjo fake au vyeti feki vya chanjo ili mtu asipoteze kazi

Sent from my SM-G9350 using JamiiForums mobile app
 
Waziri wa Afya Dr. Dorothy Gwajima amewataka viongozi mbali mbali wa serikali ambao hawajachanjwa dhidi ya ugonjwa wa COVID-19 kuachia nafasi zao kwani wameshindwa kuwahamasisha wananchi kupokea chanjo hiyo.

SOURCE: ITV Habari
Kw kilusi hiki kipya hata hiyo chanjo haina maana,nibora waendelee kutoa mwongozo wa jinsi ya watu waendelee kujulinda kuliko ivi
 
Kulinda Cheo tu kinamfanya abwatuke hivyo.
Kama nchi ni ya babu yake wataachia.

Hajiulizi tu CCM Ina wanachama 8m. Chanjo zilikuwa 1m,hazikuisha mpaka zikaexpire.
Hatumii akili wenye chama wenyewe hawataki misumu,kisa kumfurahisha beberu kwa ajili mkopo.
Hivi kwanza anategemea kwenda jimbo gani 2025 manake naona yamejaa na hakuna wapinzani

Sent from my SM-G9350 using JamiiForums mobile app
 
Bora gwajiboy kaamua kupiga kimya, maana si mchezo....mara aamuru majeshi yamkamate gwajingo, safari hii kaamuru viongozi wa gavumenti waachie ngazi.....
 
VIONGOZI AMBAO HAWAJACHANJWA CORONA ACHIENI NGAZI
Waziri wa Afya Dkt.Dorothy Gwajima amewataka viongozi wa umma na watendaji wa Serikali ambao hawajapata chanjo ya Corona kujiuzulu nafasi zao kwani hawawezi kuwashawishi wananchi kuchanjwa wakati wao wamegoma kupokea chanjo hiyo https://t.co/LBOdtnjnzI
View attachment 2028595
Kumbe kuna watu wamegoma kupokea chanjo 😄😃😁,kila tulikuwa tunaambiwa watu wengi wanapokea chanjo, nilikuwa nawaambia corona hii ya kutafuta kwa tochi, akuna Mtu anayeweza kwenda kudungwa misumu ambayo haijulikani effect zake badae,acha ziwadodee wajue Watanzania Sio mapompoma tena, Magufuri aliacha ametuondolea woga hata ifike mawimbi 10, maana nasikia limekuja la nne 😁😃😃😄😀
 
Back
Top Bottom