Msweet
JF-Expert Member
- Mar 26, 2014
- 3,135
- 4,306
Fafanua vizuri zaidi MkuuMkuu Umesikiliza TBC-1
Leo Kuhusu Kirusi kipya cha Africa kusini na Chanjo?
Kuwa chanjo haiwezi fanya kazi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Fafanua vizuri zaidi MkuuMkuu Umesikiliza TBC-1
Leo Kuhusu Kirusi kipya cha Africa kusini na Chanjo?
Kuwa chanjo haiwezi fanya kazi?
Za kunyapia nyapia ni kwamba hakuna cha mutation wala baba yake na mutation, kirusi kinaendelea kukarabatiwa maabara na kuachiwa kikiwa na nguvu mpya........wacha tuendelee kuhesabu mawimbi.Kumbe kuna watu wamegoma kupokea chanjo 😄😃😁,kila tulikuwa tunaambiwa watu wengi wanapokea chanjo, nilikuwa nawaambia corona hii ya kutafuta kwa tochi...
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kumbe kuna watu wamegoma kupokea chanjo [emoji1][emoji2][emoji16],kila tulikuwa tunaambiwa watu wengi wanapokea chanjo, nilikuwa nawaambia corona hii ya kutafuta kwa tochi, akuna Mtu anayeweza kwenda kudungwa misumu ambayo haijulikani effect zake badae,acha ziwadodee wajue Watanzania Sio mapompoma tena, Magufuri aliacha ametuondolea woga hata ifike mawimbi 10, maana nasikia limekuja la nne [emoji16][emoji2][emoji2][emoji1][emoji3]
Fafanua vizuri zaidi Mkuu
Labda atajibiwa, NONSENSEDuuh! Mbona rais alisema kuwa NI HIARI? Viongozi hawana haki ya kutumia hiyo hiari?
Huyu waziri akiambiwa kuwa kauli yake ni NONSENSE atalalamika?
😆😂🤣 nimecheka sana aisee!!Waziri hana tofauti na Mpoki
Yeye ndie aachie ngazi kwa kutuletea mtafaruku, kwa sheria zipi za ajira zinazosema asiyechanjwa aachie ngazi kwa vile tu raisi kaamua kwa hiari yake mwenyewe kuchanjwa?Waziri wa Afya, Dorothy Gwajima karudi na rungu.
Ametoa rai kuwa viongozi ambao mpaka sasa hawajachanjwa, watatakiwa waachie ngazi kwani hawawezi kusimamia kampeni ya kusimamia uchanjwaji dhidi ya corona....
Aanze yeye kujiuzuru ,hii nchi sio yake peke yake,,yeye ni nani bana.Waziri wa afya Dr Dorothy Gwajima amewataka viongozi wite wa serikali ambao hawajachanjwa chanjo ya Corona waavhie ngazi mara moja.
Waziri Gwajima amesema kiongozi asiyechanja hawezi kuwa na hamasa ya kushswishi watu wengine Wachanjwe ndio maana mimi kama waziri natoa ushauri wajiuzulu nafasi zao mara moja.
Source: ITV habari
[emoji38][emoji38][emoji38]Waziri wa Afya, Dorothy Gwajima karudi na rungu.
Ametoa rai kuwa viongozi ambao mpaka sasa hawajachanjwa, watatakiwa waachie ngazi kwani hawawezi kusimamia kampeni ya kusimamia uchanjwaji dhidi ya corona...
Mkuu usije ambukiza wengine waliochanja.Yeye ndie aachie ngazi kwa kutuletea mtafaruku, kwa sheria zipi za ajira zinazosema asiyechanjwa aachie ngazi kwa vile tu raisi kaamua kwa hiari yake mwenyewe kuchanjwa? viongozi waache ngonjera za kujikomba kwa waliowateua kisa anatetea tumbo lake, nchi hii ni yetu sote na hao waliopo kwenye ajira nao ni watu kawa wao na wanahaki zao,pia nao wana familia zao,huu ni UPUUZI.
Gwajike tukubali si riziki!! She is just another liability to our country!!Waziri wa Afya, Dorothy Gwajima karudi na rungu.
Ametoa rai kuwa viongozi ambao mpaka sasa hawajachanjwa, watatakiwa waachie ngazi kwani hawawezi kusimamia kampeni ya kusimamia uchanjwaji dhidi ya corona...
Huyo ni Gwajike!! mkono lazima uende hata kwa gharama ya kujitoa ufahamu!!Hatumshangai ndivyo alivyo kigeugeu..kibaraka wa mabeberu..unafiki ndio umemjaa
#MaendeleoHayanaChama View attachment 2028582
Mkuu usije ambukiza wengine waliochanja.
Wewe haki yako ni kukaa nyumbani ukijisikilizia
Mkuu kwa haraka haraka inaonekana umeshachanja hizo sumu.. Simple Logic.. unajisikiaje kuambiwa kimetoka kirusi kipya cha nne cha Omicron na chanjo za zamani hazisaidii!?Mkuu usije ambukiza wengine waliochanja.
Wewe haki yako ni kukaa nyumbani ukijisikilizia.
Kuna kila dalili US anahusika na huu mchezo wa virus I vipyaHahahaha mkuu hicho naskia Ni balaa na hakisikii chanjo yoyote. Kwahyo Hadi mkoa wa chato utakua kwe lockdown
Siyo siri nimechanja siku nyingi.Mkuu kwa haraka haraka inaonekana umeshachanja hizo sumu.. Simple Logic.. unajisikiaje kuambiwa kimetoka kirusi kipya cha nne cha Omicron na chanjo za zamani hazisaidii!?...