Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haya mambo ya kipuuzi kabisa. Unataka watu wachanje kwa lazima ! Chanjo ambayo haiwezi kumkinga mtu na kirusi kipya! Au waziri hujasika hata huko kwa wenye chanjo kirusi kipya kinapeta tu. Tulia mama ,kama ni mapesa yao warejesheeni tu.Waziri wa afya Dr Dorothy Gwajima amewataka viongozi wite wa serikali ambao hawajachanjwa chanjo ya Corona waavhie ngazi mara moja.
Waziri Gwajima amesema kiongozi asiyechanja hawezi kuwa na hamasa ya kushswishi watu wengine Wachanjwe ndio maana mimi kama waziri natoa ushauri wajiuzulu nafasi zao mara moja.
Source: ITV habari
Kwa hiyo wewe kuumwa ni hiari.Madaraka mwana malevya na dharau kubwa sana kwa watanzania. Huyu anachokiongea sio yeye ametumwa na viongozi wake wakubwa atamke hivyo. Hiari na ulazima unatokea wapi?
Anguko la serikali liko karibu sana kutokea muda sio mrefu kwa Mungu hataniwi.
Hata mi naunga mkono wakati nchi nyingine kama Botswana waliagiza chanjo modernaNaunga mkono hoja, hiki alichokisema Waziri Gwajima, ni kitu cha kweli, kama serikali yako imekubali chanjo na rais wako kachanja, wewe kiongozi wa umma, lazima uonyeshe uongozi kwa vitendo na kwa mfano, kwa viongozi wote wakuu wa umma lazima wachanje hadharani, ule uhiari, hauwahusu viongozi wa umma, kwa viongozi wa umma kuchanja ni lazima, asiyechanja aachie ngazi!.
#COVID19 - Kama Taifa limekubali chanjo ndio maslahi ya Taifa, Viongozi wote wanakuwa Bind na A Collective Responsibility Clause. Must support, Shut up or quit!
Wanabodi, Nimemsikia Mbunge wangu Mhe. Askofu Gwajima akipinga chanjo ya Covid na sio tu kuhamasisha watu waikatae bali hadi kutishia kwa kuwahukumu kifo, wote watakao wachanja watu! Askofu wetu anahitaji kuelimishwa, kwanza yeye, kama Mbunge, ni mtumishi wa umma wa Watanzania wote, kisha ndio...www.jamiiforums.com
#COVID19 - Baada ya Kukubali Chanjo, na Rais Samia Kuchanja, Kiongozi yeyote anayepinga Chanjo hadharani ni 'Insubordination' na usaliti
Wanabodi, Hii ni mada mwendelezo wa mada hii ya wiki iliyopita Kwa vile zoezi la chanjo ya Uviko linaendelea, Kwa Maslahi ya Taifa inaendelea kujikita kwenye chanjo, leo nikiangazia hoja ya uhiari wa Chanjo. Japo chanjo ni hiari, hiari ya chanjo ni hiari ya consent kama ilivyo kwenye...www.jamiiforums.com
#COVID19 - Pascal Mayalla: Viongozi wa Umma wajitokeze kuchanjwa, wasiopenda wakae kimya
Leo tarehe 02 Agosti 2021, waandishi wa vyombo mbalimbali vya Habari walipata chanjo dhidi ya UVIKO 19 pale Karimjee Dar. Miongoni mwa waliopokea chanjo ni mwandishi nguli Pascal Mayalla. Katika mahojiano aliongea jambo muhimu sana kuhusu hili zoezi la chanjo. Amewataka viongozi wote wa umma...www.jamiiforums.com
#COVID19 - Japo Chanjo ni hiyari, ila ni muhimu. Hupandi Ndege bila cheti cha Kupima COVID19. Kama unasafirisafiri, Chanjo ni Muhimu
Wanabodi, Déclaration of Interest. Mimi Pascal Mayalla ni pro Vaccination ya Covid 19 na nimechanja chanjo ya Corona, na nawahimiza Watanzania, tuchanje. Niko hapa Terminam 3 Airport ya DIA, nimeshuhudia baadhi ya watu wachache wakirudi makwao kwa kakataliwa kusafiri kutokana na kutokuwa na...www.jamiiforums.com
Niliwahi kusema mahali, chanjo ya Korona japo inasemwa kuwa ni hiyari, hii ni hiyari ya lazima, kuna nchi mtu huruhusiwi kuingia bila cheti cha chanjo ya Corona. Hivyo sasa tunaanza mdogo mdogo kwa viongozi wa umma, chanjo sio hiyari ni lazima,
kama wewe ni kiongozi wa umma na huamini chanjo, achia ngazi!.
P.
P
Nonsense kabisaDuuh! Mbona rais alisema kuwa NI HIARI? Viongozi hawana haki ya kutumia hiyo hiari?
Huyu waziri akiambiwa kuwa kauli yake ni NONSENSE atalalamika?
Kwenye vyombo vya usafiri bado barakoa zina valiwa kweliDuuh! Mbona rais alisema kuwa NI HIARI? Viongozi hawana haki ya kutumia hiyo hiari?
Huyu waziri akiambiwa kuwa kauli yake ni NONSENSE atalalamika?
Bora ya mpoki anayeonekana DSTV .Waziri hana tofauti na Mpoki
Kwanza watu tushasahau kama kuna kitu kinaitwa korona huku mitaani.Kwenye vyombo vya usafiri bado barakoa zina valiwa kweli
hapo pichani naona waziri kachukua tahadhari zote za kujikinga na koronaVIONGOZI AMBAO HAWAJACHANJWA CORONA ACHIENI NGAZI
Waziri wa Afya Dkt.Dorothy Gwajima amewataka viongozi wa umma na watendaji wa Serikali ambao hawajapata chanjo ya Corona kujiuzulu nafasi zao kwani hawawezi kuwashawishi wananchi kuchanjwa wakati wao wamegoma kupokea chanjo hiyo https://t.co/LBOdtnjnzI
View attachment 2028595
Mkuu hata mimi naamini hawa virusi wanafyatulia sehem husika.Za kunyapia nyapia ni kwamba hakuna cha mutation wala baba yake na mutation, kirusi kinaendelea kukarabatiwa maabara na kuachiwa kikiwa na nguvu mpya........wacha tuendelee kuhesabu mawimbi.
Tena hili swala la chanjo limewatia haibu mpaka viongozi wa Chadema.Mbowe aliwahi kusema tena kwa jazba kuwa, Serikali ilete chanjo na watu wachanjwe kwa lazima....Huenda sasa tuko kwenye utekelezaji. Kila kiongozi anafanya lake kama kwamba hatuna kiongozi mkuu??. 😳