MakinikiA
JF-Expert Member
- Jun 7, 2017
- 5,104
- 6,827
Sasa we kachanje nenda South Africa bila barakoa tukuoneScience ya wapi inasema hivyo....!!?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa we kachanje nenda South Africa bila barakoa tukuoneScience ya wapi inasema hivyo....!!?
Naunga mkono hoja, hiki alichokisema Waziri Gwajima, ni kitu cha kweli, kama serikali yako imekubali chanjo na rais wako kachanja, wewe kiongozi wa umma, lazima uonyeshe uongozi kwa vitendo na kwa mfano, kwa viongozi wote wakuu wa umma lazima wachanje hadharani, ule uhiari, hauwahusu viongozi wa umma, kwa viongozi wa umma kuchanja ni lazima, asiyechanja aachie ngazi!.
#COVID19 - Kama Taifa limekubali chanjo ndio maslahi ya Taifa, Viongozi wote wanakuwa Bind na A Collective Responsibility Clause. Must support, Shut up or quit!
Wanabodi, Nimemsikia Mbunge wangu Mhe. Askofu Gwajima akipinga chanjo ya Covid na sio tu kuhamasisha watu waikatae bali hadi kutishia kwa kuwahukumu kifo, wote watakao wachanja watu! Askofu wetu anahitaji kuelimishwa, kwanza yeye, kama Mbunge, ni mtumishi wa umma wa Watanzania wote, kisha ndio...www.jamiiforums.com
#COVID19 - Baada ya Kukubali Chanjo, na Rais Samia Kuchanja, Kiongozi yeyote anayepinga Chanjo hadharani ni 'Insubordination' na usaliti
Wanabodi, Hii ni mada mwendelezo wa mada hii ya wiki iliyopita Kwa vile zoezi la chanjo ya Uviko linaendelea, Kwa Maslahi ya Taifa inaendelea kujikita kwenye chanjo, leo nikiangazia hoja ya uhiari wa Chanjo. Japo chanjo ni hiari, hiari ya chanjo ni hiari ya consent kama ilivyo kwenye...www.jamiiforums.com
#COVID19 - Pascal Mayalla: Viongozi wa Umma wajitokeze kuchanjwa, wasiopenda wakae kimya
Leo tarehe 02 Agosti 2021, waandishi wa vyombo mbalimbali vya Habari walipata chanjo dhidi ya UVIKO 19 pale Karimjee Dar. Miongoni mwa waliopokea chanjo ni mwandishi nguli Pascal Mayalla. Katika mahojiano aliongea jambo muhimu sana kuhusu hili zoezi la chanjo. Amewataka viongozi wote wa umma...www.jamiiforums.com
#COVID19 - Japo Chanjo ni hiyari, ila ni muhimu. Hupandi Ndege bila cheti cha Kupima COVID19. Kama unasafirisafiri, Chanjo ni Muhimu
Wanabodi, Déclaration of Interest. Mimi Pascal Mayalla ni pro Vaccination ya Covid 19 na nimechanja chanjo ya Corona, na nawahimiza Watanzania, tuchanje. Niko hapa Terminam 3 Airport ya DIA, nimeshuhudia baadhi ya watu wachache wakirudi makwao kwa kakataliwa kusafiri kutokana na kutokuwa na...www.jamiiforums.com
Niliwahi kusema mahali, chanjo ya Korona japo inasemwa kuwa ni hiyari, hii ni hiyari ya lazima, kuna nchi mtu huruhusiwi kuingia bila cheti cha chanjo ya Corona. Hivyo sasa tunaanza mdogo mdogo kwa viongozi wa umma, chanjo sio hiyari ni lazima,
kama wewe ni kiongozi wa umma na huamini chanjo, achia ngazi!.
P.
P
Waziri Mkenda amuulize alichoambiwa na Raisi aliingilia eneo la Raisi la biashara za mambo nje ambayo sio eneo lake akalitolea tamko bila kupewa idhini na RaisiSi ni hiari au......alafu yeye ni mamlaka yao ya uteuzi? Au anabwabwaja kujionesha
Huyo mama me kunasiku nilimsikia akisema kua baada ya yeye kuchanjwa, mumewe alitest mitambo akakuta iko poa.
Tangu hapo huyo mama me namchukulia tofauti na mnavyo mchukulia wenzangu.
Nnaona mambo 2Waziri wa Afya, Dorothy Gwajima karudi na rungu.
Ametoa rai kuwa viongozi ambao mpaka sasa hawajachanjwa, watatakiwa waachie ngazi kwani hawawezi kusimamia kampeni ya kusimamia uchanjwaji dhidi ya corona.
Waziri wa Afya amesema kama Rais kachanja ili iwe mfano, sasa hao viongozi hawatetei msimamo wa Serikali
Tulisha liona hili huko nyuma: #COVID19 - Kuchanja sasa kuwe lazima, hasa wafanyakazi serikalini. Chanja au achia ngazi
View attachment 2028866
Chanjo ishamvuruga huyoDuuh! Mbona rais alisema kuwa NI HIARI? Viongozi hawana haki ya kutumia hiyo hiari?
Huyu waziri akiambiwa kuwa kauli yake ni NONSENSE atalalamika?
Tatizo sio kutaka tatizo ni tz sio kisiwa,Mliochanja mnatuonea wivu sana tusiotaka hizi chanjo zenu
Mental disorderWaziri wa Afya, Dorothy Gwajima karudi na rungu.
Ametoa rai kuwa viongozi ambao mpaka sasa hawajachanjwa, watatakiwa waachie ngazi kwani hawawezi kusimamia kampeni ya kusimamia uchanjwaji dhidi ya corona.
Waziri wa Afya amesema kama Rais kachanja ili iwe mfano, sasa hao viongozi hawatetei msimamo wa Serikali
Tulisha liona hili huko nyuma: #COVID19 - Kuchanja sasa kuwe lazima, hasa wafanyakazi serikalini. Chanja au achia ngazi
View attachment 2028866
Kweli!! Walikinga mabega kuiga Ulaya, sasa ulaya wanapata ya 3 na ya 4 bila mafanikio. Waziri naye kichwa kibovu. Atueleze wapi chanjo ilipofanikiwa. Corona inapotea na kuibuka kwa sababu za hali ya hewa. munalo tu!Mliochanja mnatuonea wivu sana tusiotaka hizi chanjo zenu
Na waliochanja fake injection wao wanachelewesha nini?Tatizo musiochanja munachelewesha ugonjwa kutoweka
Ni hivyo hivyo tu wanachelewesha ugonjwa kutoweka,Na waliochanja fake injection wao wanachelewesha nini?