Very simple
Pale stendi ya mbezi weka askari wahakiki cheti cha chanjo,
Asienacho achanje hapohapo au basi alilokuja nalo ndio hilo hilo arudi nalo alipotoka,
Mwezi tu watachanja wote
Nani asiyetaka kuja mjini🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Ametoa rai kuwa viongozi ambao mpaka sasa hawajachanjwa, watatakiwa waachie ngazi kwani hawawezi kusimamia kampeni ya kusimamia uchanjwaji dhidi ya corona.
Waziri wa Afya amesema kama Rais kachanja ili iwe mfano, sasa hao viongozi hawatetei msimamo wa Serikali
Hela ishaletwa ya corona halafu watu hawachanjwi, walioleta pesa wanatazamia kuona lengo lao linatimia. Kipindi kibaya sana hiki katika historia ya dunia.
Hela ishaletwa ya corona halafu watu hawachanjwi, walioleta pesa wanatazamia kuona lengo lao linatimia. Kipindi kibaya sana hiki katika historia ya dunia.
Tena hili swala la chanjo limewatia haibu mpaka viongozi wa Chadema.
Maana kipindi serkali iliyo pita iligomea chanjo, wapinzani wake ambao ndio Chadema wao walikua wakiilazimisha serkali ilete chanjo.
Sasa chanjo imekuja na hatuoni msaada wowote kutoka kwenye hiyo chanjo.
Tena kama chadema wangeliitikia wito hata nusu chanjo zilizopo Nchini zingelikuwa zimeisha,tusingelisikia matamko haya ya kijinga 😀😄😃😃 Chadema tusaidieni kutekereza amri ya mwenyekiti wenu,kwamba kila mwanachadema kuchanjwa ni lazima,mzigo unadodea store, serikali ya Mama pendwa isije pata hasara.
Hili ni suala la muda tu kuchanjwa ni lazma na kla mtu lazma atachanja tunasahau juz tu tumetoka kupokea 1.5 trillion kwa ajiri ya Covid , hii inamaanisha tumekubaliana na masharti yote ya kupambana na covid ndo maana tukapewa iyo pesa
Ukatae ukubali kuchanja tutachanjwa tu na akuna anaeweza pingana na utawala ata bibli inasema
Naunga mkono hoja, hiki alichokisema Waziri Gwajima, ni kitu cha kweli, kama serikali yako imekubali chanjo na rais wako kachanja, wewe kiongozi wa umma, lazima uonyeshe uongozi kwa vitendo na kwa mfano, kwa viongozi wote wakuu wa umma lazima wachanje hadharani, ule uhiari, hauwahusu viongozi wa umma, kwa viongozi wa umma kuchanja ni lazima, asiyechanja aachie ngazi!.
Wanabodi, Nimemsikia Mbunge wangu Mhe. Askofu Gwajima akipinga chanjo ya Covid na sio tu kuhamasisha watu waikatae bali hadi kutishia kwa kuwahukumu kifo, wote watakao wachanja watu! Askofu wetu anahitaji kuelimishwa, kwanza yeye, kama Mbunge, ni mtumishi wa umma wa Watanzania wote, kisha ndio...
Wanabodi, Hii ni mada mwendelezo wa mada hii ya wiki iliyopita Kwa vile zoezi la chanjo ya Uviko linaendelea, Kwa Maslahi ya Taifa inaendelea kujikita kwenye chanjo, leo nikiangazia hoja ya uhiari wa Chanjo. Japo chanjo ni hiari, hiari ya chanjo ni hiari ya consent kama ilivyo kwenye...
Leo tarehe 02 Agosti 2021, waandishi wa vyombo mbalimbali vya Habari walipata chanjo dhidi ya UVIKO 19 pale Karimjee Dar. Miongoni mwa waliopokea chanjo ni mwandishi nguli Pascal Mayalla. Katika mahojiano aliongea jambo muhimu sana kuhusu hili zoezi la chanjo. Amewataka viongozi wote wa umma...
Wanabodi, Déclaration of Interest. Mimi Pascal Mayalla ni pro Vaccination ya Covid 19 na nimechanja chanjo ya Corona, na nawahimiza Watanzania, tuchanje. Niko hapa Terminam 3 Airport ya DIA, nimeshuhudia baadhi ya watu wachache wakirudi makwao kwa kakataliwa kusafiri kutokana na kutokuwa na...
www.jamiiforums.com
Niliwahi kusema mahali, chanjo ya Korona japo inasemwa kuwa ni hiyari, hii ni hiyari ya lazima, kuna nchi mtu huruhusiwi kuingia bila cheti cha chanjo ya Corona. Hivyo sasa tunaanza mdogo mdogo kwa viongozi wa umma, chanjo sio hiyari ni lazima,
kama wewe ni kiongozi wa umma na huamini chanjo, achia ngazi!.
P.
P
Utachanja na wenzako wewe msukuma, mimi na wenzangu hatuchanji! Hatusafiri nje ya nchi, hatuji hospitali pia. Ninyi zuieni kila kitu hadi kutumia cash hadi uwe na chanjo, hatuchanji, Mbona kila kitu tunajua kinachokuja!!!
Mnaopenda mtereko chanjeni
Better to die being free, than living permanently slave to the tomb
Very simple
Pale stendi ya mbezi weka askari wahakiki cheti cha chanjo,
Asienacho achanje hapohapo au basi alilokuja nalo ndio hilo hilo arudi nalo alipotoka,
Mwezi tu watachanja wote
Nani asiyetaka kuja mjini[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Halafu Dorotea ana kamavi kametuna akiwa naked utampenda sema tu sura ya kinyiramba, ana kambunye kadogo kenye utelezi mwingi kama kamasi na kaharufu fulani kwa mbaali.!!!
Waziri wa kuokoteleza huyu,sijui mamlaka za uteuzi zilimtoa wapi,ana mihemko Sana na uwaziri wàke utadhani akitolewa hapo hakuna mtanzania kuziba nafasi yake.
Kulinda Cheo tu kinamfanya abwatuke hivyo.
Kama nchi ni ya babu yake wataachia.
Hajiulizi tu CCM Ina wanachama 8m. Chanjo zilikuwa 1m,hazikuisha mpaka zikaexpire.
Hatumii akili wenye chama wenyewe hawataki misumu,kisa kumfurahisha beberu kwa ajili mkopo.
Waziri wa Afya, Dmmmmorothy Gwajima karudi na rungu.
Ametoa rai kuwa viongozi ambao mpaka sasa hawajachanjwa, watatakiwa waachie ngazi kwani hawawezi kusimamia kampeni ya kusimamia uchanjwaji dhidi ya corona.
Waziri wa Afya amesema kama Rais kachanja ili iwe mfano, sasa hao viongozi hawatetei msimamo wa Serikali
Ametoa rai kuwa viongozi ambao mpaka sasa hawajachanjwa, watatakiwa waachie ngazi kwani hawawezi kusimamia kampeni ya kusimamia uchanjwaji dhidi ya corona.
Waziri wa Afya amesema kama Rais kachanja ili iwe mfano, sasa hao viongozi hawatetei msimamo wa Serikali
Ametoa rai kuwa viongozi ambao mpaka sasa hawajachanjwa, watatakiwa waachie ngazi kwani hawawezi kusimamia kampeni ya kusimamia uchanjwaji dhidi ya corona.
Waziri wa Afya amesema kama Rais kachanja ili iwe mfano, sasa hao viongozi hawatetei msimamo wa Serikali
Tena kama chadema wangeliitikia wito hata nusu chanjo zilizopo Nchini zingelikuwa zimeisha,tusingelisikia matamko haya ya kijinga [emoji3][emoji1][emoji2][emoji2] Chadema tusaidieni kutekereza amri ya mwenyekiti wenu,kwamba kila mwanachadema kuchanjwa ni lazima,mzigo unadodea store, serikali ya Mama pendwa isije pata hasara.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.