#COVID19 Waziri Gwajima: Watu 7 kati ya watu 10 wanaokufa kwa Corona wanakuwa hawajachanjwa 3 tu ndio wamechanjwa!

#COVID19 Waziri Gwajima: Watu 7 kati ya watu 10 wanaokufa kwa Corona wanakuwa hawajachanjwa 3 tu ndio wamechanjwa!

Watu tumechemshwa na jasho la malimao mpaka ngozi ya mwili imebabuka kwa maagizo ya yule jamaa matokeo yake nae mzigo ukamuondoa. Aisee
 
Waziri wa afya Dr Gwajima amesema katika watu 10 wanaokufa kwa ugonjwa wa Corona 7 wanakuwa hawajachanjwa na 3 tu ndio waliochanjwa.

Utafiti unaonyesha hata hao watatu waliochanjwa hufariki kwa sababu huwa na magonjwa mengine nyemelezi.

Source: ITV habari
Aisehh...
 
Waziri wa afya Dr Gwajima amesema katika watu 10 wanaokufa kwa ugonjwa wa Corona 7 wanakuwa hawajachanjwa na 3 tu ndio waliochanjwa.

Utafiti unaonyesha hata hao watatu waliochanjwa hufariki kwa sababu huwa na magonjwa mengine nyemelezi.

Source: ITV habari

Ukweli mtupu lakini kuna Watanzania hata data watazikataa😂 . Kuna watu wanapenda kutunga tu. Ubishi ni sifa kwa wengine
 
Nadhani maelezo ya huyo mwafrika hayako inline na ya Dr Fauci. Mtu aliekuwa vaccinated (aliechanjwa) anaweza kutransmit corona na anaweza pia kuwa mgonjwa, tofauti yake iko kwenye critical levels zao ni tofauti.

Aliekuwa unvacinated yuko kiufupi hatarini au kupata corona na kuwa mgonjwa wa kulazwa hospitali na mitungi ya oxygen, wakati aliekuwa vacinated akawa na kijihoma kidogo na kuendelea na shughuli zake siku mbili tatu baadae.

Kitu kimoja ambacho ni fact, suala hili linadeal na virus. Nadhani hakuna njia ya kuwa na kinga ya 100%, ukipiga dozi 2 anaibuka omicron unaambiwa uongeze dozi. Worst case inaweza kuja version/variant ambayo vacine haijacover completely.

Kwa wanaofahamu hili suala la virus na vaccine sio jipya katika jamii na dunia kwa ujumla.

Tunabahatisha au tuna dhumuni gani haswa???
 
Dawa za Ukimwi mnabugia kila siku hamuogopi lakini chanjo za corona ndiyo mnaziogopa? Chanjeni ili msije mkatengeneza variant mpya na sisi tukapigwa travel ban kama wenzetu wa Afrika Kusini. Nyerere angekuwa hai angewatukana sana nyie mnaopinga chanjo.

Bepari Nakukubali sana Mkuu
Mkuu samahani naomba unielimishe na wengine wajue kaka[emoji116]

Naomba Kuuliza maswali ya Mtu nisielewa Kuhusu Afya na Kirusi,
Naomba Msinicheke...
Nahitaji Elimu wandugu.

Naomba Kuuliza kwa wataalam:
Hivi Kama Mtu hajachanjwa Mpaka sasa,
1. Je akiugua Corona sasa hivi atakuwa ameugua corona ipi? Ile ya Kwanza, Ya Pili ya Tatu au hii Omicroni?

2. Je ina Maana Zile Corona na Mwanzo Hazipo? Kama Zipo Zina Nguvu ya Kuwashambulia watu wasiochanjwa?
Kama Hazina Nguvu sasa Wasiochanjwa wamepata Kinga ya Mwili?

3.Hii Omicron na Yenyewe Kuna watu wamepata Mafua na Homa za Hapa na Pale na Wanaendelea Ku recover na Hawajachanjwa sasa Baadae Wakihitajika Kuchanjwa? Wanachanjwa kwa ajili ya wimbi lipi?
Kuanzia La Kwanza? Au hili la Sasa hivi?
Naomba Majibu wataalam!
 
Bepari Nakukubali sana Mkuu
Mkuu samahani naomba unielimishe na wengine wajue kaka[emoji116]

Naomba Kuuliza maswali ya Mtu nisielewa Kuhusu Afya na Kirusi,
Naomba Msinicheke...
Nahitaji Elimu wandugu.

Naomba Kuuliza kwa wataalam:
Hivi Kama Mtu hajachanjwa Mpaka sasa,
1. Je akiugua Corona sasa hivi atakuwa ameugua corona ipi? Ile ya Kwanza, Ya Pili ya Tatu au hii Omicroni?

2. Je ina Maana Zile Corona na Mwanzo Hazipo? Kama Zipo Zina Nguvu ya Kuwashambulia watu wasiochanjwa?
Kama Hazina Nguvu sasa Wasiochanjwa wamepata Kinga ya Mwili?

3.Hii Omicron na Yenyewe Kuna watu wamepata Mafua na Homa za Hapa na Pale na Wanaendelea Ku recover na Hawajachanjwa sasa Baadae Wakihitajika Kuchanjwa? Wanachanjwa kwa ajili ya wimbi lipi?
Kuanzia La Kwanza? Au hili la Sasa hivi?
Naomba Majibu wataalam!
Ukijibiwa,nitag Plse
 
Dah! Sjui huwa inakuwaje watu kama hawa wanapata vyeo!!!

Mtu anaongea ujinga wa wazi lkn yumo tu! Sema mama ana figure nzuri kishenzi,nimekutana naye mara nyingi japo sura kavu sema yuko vizuri.
 
Anataka kusema kuwa kila watu 10 wanaopata korona wanakufa
 
Bepari Nakukubali sana Mkuu
Mkuu samahani naomba unielimishe na wengine wajue kaka[emoji116]

Naomba Kuuliza maswali ya Mtu nisielewa Kuhusu Afya na Kirusi,
Naomba Msinicheke...
Nahitaji Elimu wandugu.

Naomba Kuuliza kwa wataalam:
Hivi Kama Mtu hajachanjwa Mpaka sasa,
1. Je akiugua Corona sasa hivi atakuwa ameugua corona ipi? Ile ya Kwanza, Ya Pili ya Tatu au hii Omicroni?

2. Je ina Maana Zile Corona na Mwanzo Hazipo? Kama Zipo Zina Nguvu ya Kuwashambulia watu wasiochanjwa?
Kama Hazina Nguvu sasa Wasiochanjwa wamepata Kinga ya Mwili?

3.Hii Omicron na Yenyewe Kuna watu wamepata Mafua na Homa za Hapa na Pale na Wanaendelea Ku recover na Hawajachanjwa sasa Baadae Wakihitajika Kuchanjwa? Wanachanjwa kwa ajili ya wimbi lipi?
Kuanzia La Kwanza? Au hili la Sasa hivi?
Naomba Majibu wataalam!
Naenda kupiga sankuda ,majibu nitayakita badae! Nahisi utaambulia matusi ahahahaha
 
Kwa nn hao watatu waliochanjwa wafe? C walituaminisha kwamba ukichanja madhara hayawi makubwa?

Na tunaaminije kwamba hizi takwimu ni kweli huku tukijua viongozi wetu wakiwa wataalamu wakubwa wa kupika takwimu?
 
This thing requires no politics but rather a professional approach.
Engage politics into such matters makes every effort seemingly irrelevant/unimportant as they will mostly being taken in a negative way.
 
Idadi ya wasiochanjwa ni wangapi kati yao wanakufa wangapi? idadi ya waliochanjwa ni ngapi kati yao wana kufa wangapi? tuanzie hapo
 
Waziri wa afya Dr Gwajima amesema katika watu 10 wanaokufa kwa ugonjwa wa Corona 7 wanakuwa hawajachanjwa na 3 tu ndio waliochanjwa.

Utafiti unaonyesha hata hao watatu waliochanjwa hufariki kwa sababu huwa na magonjwa mengine nyemelezi.

Source: ITV habari
Mbona hii hesabu mbaya kwa waliochanja? Ikiwa Watanzania waliochanja ni asilia si zaidi ya 3, watu 10 wanaokufa covid, 7 ( asilimia 97) ni ambao hawajachanja na 3 (asilimia 3) hawajachanja) ina maana wanakufa wengi waliochanjwa kuliko ambao hawajachanjwa. Kwani madaktari hawafundishwi hesabu au kosa ni kuwa daktari mwanasiasa?
 
Majibu yake..yamechanganya watu zaidi kuliko angekaa kimyaa.. jibu la watatu kufa ni kujibu kuwa kuchanjwa sio jibu ama tiba ya Corona..hivyo tukomae Nature iseme basi!!
Yeah hapa kuna kitu umenena,kama ni kweli watu 3 waliochanjwa hufa katika watu kumi wenyekuugua COVID 19,basi chanjo siyo kitu cha kukimbilia,Siri imefichuka,wananchi wwnzangu tuchukue hatua.
 
waliochanjwa hufariki kwa sababu huwa na magonjwa mengine nyemelezi

 
Waziri wa afya Dr Gwajima amesema katika watu 10 wanaokufa kwa ugonjwa wa Corona 7 wanakuwa hawajachanjwa na 3 tu ndio waliochanjwa.

Utafiti unaonyesha hata hao watatu waliochanjwa hufariki kwa sababu huwa na magonjwa mengine nyemelezi.

Source: ITV habari
Hawa ma doctor ambao ni Wanasiasa wa kijani na njano huwa Sina imani nao kabisa. Kiwatokacho mdomoni, sicho kilicho moyoni.
 
Back
Top Bottom