Waziri Hamad Yussuf Masauni, jiuzulu kumpunguzia Mzigo rais Samia. Anakuonea aibu

Waziri Hamad Yussuf Masauni, jiuzulu kumpunguzia Mzigo rais Samia. Anakuonea aibu

figganigga

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2010
Posts
25,724
Reaction score
55,906
Salaam

Kama Hamad Yussuf Masauni akigoma kujiuzulu, Rais Samia itabidi afumbe macho atengue uteuzi wake sababu ni aibu kwa mtu anayejiita Muislam safi, watu wanapiga, wanategwa na kuuliwa lakini anakosa hata roho ya kusema pole.

1697530199.jpg
Mheshimiwa Hamad M Masauni Waziri wa Mambo ya Ndani

Kisiasa Hamad Yussuf Masauni inamlazimu ajiuzulu. Ni aibu, fedheha. Ana naibu Waziri Mheshimiwa Daniel Baran Sillo, na Makatibu Wakuu wawili ambao Ally Senga Gugu (Katibu Mkuu), na Dr. Maduhu I. Kazi (Naibu Katibu Mkuu)

Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Muliro Jumanne Muliro tulimuonya kwamba Dar es Salaam ngumu akabisha. Size yake ni huko Itigi, Nangurukuru au Mchina.

IGP Camillus Mongoso Wambura ndo level ya Watu wanaotakiwa kuiongoza Kanda Maalum ya Dar Es Salaam.

Pole sana Rais Wetu Mpendwa wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu.

Soma Pia: Waziri wa Mambo ya Ndani, Masauni aitisha Kikao na Uongozi wa Juu wa Jeshi la Polisi


Unaowaamini na kuwapa vyeo kwa nia njema ya falsafa yako ya R4 ndo hao hao wanakung'ong'a.
 
Kauli yake kuhusu watu kupotea inasemaje? Hii inaenda mbali zaidi kumgusa spika aliyedai hili sio jambo la kujadiliwa kidharura, linazidi kuchukua sura ya tofauti Kwa kumbukumbu za Mkuu kusema haya ni maigizo tu.

"The fish rots from the head"
Chinese proverb
 
Salaam

Kama Hamad Yussuf Masauni akigoma kujiuzulu, Rais Samia itabidi afumbe macho atengue uteuzi wake sababu ni aibu kwa mtu anayejiita Muislam safi, watu wanapiga, wanategwa na kuuliwa lakini anakosa hata roho ya kusema pole.

Mheshimiwa Hamad M Masauni Waziri wa Mambo ya Ndani

Kisiasa Hamad Yussuf Masauni inamlazimu ajiuzulu. Ni aibu, fedheha. Ana naibu Waziri Mheshimiwa Daniel Baran Sillo, na Makatibu Wakuu wawili ambao Ally Senga Gugu (Katibu Mkuu), na Dr. Maduhu I. Kazi (Naibu Katibu Mkuu)

Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Muliro Jumanne Muliro tulimuonya kwamba Dar es Salaam ngumu akabisha. Size yake ni huko Itigi, Nangurukuru au Mchina.

IGP Camillus Mongoso Wambura ndo level ya Watu wanaotakiwa kuiongoza Kanda Maalum ya Dar Es Salaam.

Pole sana Rais Wetu Mpendwa wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu.

Soma Pia: Waziri wa Mambo ya Ndani, Masauni aitisha Kikao na Uongozi wa Juu wa Jeshi la Polisi

Unaowaamini na kuwapa vyeo kwa nia njema ya falsafa yako ya R4 ndo hao hao wanakung'ong'a.
Naunga mkono hoja
Nashauri kwa negligence iliyofanywa na Jeshi letu la polisi kuhusu kadhia hii ya kifo cha Mzee Ali Mohamed Kibao, Mjumbe wa Sekretarieti ya CHADEMA Taifa na Msaidizi wa Katibu Mkuu , kukutwa ameuwawa na mwili wake kutupwa eneo la Kunduchi Ununio,
watu wanne wawajibike!.
1. Waziri - kwa ajali kazini
2. IGP - kwa negligence ya RPC wake
3. RPC -DSM - negligence
4. OCD Kinondoni - negligence, na hawa wawili wa mwisho RPC na OCD wanaweza kufikishwa kwa Pilato!.

Ni wakati sasa Rais Samia kukasirika kama enzi za Nyerere!.
P
 
Salaam

Kama Hamad Yussuf Masauni akigoma kujiuzulu, Rais Samia itabidi afumbe macho atengue uteuzi wake sababu ni aibu kwa mtu anayejiita Muislam safi, watu wanapiga, wanategwa na kuuliwa lakini anakosa hata roho ya kusema pole.

Mheshimiwa Hamad M Masauni Waziri wa Mambo ya Ndani

Kisiasa Hamad Yussuf Masauni inamlazimu ajiuzulu. Ni aibu, fedheha. Ana naibu Waziri Mheshimiwa Daniel Baran Sillo, na Makatibu Wakuu wawili ambao Ally Senga Gugu (Katibu Mkuu), na Dr. Maduhu I. Kazi (Naibu Katibu Mkuu)

Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Muliro Jumanne Muliro tulimuonya kwamba Dar es Salaam ngumu akabisha. Size yake ni huko Itigi, Nangurukuru au Mchina.

IGP Camillus Mongoso Wambura ndo level ya Watu wanaotakiwa kuiongoza Kanda Maalum ya Dar Es Salaam.

Pole sana Rais Wetu Mpendwa wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu.

Soma Pia: Waziri wa Mambo ya Ndani, Masauni aitisha Kikao na Uongozi wa Juu wa Jeshi la Polisi

Unaowaamini na kuwapa vyeo kwa nia njema ya falsafa yako ya R4 ndo hao hao wanakung'ong'a.
Kutokana na hali mbaya kabisa ya kiusalama iliyopo hapa nchini hivi sasa, kuna kila sababu ya ku-declare the State of Emergency.

Siyo siri, hali ni mbaya sana.
Uhakika wa kufa leo hii ni mkubwa zaidi kuliko matumaini ya uwezekano wa kuiona kesho.
 
Naunga mkono hoja
Nashauri kwa negligence iliyofanywa na Jeshi letu la polisi kuhusu kadhia hii ya kifo cha Mzee Ali Mohamed Kibao, Mjumbe wa Sekretarieti ya CHADEMA Taifa na Msaidizi wa Katibu Mkuu , kukutwa ameuwawa na mwili wake kutupwa eneo la Kunduchi Ununio,
watu wanne wawajibike!.
1. Waziri - kwa ajali kazini
2. IGP - kwa negligence ya RPC wake
3. RPC -DSM - negligence
4. OCD Kinondoni - negligence, na hawa wawili wa mwisho RPC na OCD wanaweza kufikishwa kwa Pilato!.

Ni wakati sasa Rais Samia kukasirika kama enzi za Nyerere!.
P
Sidhani kama itasaidia kitu chochote kile.

Tunatakiwa tujiulize, Je, tumefikaje hapa kwenye hali mbaya kabisa kama hii??
 
Rais alikuwa haamini kama kunakutekwa akaita vidrama

Wacha iendelee kunyesha Ili tuone panapovuja

Inauma sana kuona wale wanaopaswa kukulinda ndio wanakuondoa uhai
 
Hii inchi ya kise.nge sana kuanzia wananchi mpaka viongozi....muislamu safi ndio nini??? rais anamuonea aibu waziri wake ndio nini ??? yahn takataka tu umeandika.
 
Najiuliza sipati jibu.

Je, ni;
- Dharau kwetu watawaliwa?

- Anatekeleza maelekezo ya bosi wake? au,

- Bosi bado anamtafuta wa kuchukua nafasi yake?

Hii trend ya kufumbia macho udhalimu tunaofanyiwa watanganyika inasikitisha sana, na inaleta hasira sasa, hivi tunachukuliwaje?

Mbona sasa tumegeuzwa kama kuku tunaokimbizwa na wafugaji kila wakitaka kumkamata wa kuchinja ili wanywe supu?

Kwa Bashe na upigaji wa sukari yalitokea tukayatazama, leo ni kama yameshapita. Hata hili la kutoa roho zetu nalo litaachwa lipite hivi hivi?

Kuagiza uchunguzi ufanyike sawa, lakini kiuhalisia wewe bosi kwa nafasi yako unachukua hatua gani nyingine kwa vitendo kutuonesha ulivyoguswa na mauaji ya asie na hatia?
 
La
Najiuliza sipati jibu.

Je, ni;
- Dharau kwetu watawaliwa?

- Anatekeleza maelekezo ya bosi wake? au,

- Bosi bado anamtafuta wa kuchukua nafasi yake?

Hii trend ya kufumbia macho udhalimu tunaofanyiwa watanganyika inasikitisha sana, na inaleta hasira sasa, hivi tunachukuliwaje?

Mbona sasa tumegeuzwa kama kuku tunaokimbizwa na wafugaji kila wakitaka kumkamata wa kuchinja ili wanywe supu?

Kwa Bashe na upigaji wa sukari yalitokea tukayatazama, leo ni kama yameshapita. Hata hili la kutoa roho zetu nalo litaachwa lipite hivi hivi?

Kuagiza uchunguzi ufanyike sawa, lakini kiuhalisia wewe bosi kwa nafasi yako unachukua hatua gani nyingine kwa vitendo kutuonesha ulivyoguswa na mauaji ya asie na hat
Labda siyo Tanzania hii, Kesho mpaka keshokutwa ataendelea kwepo huyo,Hana aibu.
1:Alisema hizo ni drama
2:Rais Alisema Drama
3:Spika Alisema Hata wadandia Magari uvunguni(Watoto)wanakufa,
Unategemea nini hapo?
 
Najiuliza sipati jibu.

Je, ni;
- Dharau kwetu watawaliwa?

- Anatekeleza maelekezo ya bosi wake? au,

- Bosi bado anamtafuta wa kuchukua nafasi yake?

Hii trend ya kufumbia macho udhalimu tunaofanyiwa watanganyika inasikitisha sana, na inaleta hasira sasa, hivi tunachukuliwaje?

Mbona sasa tumegeuzwa kama kuku tunaokimbizwa na wafugaji kila wakitaka kumkamata wa kuchinja ili wanywe supu?

Kwa Bashe na upigaji wa sukari yalitokea tukayatazama, leo ni kama yameshapita. Hata hili la kutoa roho zetu nalo litaachwa lipite hivi hivi?

Kuagiza uchunguzi ufanyike sawa, lakini kiuhalisia wewe bosi kwa nafasi yako unachukua hatua gani nyingine kwa vitendo kutuonesha ulivyoguswa na mauaji ya asie na hatia?
huko si ni kukimbia au kukwepa tatizo sasa, na actually ni perception ya kizamani sana...

kiongozi makini, madhubuti na mwenye mipango anajizatiti kwa namna zote kukabiliana na tatizo au changamoto iliyo mbele yake..

ili amuachie nani tatizo sasa?
yaani watu waviziane kwa sababu zao halafu asiehusika aache kazi? really?🐒
 
Najiuliza sipati jibu.

Je, ni;
- Dharau kwetu watawaliwa?

- Anatekeleza maelekezo ya bosi wake? au,

- Bosi bado anamtafuta wa kuchukua nafasi yake?

Hii trend ya kufumbia macho udhalimu tunaofanyiwa watanganyika inasikitisha sana, na inaleta hasira sasa, hivi tunachukuliwaje?

Mbona sasa tumegeuzwa kama kuku tunaokimbizwa na wafugaji kila wakitaka kumkamata wa kuchinja ili wanywe supu?

Kwa Bashe na upigaji wa sukari yalitokea tukayatazama, leo ni kama yameshapita. Hata hili la kutoa roho zetu nalo litaachwa lipite hivi hivi?

Kuagiza uchunguzi ufanyike sawa, lakini kiuhalisia wewe bosi kwa nafasi yako unachukua hatua gani nyingine kwa vitendo kutuonesha ulivyoguswa na mauaji ya asie na hatia?

..tupaze sauti kikosi cha WATEKAJI/WAUWAJI ktk jeshi la Polisi kivunjwe, na wahusika washtakiwa.

..nina wasiwasi Raisi anaweza kumtoa kafara Masauni ili kuwapumbaza wananchi kuwa amechukua hatua.
 
Back
Top Bottom