Mtizamo wangu wazuri masauni jiuzulubili ulinde status ya mama Samia,Kama ambavyo alifanya mwinyi kipindi Cha Nyerere,nasema hivi kwa sababu Kama Raisi anaitaka kuendeleza kugombea ili image yake isichafuke,masauni nashauri ujiuzulu kulinda a sort of accountability,ya mama,.mtego wa kisiasa mnaojiwekea Sasa hivi ni kuwa utafika kipindi Cha uchaguzi,na Hali itachafuka Sana ,yatakapoanza. Kuvurumishwa makombora ya kisiasa,Sasa kwenye ccm wake ambao watakuwa wamekoswa nafasi za kuteuliwa ,yatajiondoa kundi kubwa Sana kuhamia upinzani,Hali hii unaweza kumpa taharuki kubwa Sana mama Samia Kama atakuwa ndiyo mgombea,na anaweza akakosa stability ya kampeni,na kapeni yake itapooza Sana,kwa mara yakwanza ccm itashindwa ama laa kura zutapungua Sana,na upande WA ccm itabidi itumike gharama kubwa Sana kutafuta ushindi,lakini Kama masauni atakuwa amejiuzulu,itampa credibility mama,na ccm Cha kujitetea kuwa kumbe na nyie mnawajibika kwa muktadha wa usalama wa nchi na watanzania mkiwaeleza wata analyze na kuwaelewa,Tanzania hii Kuna waelewa wengi Sana wanao analyse Mambo,kwa ustadi mkubwa,tatizo mkijifungia tu huko nahisi mna assume raia walioko huku chini Kama hawajielewi,kinachosaidia tu labda watanzania,siyo wepesi wa kufanya ACTIVE RESISTANCE,(masauni jiuzulu),kusafisha upepo wa kisiasa kwa chama na serikali