Waziri Hamad Yussuf Masauni, jiuzulu kumpunguzia Mzigo rais Samia. Anakuonea aibu

Zanzibar inatawala Tanganyika.
 
Waliohusika walitumwa na ofisi yake. Sasa anawajibika kwa lipi? Lema kaongea msibani pale pale kuwa waliomuua Kibao ni watu wa mfumo. Wala siyo wahuni.

1. Wahuni watata wapi SMG?
2. Wahuni watatoa wapi gari la polisi (land Rover)?
3. Wahuni watamteka mtu mbele ya traffic Machiwa??
 
ndo namimi nashangaa! mpaka nataka kuhoji majukumu ya waziri wa mambo ya ndani!.
matukio ya kiharifu kama yanatokea nakuripotiwa yote halafu ndo iwe sababu ya waziri kujiuzuru basi hakuna waziri atakaa siku tatu baada yakuteuliwa kuwa waziri wa mambo ya ndani!!.

Mi nachojua mpaka atakaposhindwa kutatua changamoto hiyo ndo anatakiwa aachie ngazi,by the way wanasiasa wamejivika hili vazi wao wenyewe lkn hili vazi nachojua linawahusu zaidi sekta za ulinzi..
mbona waziri wa ulinzi hawamsemi..??
mi naona wengine wanafuata mkumbo wa wanasiasa na si kwakutumia ubongo wao!.
 
Nchi za wenzetu kuna kitu kinaitwa kuwajibika, once issue kama hizo zinatokea kiongoxi anaona ameiangusha jamii na taasisi anakaa pemben
Haimaanishi anakimbia tatizo, but ana take responsibility.

Make no mistake wenzetu wametuzidi kila kitu, ndio maana tawala zao zina perform vizur nyumban
 

MAMAYร“
 
hao wenzenu ni waoga na wameishiwa mipango...

responsibility ni kudeal hardly with the issue hiyo ingine ni unafiki na ni kushindwa kazi kwa wasio na uwezo. uongozi ni kuonyesha njia kutafuta suluhu ya jambo and not running away ๐Ÿ’
 
hao wenzenu ni waoga na wameishiwa mipango...

responsibility ni kudeal hardly with the issue hiyo ingine ni unafiki na ni kushindwa kazi kwa wasio na uwezo. uongozi ni kuonyesha njia kutafuta suluhu ya jambo and not running away ๐Ÿ’
Wangekuwa waoga na kuishiwa mipango wasingekuwa na marndeleo na hatua walizopiga leo hii, the fact wametuzidi kiutawala, kimaendeleo, kiuchumi ni statement tosha mfumo wao ndio sahihi
 
mihemko tu, dhana ya kujiuzulu ni ya kizamani sana...

kujizatiti na kudeal na tatizo, kuonyesha njia na kutafuta majawabu ya changamoto mahususi ngumu ndio suluhisho muhimu kwenye changamoto tata na huo ndio uongozi ๐Ÿ’
 
Wangekuwa waoga na kuishiwa mipango wasingekuwa na marndeleo na hatua walizopiga leo hii, the fact wametuzidi kiutawala, kimaendeleo, kiuchumi ni statement tosha mfumo wao ndio sahihi
mathalani,
uingereza wanaojiuzulu kila uchwao eti ndio kuwajibika wako wapi sasa kimaendeleo kwa mfano kama kujiuzulu inasaidia kiutawala na kiuchumi kama unavyodai....

dhana hiyo potofu ishapitwa na wakati,
hata humu kwetu Tanzania walijiuzulu akina hayati Mwinyi, Lowasa, Msabaha,Tibaijuka, karamagi , ngeleja n.k . Je, ilisaidia sana maendeleo ya kiuchumi right? au ni siasa tu za kuachiana nafasi za uongozi wa kisiasa?

that is useless au uchumi ulipaa sana?๐Ÿ’
 
Pole sana, wale wana mfumo, ambao akiingia mwingine anaendeleza walipoishia.
Tz inaikuta uingereza wapi kwenye maendeleo? Kiuchumi wapi? Kielu? Ni kipi ambacho mmewazidi UK?
wenzetu wako wazi sana, wanaamini wapo wenyewe uwezo zaid pale wanapoona imewashinda au wameharibu. Na wako tayari hata kushtakiwa.

Uwazo wao kwenye uongozi umewasaidia kufika mbali.

Nyie mnao gandia hapo mmefika wapi?
 
wameendeleza kitu gani sasa kama sio useless and nonsense,

uingereza hana sauti mbele ya mataifa hivi sasa na wala hategemewi na yeyote kwa chochote right now duniani si kiuchumi, kijamii au kisiasa...

kujiuzilu ni dhana potofu ya watu wenye uwezo mdogo wa kiuongozi waliofilisika mbinu na mipango ya kudeal na changamoto za matatizo ndani ya wizara na mamlaka zao...

masauni hana sababu hata moja ya kujiuzilu bali anawajibika kuongoza idara zake kushughulika na jambo mahususi liliojitokeza na kubainisha ukweli kuhusu hilo na si vinginevyo....

na endapo atajiuzulu, basi ni kwa hiyari yake labda anaumwa, ana matatizo binafsi ya kifamilia na kwamba ameshindwa kushughulika na jambo hilo kwasabb za kifamilia au kiafya...


Lakini sio kujiuzilu kwa makelele na mayowe ya watu au kwa kuiga sijui wapi walifanyeje..

huko ni kuiga ushirikiana ๐Ÿ’
 
sawa tz imewazidi nini?
 
Masauni aรฑaelewa walichokifanya na kinachoendelea ndo maana kashikwa na aibu imebid ajipeleke msiban kujikomba,kujiuzuru hawez coz inaonekana n makubaliano yao kufanya yanayoendelea.
Sidhan kama walikuwa na mpango wa kumuua mzee Kibao plan yao ilikuwa interogation sema mzee alikuwa mgonjwa mateso yalizid akafarik wakapanik na kufanya ujinga wa kumtupa peupe
 
nadhani ni muhimu zaidi kuelewa kwamba kujiuzulu ni kukimbia majukumu mazito.full stop

mengine ni ushirikiana tu ๐Ÿ’
Kujiuzulu si kukimbiw majukumu, ni kuwajibika. Ni aian ya uwajibikaji na uwazi.

Ukizingua au una uwezo na suala flani huna, haijalishi siasa ngapi itaingizwa hapo,
Huwezi ni huwezi, haya mambo ya kulazimisha ndio yanatufikisha hapa, tuna end up na vituko
 
kuwajibika ni kujizatiti vilivyo na kufanya kazi kwa bidii zaidi dhidi ya mkwamo au changamoto mahususi...

hiyo ya kwenye siasa ni dhana potofu ilopitwa na wakati, nadhani ifanywe na wanaogopa matatizo pekee lakini sio kwa mtu makini na bold kama masauni ๐Ÿ’
 
Unajizatiti wakati umshaharibu? Uko ni kuhimiza na lutete failures.
I call as it is, failure is failure, hatuhitaji trial and error kwneye hizo nafasi, hatuko kwenye chuo chw msfunzo ya uongozi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ