Waziri hana mamlaka ya kutoa hukumu kwenye mgogoro wowote ule. Ndio maana Bunge na Mahakama zetu havina nguvu

Waziri hana mamlaka ya kutoa hukumu kwenye mgogoro wowote ule. Ndio maana Bunge na Mahakama zetu havina nguvu

fazili

JF-Expert Member
Joined
Jun 10, 2011
Posts
16,427
Reaction score
22,418
Hapa Tanzania na nchi nyingi za kiafrika bunge na mahakama vipo kama mapambo tu na hutumika na wanasiasa wakitaka kufanya mambo yao. Inashangaza jinsi watanzania wengi wasivyojua haki zao na taratibu za kupata haki zao!

Kwanini watu wengi hufikiri kuwa waziri ana mamlaka ya kuamua haki kati ya pande mbili zinazozozana juu ya jambo flani? Ni kwasababu ya ujinga wa sheria.

Hovyo hizi hufanyika sana hapa nchini na hata kwenye chaguzi zetu ambapo wanasiasa ndio wanakuwa waamuzi wa nani ashinde nani ashindwe! Haya yanaweza kutokea kwenye nchi ambazo watu wake hawana weledi wa mambo na wajinga.

Waziri au mwanasiasa anaweza kusaidia mchakato wa kupata haki kupitia Mahakama ufanyike lakini sio kuingilia Mahakama au yeye mwenyewe kutoa haki kama hakimu. Hovyo hii inafanyika nchini kwetu na watu kwasababu hawajui taratibu, kanuni na sheria basi wanaona ni sawa kabisa, hapana!
 
Hapa Tanzania na nchi nyingi za kiafrika bunge na mahakama vipo kama mapambo tu na hutumika na wanasiasa wakitaka kufanya mambo yao. Inashangaza jinsi watanzania wengi wasivyojua haki zao na taratibu za kupata haki zao!

Kwanini watu wengi hufikiri kuwa waziri ana mamlaka ya kuamua haki kati ya pande mbili zinazozozana juu ya jambo flani? Ni kwasababu ya ujinga wa sheria.

Hovyo hizi hufanyika sana hapa nchini na hata kwenye chaguzi zetu ambapo wanasiasa ndio wanakuwa waamuzi wa nani ashinde nani ashindwe! Haya yanaweza kutokea kwenye nchi ambazo watu wake hawana weledi wa mambo na wajinga.

Waziri au mwanasiasa anaweza kusaidia mchakato wa kupata haki kupitia Mahakama ufanyike lakini sio kuingilia Mahakama au yeye mwenyewe kutoa haki kama hakimu. Hovyo hii inafanyika nchini kwetu na watu kwasababu hawajui taratibu, kanuni na sheria basi wanaona ni sawa kabisa, hapana!
Mbona kama hueleweki unasema nini!!?? Kwani Waziri kakufanya nini!. Kua muwazi tukusaidie kama itawezekana!!
 
Hapa Tanzania na nchi nyingi za kiafrika bunge na mahakama vipo kama mapambo tu na hutumika na wanasiasa wakitaka kufanya mambo yao. Inashangaza jinsi watanzania wengi wasivyojua haki zao na taratibu za kupata haki zao!

Kwanini watu wengi hufikiri kuwa waziri ana mamlaka ya kuamua haki kati ya pande mbili zinazozozana juu ya jambo flani? Ni kwasababu ya ujinga wa sheria.

Hovyo hizi hufanyika sana hapa nchini na hata kwenye chaguzi zetu ambapo wanasiasa ndio wanakuwa waamuzi wa nani ashinde nani ashindwe! Haya yanaweza kutokea kwenye nchi ambazo watu wake hawana weledi wa mambo na wajinga.

Waziri au mwanasiasa anaweza kusaidia mchakato wa kupata haki kupitia Mahakama ufanyike lakini sio kuingilia Mahakama au yeye mwenyewe kutoa haki kama hakimu. Hovyo hii inafanyika nchini kwetu na watu kwasababu hawajui taratibu, kanuni na sheria basi wanaona ni sawa kabisa, hapana!
Umetumwa?
 
Hapa Tanzania na nchi nyingi za kiafrika bunge na mahakama vipo kama mapambo tu na hutumika na wanasiasa wakitaka kufanya mambo yao. Inashangaza jinsi watanzania wengi wasivyojua haki zao na taratibu za kupata haki zao!

Kwanini watu wengi hufikiri kuwa waziri ana mamlaka ya kuamua haki kati ya pande mbili zinazozozana juu ya jambo flani? Ni kwasababu ya ujinga wa sheria.

Hovyo hizi hufanyika sana hapa nchini na hata kwenye chaguzi zetu ambapo wanasiasa ndio wanakuwa waamuzi wa nani ashinde nani ashindwe! Haya yanaweza kutokea kwenye nchi ambazo watu wake hawana weledi wa mambo na wajinga.

Waziri au mwanasiasa anaweza kusaidia mchakato wa kupata haki kupitia Mahakama ufanyike lakini sio kuingilia Mahakama au yeye mwenyewe kutoa haki kama hakimu. Hovyo hii inafanyika nchini kwetu na watu kwasababu hawajui taratibu, kanuni na sheria basi wanaona ni sawa kabisa, hapana!
Hii nchi sheria wala taratibu huwa hazifuatwi ni matamko tu ndiyo hufuatwa
 
Hapa Tanzania na nchi nyingi za kiafrika bunge na mahakama vipo kama mapambo tu na hutumika na wanasiasa wakitaka kufanya mambo yao. Inashangaza jinsi watanzania wengi wasivyojua haki zao na taratibu za kupata haki zao!

Kwanini watu wengi hufikiri kuwa waziri ana mamlaka ya kuamua haki kati ya pande mbili zinazozozana juu ya jambo flani? Ni kwasababu ya ujinga wa sheria.

Hovyo hizi hufanyika sana hapa nchini na hata kwenye chaguzi zetu ambapo wanasiasa ndio wanakuwa waamuzi wa nani ashinde nani ashindwe! Haya yanaweza kutokea kwenye nchi ambazo watu wake hawana weledi wa mambo na wajinga.

Waziri au mwanasiasa anaweza kusaidia mchakato wa kupata haki kupitia Mahakama ufanyike lakini sio kuingilia Mahakama au yeye mwenyewe kutoa haki kama hakimu. Hovyo hii inafanyika nchini kwetu na watu kwasababu hawajui taratibu, kanuni na sheria basi wanaona ni sawa kabisa, hapana!
Mkuu shida yetu watanzania huwa tunajali tu anachokifanya mkubwa kama kinayufurahisha kwa muda huo. Waziri leo anatoa hukumu inayokufurahisha unaona sawa kesho atatoa hukumu ambayo haikufurahishi utalalamika.
Ndungai alipofanywa ajiuzulu hata wapinzani walifurahi bila kujua kuwa japo ndungai alikuwa mwiba ila style hiyo hiyo itatumika kuwathibiti hata wale walio mwiba kwa serikali.
Tufuate sheria na tupige kelele watu kufuata sheria haijalishi muda huo kuvunja sheria kuna maslahi kwako au la!
 
Hii katiba hata hao maccm haiwasaidi atokeapo Raisi mbinafisi wakwanza kupata shida niazo
Kumbukeni kipindi Cha Jiwe
 
Hapa Tanzania na nchi nyingi za kiafrika bunge na mahakama vipo kama mapambo tu na hutumika na wanasiasa wakitaka kufanya mambo yao. Inashangaza jinsi watanzania wengi wasivyojua haki zao na taratibu za kupata haki zao!

Kwanini watu wengi hufikiri kuwa waziri ana mamlaka ya kuamua haki kati ya pande mbili zinazozozana juu ya jambo flani? Ni kwasababu ya ujinga wa sheria.

Hovyo hizi hufanyika sana hapa nchini na hata kwenye chaguzi zetu ambapo wanasiasa ndio wanakuwa waamuzi wa nani ashinde nani ashindwe! Haya yanaweza kutokea kwenye nchi ambazo watu wake hawana weledi wa mambo na wajinga.

Waziri au mwanasiasa anaweza kusaidia mchakato wa kupata haki kupitia Mahakama ufanyike lakini sio kuingilia Mahakama au yeye mwenyewe kutoa haki kama hakimu. Hovyo hii inafanyika nchini kwetu na watu kwasababu hawajui taratibu, kanuni na sheria basi wanaona ni sawa kabisa, hapana!
Uko sahihi mno mno. Lakini wajinga wajinga huwa wanashangalia wasijue kuwa ni dalili inaonyesha nchi yenye serikali iliyo-collapse na mihimili yake haifanyi kazi.
 
Back
Top Bottom