Acha ujinga!Ghafla Bavicha wamenuna [emoji2956][emoji2956][emoji2956]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha ujinga!Ghafla Bavicha wamenuna [emoji2956][emoji2956][emoji2956]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mwakani atatumwa DC. 2025 Mtendaji wa kata.View attachment 2555642
Mbona mnatumia nguvu nyingi juu ya huyo mungu wenu ili hali mnadai alifanya mengi, kizuri chajiuza, ndiyo maana hakuna promo kwa NyerereNiliwaambia wakae kimya wakiona tweet ya Rais jioni wakashupaza shingo, haya na katika hotuba yake leo kasimamisha hotuba ili kumkumbuka JPM ,
Hii picha nimejikuta nacheka sijui kwaniniMwakani atatumwa DC. 2025 Mtendaji wa kata.View attachment 2555642
Sorry mkuu endelea kutangaza biashara yakoHili ni tatizo la kuvuta ganja kwa kutumia "maaqalio", badala ya mdomo. Mzee wako ni heri angemwaga nje!
Unajua tofauti ya mtu aliekua anaitwa "Alexandria" na "Alexander"?
Ghafla Bavicha wamenuna [emoji2956][emoji2956][emoji2956]
Wasipokukula mdondo basi kuna siku utabeba mimba yao maana mahaba yako kwao yamevuka mipaka
Wewe sikulaumu, makosa alifanya mzee wako, ni heri hata angepiga nyto bafuni au angtema nje!Sorry mkuu endelea kutangaza biashara yako
Asante Kwa hili jibuBaba yake Inno na magufuli walisoma pamoja, lakini mama yake inno ni msukuma wa ukoo wa akina magufuli, na inno alikua anamwita uncle kiukoo hivo hakuna kitu kakosea labda wewe usiyewajua hao ndio utashangaa
Mkuu Mama anajitambua na si ajabu aliipanga safari Kwa kitambua kutoshiriki hii shughuli popote pale.Waziri wa Ulinzi, Innocent Bashungwa amemwakilisha Rais Samia Suhulu Hassan kwenye misa ya kumuombea Hayati Dk. John Pombe Joseph Magufuli leo Machi 17 2023 nyumbani kwa Hayati Magufuli Chato mkoa wa Geita.
Nanukuu
"Nimepata heshima ya kumuwakilisha mhe. Rais wetu Dkt. Samia Suluhu Hassan kwenye misa ya kumuombea mzee wetu mpendwa Hayati Dkt. John Pombe Magufuli, leo Machi 17 ambapo ni miaka miwili tangu ameitwa na Mwenyezi Mungu. Endelea kupumzika kwa amani uncle JPM" ameandika Bashungwa kwenye ukurasa wake rasmi wa Instram.
Mkuu wewe ni shoga au unatafta mteja hapa jf!?Wewe sikulaumu, makosa alifanya mzee wako, ni heri hata angepiga nyto bafuni au angtema nje!
Hata hizo emoj za kucheka cheka zina prove wewe ni shogaEti "Uncle JPM".[emoji23][emoji23][emoji23]
Tanzania ukute huko mbinguni ni "Chanel Ya Komedy (Ze Komedy Show)", malaika wanatuangalia na kucheka tu![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Aliye paswa kupiga nyeto ni baba yako kupunguza mashoga kama weweWewe sikulaumu, makosa alifanya mzee wako, ni heri hata angepiga nyto bafuni au angtema nje!
Kwani hiyo tweet katumia akaunti ya Serikali au kwake binafsi? Kama hamjui Protokali msijitie kimbelembele kujifanya mnajua.Unaanzaje kuingiza undugu kwenye kazi ya kiserikali?
Huyo katumwa kiserikali kwenda kumwakilisha Rais Samia au kaenda kindugu?. Chizi wewe!