Waziri Innocent Bashungwa ni Mtu kazi au bahati tu?

Anaandaliwa!! sasa kazi kwako kujua kuwa Nani!!

Unammkumbuka Dr.Husein Mwinyi enzi zake!!?

Isije ikawa calm, visionary, patriotic, intelligent and strategic akafanikisha next stage!!


Siku hizi wakubwa wanaandaa VIJANA!

Kabla hujawa wanakupitisha wizara tofauti tofauti ili upate uzoefu!!

Namtakia mafanikio KWA malengo ya wanaomuandaa!!
 
Wewe mafanikio yako ni yapi?
Kwani ukiyaelezea hayo mafanikio yake kiutendaji, utapungukiwa nini? Sasa unayaulizia mafanikio yangu mimi, yatakusaidia nini? Mimi ni mwananchi tu mvuja jasho, na pia mlipa kodi.

Hayo ya Bashungwa, ni muhimu kwangu kama mwananchi wa nchi hii kufahamu iwapo tuna waziri ambaye ni asset, au ni liability.
 
Kitengo
 
Tangu zamani vijana wanaandaliwa,na ukionekana unafaa basi hutoki barazani
 
Na inawezekana akawa Rais one day huyu jamaa
 
Bashungwa ni MWANASIASA.
 
InnoBash mtu kazi, anajua sema watu wengi wana mu underrate sana.
 
 
Rais Samia akipita 2025 nahisi Bashungwa atakuwa waziri mkuu kwani sidhani atampa Kasimu mara ya tatu
Ingawa ana haiba ya majirani wetu wa Kinyarwanda ni mtiifu kwa mamlaka bila kuonyesha ambition za urais
 
Nafikiri tayari atakuwa kishaanza kujiona ni Presidential Material kama akina Mwigulu na January.
 
Kwani so tulikubaliana wahaya, nyaki na chaga hakuna kupewa nafasi ya urais kwakuwa Wana tribal negligence.
Yah right. Hizo ni story za mtaani.

Hata huko Zenji walisema GA Mpemba hawezi kupewa..... Then Shein akaukwaa Urais ZNZ na Maza kakalia kiti. Never say never.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…