Papaa Mobimba
JF-Expert Member
- Jan 27, 2018
- 882
- 3,337
Waziri Jafo amsimamisha kazi Kaimu Mkurugenzi wa Halmashauri ya Tarime kwa kusafirisha mwili wa mtumishi juu ya carrier ya gari.
Katibu Mkuu wa Ofisi ya Rais-TAMISEMI amemsimamisha kazi Kaimu Mkurugenzi wa Halmasharauri ya Wilaya ya Tarime, Jumanne Yassin ili kupisha uchunguzi
Yassini anatuhumiwa kusafirisha mwili wa aliyekuwa Mkuu wa Idara ya Maendeleo ya Jamii, Emmanuel Joseph Sizo juu ya Carrier ya gari, kama ambavyo baadhi ya picha za mtandaoni zilizosambaa zilionesha
Emmanuel alifariki Januari 10 kwa ajali ya gari Mkoani Singida, taarifa imesema kitendo cha kusafirisha maiti kwa utaratibu huo ni kinyume na kanuni Q.7(1) ya Kanuni za Kudumu katika Utumishi wa Umma.
Pia soma > Mkurugenzi wa Tarime mjini apata ajali Manyoni Singida
Katibu Mkuu wa Ofisi ya Rais-TAMISEMI amemsimamisha kazi Kaimu Mkurugenzi wa Halmasharauri ya Wilaya ya Tarime, Jumanne Yassin ili kupisha uchunguzi
Yassini anatuhumiwa kusafirisha mwili wa aliyekuwa Mkuu wa Idara ya Maendeleo ya Jamii, Emmanuel Joseph Sizo juu ya Carrier ya gari, kama ambavyo baadhi ya picha za mtandaoni zilizosambaa zilionesha
Emmanuel alifariki Januari 10 kwa ajali ya gari Mkoani Singida, taarifa imesema kitendo cha kusafirisha maiti kwa utaratibu huo ni kinyume na kanuni Q.7(1) ya Kanuni za Kudumu katika Utumishi wa Umma.
Pia soma > Mkurugenzi wa Tarime mjini apata ajali Manyoni Singida