Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mpuuzi kweli wewe!!Safi sana
Jibu weweBarabara kumbe zinajengwa na watu binafsi mpaka iwe ngumu kutenganisha hii ya Serikali na hii ya mtu binafsi?
Eti "rais amewekeza pesa hapa alafu unafanya sabotage wananchi wajue rais hajafanya kitu"Huku ni kulewa madaraka kwa Jafo,kwani bila wananchi barabara haizinduliwi? Watu waache kazi waende kuzindua road?
Mkuu, labda ilikuwa no tenda, Magereza wakaibuka washindi ktk tenda hiyo ya kupandisha bendera za CCM utajuaje?Upande wa kuleta wananchi ni wa siasa, siyo kazi ya meneja! Nashangazwa sana na hawa ccm! Juzi tu wamewapa wafungwa kazi za chama. Hapa meneja naye anapewa kazi ya siasa na propaganda. Utadhani nchi ya kikomunisti!
Hii nchi bhana! Ndo maana tunabakia maskini pamoja na utajiri was rasilimali! Vichwa vibovu kabisa! Huwa wanaachiwa hivi kama alivyosema Maghufuli kuwaambia wakurugenzi kuwa inakuwaje awateuwe halafu ccm wasishinde uchaguzi. Kuna hali mbaya huko tunakoelekea kama tunataka demokrasia ya kweli.
Waziri wa TAMISEMI, Selemani Jafo amemuondoa kwenye nafasi yake Meneja wa TARURA Jijini Arusha, Podia Mwankenja kwa kushindwa kukusanya Wananchi kushuhudia barabara zilizokamilika alizokuwa akizitembelea.
Waziri Jafo amesema, “Mnataka Serikali ionekane haijafanya kitu wakati Wananchi ndio barabara yao? Kama ni barabara ya Wananchi mbona Wananchi hawapo hapa? Au unataka Serikali ionekane haijafanya kitu katika maeneo yao?”
Waziri Jafo amemuhoji Meneja huyo ambaye pia ndio Mratibu wa barabara za Jijini humo “Kwanini hii tunazindua barabara hii Wananchi hawapo? Unataka Rais aonekane hajafanya kitu? Rais ameweka fedha hapa. Mmeficha halafu kesho na kesho kutwa mseme Rais hajafanya kitu?”
Aidha, Meneja huyo alipoanza kujitetea na kusema kuwa alidhani Mtendaji (Mkurugenzi) amefanyia kazi suala hilo, Waziri Jafo alimwambia “Wewe si barabara zako? Unafanya sabotage ili Rais aonekane hajafanya kitu halafu kesho Wananchi waseme hakuna lolote Rais amefanya?”
Waziri Jafo amemalizia “Ninyi ndio wataalamu mnaofanga Serikali ionekane haijafanya jambo wakati sisi hapa Arusha tumewekeza fedha nyingi. Mji wa Arusha tumetandaza Barabara ila wewe unaficha hata Wananchi hapa jirani wasijue tumeweka barabara”
View attachment 1502024
Mhe Waziri msamehe tuu; sisi wananchi na wapiga kura tuko kwenye mihangaiko ya kutafuta mkate wa kila sikuWaziri wa TAMISEMI, Selemani Jafo amemuondoa kwenye nafasi yake Meneja wa TARURA Jijini Arusha, Podia Mwankenja kwa kushindwa kukusanya Wananchi kushuhudia barabara zilizokamilika alizokuwa akizitembelea.
Waziri Jafo amesema, “Mnataka Serikali ionekane haijafanya kitu wakati Wananchi ndio barabara yao? Kama ni barabara ya Wananchi mbona Wananchi hawapo hapa? Au unataka Serikali ionekane haijafanya kitu katika maeneo yao?”
Waziri Jafo amemuhoji Meneja huyo ambaye pia ndio Mratibu wa barabara za Jijini humo “Kwanini hii tunazindua barabara hii Wananchi hawapo? Unataka Rais aonekane hajafanya kitu? Rais ameweka fedha hapa. Mmeficha halafu kesho na kesho kutwa mseme Rais hajafanya kitu?”
Aidha, Meneja huyo alipoanza kujitetea na kusema kuwa alidhani Mtendaji (Mkurugenzi) amefanyia kazi suala hilo, Waziri Jafo alimwambia “Wewe si barabara zako? Unafanya sabotage ili Rais aonekane hajafanya kitu halafu kesho Wananchi waseme hakuna lolote Rais amefanya?”
Waziri Jafo amemalizia “Ninyi ndio wataalamu mnaofanga Serikali ionekane haijafanya jambo wakati sisi hapa Arusha tumewekeza fedha nyingi. Mji wa Arusha tumetandaza Barabara ila wewe unaficha hata Wananchi hapa jirani wasijue tumeweka barabara”
View attachment 1502024
Eti watu waache shuhuli zao waende kushangilia barabara ambayo ni wajibu wa serikali kuitengeneza kwa kodi zetu.Kama unajua unajua tu,hauhitaji kujieleza sana watu wenyewe wataona tu
Ujinga sana huuEti "rais amewekeza pesa hapa alafu unafanya sabotage wananchi wajue rais hajafanya kitu"
Kwa kweli Jafo nyungu zimemlevya.
Wakati wafungwa wanapandisha za ccm, polisi wanashusha za chadema. Mtafanya hivyo hata wakati wa kampeni?Mkuu, labda ilikuwa no tenda, Magereza wakaibuka washindi ktk tenda hiyo ya kupandisha bendera za CCM utajuaje?
Alafu waziri mzima anamuuliza meneja wa mradi eti wewe ni mpinzani?Upande wa kuleta wananchi ni wa siasa, siyo kazi ya meneja! Nashangazwa sana na hawa ccm! Juzi tu wamewapa wafungwa kazi za chama. Hapa meneja naye anapewa kazi ya siasa na propaganda. Utadhani nchi ya kikomunisti!
Hii nchi bhana! Ndo maana tunabakia maskini pamoja na utajiri wa rasilimali tulionao! Vichwa vibovu kabisa! Huwa wanaachiwa hivi kama alivyosema Maghufuli kuwaambia wakurugenzi kuwa inakuwaje awateuwe halafu ccm wasishinde uchaguzi. Kuna hali mbaya huko tunakoelekea kama tunataka demokrasia ya kweli.
Sijui unamkubali kwa lipi mshamba huyu hivi kweli unamtoa mtu kazini kwasababu hakuna umati wa watu. Huyu ni meneja TARURA wala sio mwanasiasa, angepaswa kuwalaumu wana CCM mkoa, wilaya, etc. Da ndio maana nafanya biashara zangu naishi kwa uhuru na furaha kabisa kuliko utumwa wa kuajiriwa.Jafo namkubali ila sababu alizotoa kwa meneja wa TARURA ni za kijinga na kishamba kupindukia.
Kushusha bendera za Chama chochote haikubaliki, tena police wanaolinda Amani sio vizuri hata kidogo, lakini ni wapi na Kwa nini?Wakati wafungwa wanapandisha za ccm, polisi wanashusha za chadema. Mtafanya hivyo hata wakati wa kampeni?
Kazi kuu ya meneja kaifanyaWaziri wa TAMISEMI, Selemani Jafo amemuondoa kwenye nafasi yake Meneja wa TARURA Jijini Arusha, Podia Mwankenja kwa kushindwa kukusanya Wananchi kushuhudia barabara zilizokamilika alizokuwa akizitembelea.
Waziri Jafo amesema, “Mnataka Serikali ionekane haijafanya kitu wakati Wananchi ndio barabara yao? Kama ni barabara ya Wananchi mbona Wananchi hawapo hapa? Au unataka Serikali ionekane haijafanya kitu katika maeneo yao?”
Waziri Jafo amemuhoji Meneja huyo ambaye pia ndio Mratibu wa barabara za Jijini humo “Kwanini hii tunazindua barabara hii Wananchi hawapo? Unataka Rais aonekane hajafanya kitu? Rais ameweka fedha hapa. Mmeficha halafu kesho na kesho kutwa mseme Rais hajafanya kitu?”
Aidha, Meneja huyo alipoanza kujitetea na kusema kuwa alidhani Mtendaji (Mkurugenzi) amefanyia kazi suala hilo, Waziri Jafo alimwambia “Wewe si barabara zako? Unafanya sabotage ili Rais aonekane hajafanya kitu halafu kesho Wananchi waseme hakuna lolote Rais amefanya?”
Waziri Jafo amemalizia “Ninyi ndio wataalamu mnaofanga Serikali ionekane haijafanya jambo wakati sisi hapa Arusha tumewekeza fedha nyingi. Mji wa Arusha tumetandaza Barabara ila wewe unaficha hata Wananchi hapa jirani wasijue tumeweka barabara”
View attachment 1502024
Bila mabadiliko ya kweli, tutaendelea kupata viongozi kama hawa tu and even worse!Eti huyu ndiyo kuna watu wanampigia chapuo naye kuwa anafaa kuwa Rais ajaye, kwa maamuzi kama haya kweli!?
Hapo Dar. Sababu sitoweza kuifahamu. Lakini ni kinyume na katiba ya nchi.Kushusha bendera za Chama chochote haikubaliki, tena police wanaolinda Amani sio vizuri hata kidogo, lakini ni wapi na Kwa nini?