Sirdirashy
JF-Expert Member
- Jan 26, 2014
- 3,243
- 3,047
Alafu kwa arusha barabara ni jambo la kawaida mno labda uvcccm wangepewa buku 7 waende hapo kushangilia barabara iliyojengwa kwa kodi zao wenyewe.huyu aliwaziri kwani nani asitejua barabara zinajengwa na serikali,
nani asiyejua kuna barabara ipi ya lami
Mimi nadhani ni Sawa tu,
Maana yake halisi ni Sawa na Baba kujenga nyumba ya pili Halafu asiimbie familia yake kuwa amejenga nyumba nyingine mahali, Halafu akaweka wapangaji wasijue hata familia yake
Yuko sahihi na alichoongea kizito sanaMoja kati ya mawaziri nawakubali kwenye awamu hii ni Jafo, ila kwa hili la leo kaniangusha sana
Haya uliyouaongea kwa chuga ni inapplicable. Labda sehemu nyingine ya TzYuko sahihi na alichoongea kizito sana
Uzinduzi wa barabara wananchi wengi wanatakiwa kuhudhuria mfano mialiko ilitakiwa iende kwa wadau wa barabara mfano umoja wa wenye mabasi,magari ya mizigo , daladala,boboda,waananchi ambao hizo barabara zinapita ambao walifaidi ajira ,kuuzia vyakula vibarua ,wajenzi nk ,makondractor ,wafanyabiashara wa maeneo hayo barabara inapita wakiwemo wa vituo vua mafuta vilivyoko hayo maeneo walio supply mafuta na watakaofaidi uwepo nk ambao wengine walifaidika kwa kuuza vifaa mbalimbali kwenye mradi
Pia viongozi wa maeneo barabara inapita mfano wajumbe wa nyumba kumi,madiwani,wabunge ,viongozi wa serikali za mitaa,viongozi wa dini nk
Viongozi wa vyama na serikali na mashirika ya umma kama TRA ambako hukusanya kodi , taasisi za kijamii
Uzinduzi maana yake ni kukabidhi mradi kwa wananchi kuwa kodi zenu jamani hizo hapo na kazi mlitupa kwa kodi zenu hiyo.Sasa waziri hawezi kabidhi barabara kwa meneja wa Tarura anakabidhi kwa wananchi
Hilo tukio ni la TARURA lakini alitakiwa kushiriksha wadau mbalimbali .Ahakikishe wadau wakabidhiwa wapo
Mimi Jafo nilikuwa namwamini sikujua nae ni yeboyebo hivi!Jafo namkubali ila sababu alizotoa kwa meneja wa TARURA ni za kijinga na kishamba kupindukia.
Jafo kwa hili umepotoka waziri wangu hauja tumia busara kabisa huenda kuna jambo lingine hiyo imekuwa sababuAlafu waziri mzima anamuuliza meneja wa mradi eti wewe ni mpinzani?
Jafo katika hili nimemdharau kabisa na amefanya uonevu wa wazi kabisa na hata alivyo kuwa anaongea anaonesha kabisa kama anakisa kingine na huyo meneja wa tarura ila akakosa pa kumshikiaHilo kosa ni la kumuondoa mtu kweli?Kwa taarifa yake watu kama yeye Jaffo ndio wanaosasabisha hii serikali ichukiwe kwa maamuzi kama haya
Endeleeni tu kutetea kunyanyaswa kwa binadamu wenzenu ila jueni mwisho wenu u karibu.Yuko sahihi na alichoongea kizito sana
Uzinduzi wa barabara wananchi wengi wanatakiwa kuhudhuria mfano mialiko ilitakiwa iende kwa wadau wa barabara mfano umoja wa wenye mabasi,magari ya mizigo , daladala,boboda,waananchi ambao hizo barabara zinapita ambao walifaidi ajira ,kuuzia vyakula vibarua ,wajenzi nk ,makondractor ,wafanyabiashara wa maeneo hayo barabara inapita wakiwemo wa vituo vua mafuta vilivyoko hayo maeneo walio supply mafuta na watakaofaidi uwepo nk ambao wengine walifaidika kwa kuuza vifaa mbalimbali kwenye mradi
Pia viongozi wa maeneo barabara inapita mfano wajumbe wa nyumba kumi,madiwani,wabunge ,viongozi wa serikali za mitaa,viongozi wa dini nk
Viongozi wa vyama na serikali na mashirika ya umma kama TRA ambako hukusanya kodi , taasisi za kijamii
Uzinduzi maana yake ni kukabidhi mradi kwa wananchi kuwa kodi zenu jamani hizo hapo na kazi mlitupa kwa kodi zenu hiyo.Sasa waziri hawezi kabidhi barabara kwa meneja wa Tarura anakabidhi kwa wananchi
Hilo tukio ni la TARURA lakini alitakiwa kushiriksha wadau mbalimbali .Ahakikishe wadau wakabidhiwa wapo
NA siku hawana pesa ya kuwalipa mamlukiHaa haa just haaa,,! Na bado wa subiri watakavyo fanya kampeni kwa kutumia miti na kunguru.
Wakati huo Lissu akikusanya MaCCM na kadi