bulicheka 3
JF-Expert Member
- Feb 6, 2019
- 599
- 557
Wakala wake kawekwa nanani?acha hizoAnatakiwa atangaze mgombea aliyechukua fomu ndie atangaze kujitoa sio Chama.Chama hakikuomba popote kugombea.Hivyo hakina mandate ya kusema kinajitoa kwani chenyewe ndicho kilijaza fomu kuomba kugombea?
Anatakiwa atangaze mgombea aliyechukua fomu ndie atangaze kujitoa sio Chama.Chama hakikuomba popote kugombea.Hivyo hakina mandate ya kusema kinajitoa kwani chenyewe ndicho kilijaza fomu kuomba kugombea?
Halafu watu wakiwaita wajinga mnawachukia? Unajua sifa ya kwanza ya kuwa mgombea katika chaguzi za kisiasa hapa nchini ni ipi? Kama ni lazima mgombea adhaminiwe na chama fulani(ie. awe mwanachama wa chama) unawezaje kumtenga na maamuzi ya chama? Hizo shule mlienda kusomea nini? |
Subiri matokeo ya la saba kwanza ,humu achia wakubwa zako tuongee...
[/QUOT hata ngekua lasaba B kwa IQ yako huwez weka lig na mm,....unakimbia hoja ya msingi unaishia kutos povu tu
Si lazima aweko wakala mbona vituo vingi tu vya kupigia kura huwa havina mawakala wa vyama Vyama vingi huwa havina mawakala wa kuweka kila Kona kutokana na ukosefu wa pesaWakala wake kawekwa nanani?acha hizo
Jafo Yuko sahihi.
Mchakato ulishakamilika .
Mtu aliyegombea ndiye anatakiwa atangaze kujitoa sio atolewe na Chama Hadi dakika hi hakuna mgombea yeyote wa upinzani aliyetangaza yeye binafsi kujitoa kwa wasimamizi wa uchaguzi.Swala la kujitoa ni.la mgombea sio Chama.Chama hakikuomba kugombea.Na hakuna mahali kwenye fomu ya kugombea ambapo Chama kiliomba kugombea
Dah, kada mwenzangu unafeli sana.Mi fahamu zisharudi mpaka nikafungua ID nyingineKudhamini ni issue binafsi Kama Chama kinajitoa udhamini kilitakiwa kiwaambie wagombea wake na wao ndio waseme tunajitoa sababu mdhamini wetu kajitoa tunaomba msimamizi Kama una fomu ya mdhamini kujitoa nipe nimpelekee akajaze alete kwa maandishi.
Fomu za kudhamini wagombea vyama vilijaza kujitoa pia vijaze fomu vipeleke kutengua fomu zao za mwanzo.othetwise huko.kujitoa kwenye press ni matangazo tu ya vijiweni ambayo sio official.Jafo Yuko sahihi wote waliopitishwa watapigiwa kura
Shauri kura sitopiga kamweMATOKEO YA RUFAA ZA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA KUTOLEWA NOVEMBA 10.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais TAMISEMI SELEMANI JAFO akizungumza Jijini Dodoma amesema katika zoezi la kuchukua fomu kuna makosa mbalimbali yalifanyika katika kujaza fomu nyingi ikiwa ni pamoja na kaukosea majina ya eneo pamoja na udhamini. .
.
Akizungumza jijini Dodoma JAFO amesema kuwa kutokana na ziara aliyoifanya katika sehemu mbalimbali amegundua uwepo wa makosa hayo ambapo amesema baadhi ya maeneo wagombea wameigana na kufanya makosa yanayofanana. .
.
Amesema katika zoezi la kuchukua fomu asilimia zaidi ya 98 wagombea wamerudisha fomu na rufaa zaidi ya 13,000 zimewasilishwa ambapo kesho ndio rufaa zitatolewa ili kujua ngapi zimekubaliwa na ngapi zimekataliwa kwa wagombea wote waliowasilisha mapingamizi bila kujali vyama vilivyojitoa kwenye uchaguzi na watakaoteuliwa majina yao watakuwepo siku ya uchaguzi.
Jibu swali acha janja janjaSi lazima aweko wakala mbona vituo vingi tu vya kupigia kura huwa havina mawakala wa vyama Vyama vingi huwa havina mawakala wa kuweka kila Kona kutokana na ukosefu wa pesa
Kutokushiriki napo ni haki we kiaziHaijatumika demokrasia kuwakataza watu wasigombee
Mbowe ametumia ubabe
Mbona ubunge mliwapitishaJafo Yuko sahihi.
Mchakato ulishakamilika .
Mtu aliyegombea ndiye anatakiwa atangaze kujitoa sio atolewe na Chama Hadi dakika hi hakuna mgombea yeyote wa upinzani aliyetangaza yeye binafsi kujitoa kwa wasimamizi wa uchaguzi.Swala la kujitoa ni.la mgombea sio Chama.Chama hakikuomba kugombea.Na hakuna mahali kwenye fomu ya kugombea ambapo Chama kiliomba kugombea
Unataka nakala na ww?Basi CDM waandike barua za kujitoa unless otherwise itakuwa Ni udaku Kama ubuyu mwingine wowote, huwezi amini kujitoa kwa mgombea wa CDM huku masebe lugoje kwa kauli ya Bwana furani dar es salaaaama runingani
Akili za Jiwe!Ikitokea majina ya wagombea wa vyama vilivyojitoa kwenye uchaguzi yakawekwa kwenye karatasi la kura kama Jaffo alivyosema na wananchi wakayapigia na kushinda. swali ni je vyama hivyo na wagombea wao watakuwa na ujasiri wa kugomea kuongoza wananchi?
Kwani mgombea binafsi alisharuhusiwa TZ?Anatakiwa atangaze mgombea aliyechukua fomu ndie atangaze kujitoa sio Chama.Chama hakikuomba popote kugombea.Hivyo hakina mandate ya kusema kinajitoa kwani chenyewe ndicho kilijaza fomu kuomba kugombea?
Ikitokea majina ya wagombea wa vyama vilivyojitoa kwenye uchaguzi yakawekwa kwenye karatasi la kura kama Jaffo alivyosema na wananchi wakayapigia na kushinda. swali ni je vyama hivyo na wagombea wao watakuwa na ujasiri wa kugomea kuongoza wananchi?
bashite ametumia upumbavu wake kutufikisha hapaHaijatumika demokrasia kuwakataza watu wasigombee
Mbowe ametumia ubabe
Kwanza Jafo aruhusu mchakato wa kuchukua form uanze upya, pili hawa watendaji wasihusike kwenye chaguzi, tatu kuwe na tume huru ya uchaguzi sio hii ya Mungufuli.Ikitokea majina ya wagombea wa vyama vilivyojitoa kwenye uchaguzi yakawekwa kwenye karatasi la kura kama Jaffo alivyosema na wananchi wakayapigia na kushinda. swali ni je vyama hivyo na wagombea wao watakuwa na ujasiri wa kugomea kuongoza wananchi?